Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
DONFuVqX0AAV8vA.jpg
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Mbona fatma karume havaagi mishuka kichwani na hawamsemi?
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Mbona mnatumia nguvu kubwa?
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
swadakta ya akhy
 
Vipi hawalalamika kuhusu huyo mbwa hapo kwenye picha?
Qur'an 5:4 inahalalisha mbwa,Kuna mambo yamechomekwa tu kwenye dini siku nyingi lakini si dini,ukitaka kuupata uislam wenyewe ni kwenye quran
 
Back
Top Bottom