Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
Well said
 
Yohana1:21 utamkuta huyo unayedai ni false prophet,by the way ibrahimu,Musa,nuhu(Noah) walikua false prophets sababu mama zao hawakuwa bikira!?
hivi mwanamke gani hakuwahi kuwa bikira yaani nyinyi ni wajinga kweli
 
hivi mwanamke gani hakuwahi kuwa bikira yaani nyinyi ni wajinga kweli
Kuzaa bila kukung'utwa..ndiyo maajabu ya Maryam,japo wayahudi hawataki,wanadai alitiwa akapata mimba akaja kuzuga katiwa mimba kimiujiza
 
Yohana1:21 utamkuta huyo unayedai ni false prophet,by the way ibrahimu,Musa,nuhu(Noah) walikua false prophets sababu mama zao hawakuwa bikira!?
Uzuri ni kwamba ili uwe mwislamu safi lazima usome biblia...kumaanisha kwamba korwani haijajitosheleza na imejaa mapungufu mengi kwa sababu haikutoka kwa Mungu bali kwa yule atendaye kinyume na aliye Juu.

Njoo kwa Yesu acha kuhangaika na njia za upotevuni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Uzuri ni kwamba ili uwe mwislamu safi lazima usome biblia...kumaanisha kwamba korwani haijajitosheleza na imejaa mapungufu mengi kwa sababu haikutoka kwa Mungu bali kwa yule atendaye kinyume na aliye Juu.

Njoo kwa Yesu acha kuhangaika na njia za upotevuni.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa akili zako biblia ni kitabu Cha yesu!!?..hujui unalozungumza Kisha wataka nije kwa bwanaako yesu!!!..muislam anaamini katika Qur'an,zaburi,injili na taurati kwamba ni vitabu vya mwenyezi mungu,kwamba watu waliokuja navyo ni wajumbe/nabii wa Allah sw
 
Haramu kumfuga kama pambo ndani ya nyumba. Ila kwa ulinzi na uwindaji ni rukhsa ingawa pia kuna sheria zake. Na Mwenyezi anajua zaidi. Ahsante
Qur'an 5:4,mbwa Hana uharamu wowote,hawezi kuwa haramu kumfuga Kama pambo Kisha awe halali kumfuga Kama wa kuwindia na ulinzi,Haina mantiki sheikh
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Uislam ndodini inayoongoza kwa ubaguzi halafu watu wao wana mihemko mwishowe huwa yanaashia jera tu kama mashehe wa uamsho
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.

Kuna muumin aliamua kuachana na uislam akapewa siku 21 kutubu na aurudie uislamu. Siku 21 zikapita waja wa Allah wakaenda kumuuliza ikiwa msimamo wake wa kuuacha uislamu bado anao jamaa akasema harudi katika dini waja wa Allah wakamkata kichwa.
Hii ni story iliyo ndani ya Qur'an ila wewe kitukuu cha mpagazi wa kiarabu babu yako alislimu kwa mijeredi na vitisho unasema hakuna kulazimishana katika dini as if una mamlaka ya kubadili chochote ndani ya Qur'an.
Moden Muslims are evil than bokoharam by distorting the truth about Islam.
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Si wanasemaga mpira ni ushetani, sasa wanataka Mungu asujudiwe kwenye ushetani? Hopeless.
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
Kudos Sana bro, umefafanua vizuri Sana juu ya hili. Dini sio siasa au harakati (ambapo wengi wanafanya uisilamu uonekane hivyo)
faiza foxy na wenzie inabidi wapitie huu Uzi.
 
Sasa mpira na uislamu wapi na wapi.
Mpira ni mchezo uliobuniwa na freemason kwa lengo la kumuabudu shetani Tazama mpangilio wote wa namba, idadi ya wachezaji, mda wa uchezaji nk vyote vinamaana yake, katika sayansi ya giza.
 
Kwa akili zako biblia ni kitabu Cha yesu!!?..hujui unalozungumza Kisha wataka nije kwa bwanaako yesu!!!..muislam anaamini katika Qur'an,zaburi,injili na taurati kwamba ni vitabu vya mwenyezi mungu,kwamba watu waliokuja navyo ni wajumbe/nabii wa Allah sw
Sasa ndugu hiyo injili si ndio imeletwa na Yesu?
afu Yesu sio bwana, ni BWANA.
 
Uislam ndodini inayoongoza kwa ubaguzi halafu watu wao wana mihemko mwishowe huwa yanaashia jera tu kama mashehe wa uamsho
Mtu anachoma Koran wao wanaenda kuchoma magari na kuvunja maduka ya watu, (hawa ndio Wale wenye mambo Yao meusi wanajificha kwa kivululi cha kuutetea uisilamu) lakini hakuna rationale ya kufanya fujo eti unamtetea Mungu,
Uliona wapi kiumbe dhaifu akawa mtetezi wa supreme being?
 
Kuna muumin aliamua kuachana na uislam akapewa siku 21 kutubu na aurudie uislamu. Siku 21 zikapita waja wa Allah wakaenda kumuuliza ikiwa msimamo wake wa kuuacha uislamu bado anao jamaa akasema harudi katika dini waja wa Allah wakamkata kichwa.
Hii ni story iliyo ndani ya Qur'an ila wewe kitukuu cha mpagazi wa kiarabu babu yako alislimu kwa mijeredi na vitisho unasema hakuna kulazimishana katika dini as if una mamlaka ya kubadili chochote ndani ya Qur'an.
Moden Muslims are evil than bokoharam by distorting the truth about Islam.
Kwa sababu umekuja na kashafa siwezi kukufundisha, watu kama nyinyi hata comments zenu huwa sijibu, siku nyingine uliza kiungwana, nitakufundisha kadri njiuavyo..
Kukashifiana popote pale iwe si desturi yangu, kidoogo kwenye mpira huwa naleta masihara fulani ila si kashfa.
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
Unalijua lengo la mtoa mada,,
Huenda ukawa na pointi ila ungeanzisha uzi mwingine,,
kukomenti hili kwa hapa umekosea
 
Back
Top Bottom