Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Kwa hiyo mashuka sio dini bali utamaduni wa mashariki ya kati, ila mazuzu mameudinisha
Sisi waislam tunaamini manabii wote walikua waislam(Imani juu ya mungu mmoja,asiye mashirika,hakuzaa Wala hakuzaliwa,hafanani na chochote)manabii hao baadhi ni Adam,Ibrahim,nuhu,lut,Musa,Yusuf,issa,muhammad
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
Duuuuuuuh yaaan adiiii kufunga goliii ibatakiwa ushangilie kwakusujudiii ndo uwakilishe inani yako vyemaaa, like seriously🤔🤔🤔
 
Mantiki IPO....maana yake Ni kwamba mtume alishusha wahyi Kuwa Allah amesema mbwa Ni Haram...watu wakaanza kulalamika kwamba mbwa Wana Kazi nyingi ikiwemo ulinzi Na kuwinda....Basi vurugu ilipokuwa kubwa ndiyo mtume akasema Allah amewasikia...sasaivi Ni ruhusa kumfuga mbwa ila kwaajili ya ulinzi Na kuwinda Tu
Sheikh,fanya istighfari na ujifunze kuhusu dini,Allah sw hakushusha wahyi kwa kufuata matamanio ya watu
 
Nadhani watu watu wengi wa islamic countries wanapoenda magharibi upeo wao wa kufikiri unapanuka
Mfano wapakistani unakuta anauza pork nk ambazo angekua kwao angepigwa mawe afe
Mtu anakula nyama ya ng’ombe ambayo imechinjwa kiwandani hajui kama imechinjwa na kafiri ama laa ila ingekua huku uswahilini kwetu ili ale lazima uprove muslim amechinja.

Papa wa roma alikua Bahrain 🇧🇭 ila huku kwa ground tunashikana mikono lakini mioyoni “mafundisho” kutoka kwa walimu wetu ni mtihani
 
Sasa ndugu hiyo injili si ndio imeletwa na Yesu?
afu Yesu sio bwana, ni BWANA.
Injili ni ufunuo aliopewa yesu,hauhusiani na miungu mitatu au mungu mwenye nafsi tatu na blah blah zingine,Qur'an inasema wayahudi wakitoa mikono vitabu vitakatifu
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Kabla ya kuanza kijadili matukio ningependa tupate kwanza uhakika wa taarifa yako ,tunaomba utupe record ya matukio yote hayo
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Hata hiyo picha uliyoiweka si rafiki. Kumbuka ukizoeana na mbwa, anaweza akaleta tafrani kwa watu.
 
Kumbe wanaosema mbwa haramu sijui asikunuse ni uongo tu?
Nani amekuambia mbwa haramu yes ni haramu kwa kuliwa ,lkn mbwa anafugwa pia anaweza kutumika kwenye mawindo .

Ni tatizo la kimapokeo tu ,baadhi ya waislamu wanamuweka mbwa kwenye kundi la uharamu ni kwasababu tu anatengua udhu akikuramba lkn hana shida nyingine
 
mwanzo walikuwa wanasema mpira haramu kwasababu wanacheza uchi sasa hivi ni halali au ?
Uharamu wa mpira unaingia tu baada ya kuingizwa Mambo ya kiharamu tofauti na hapo Ile burudani. Uislamu hauna shida na jambo la kiafya
 
Huo ni upumbavu, naongea haya nikiwa muislam, tusilazimishane katika dini,tumefundishwa hivyo dini ni imani ya mtu,dini iko moyoni, uchamungu hauna maonesho.
Waislam hii dini tunataka tuiendeshe kwa mihemko, hili ni tatizo kwetu na maadaui zetu wanatupata hapo kwenye mihemko, ndio maana mtu akijazwa upepo twende kuna jihad sehemu ataenda.

Wachezaji,wasanii hata sisi tusiojulikana,tunafanya vitendo vingi mnoo, ambavyo haviendani na dini yetu, wengine dini imekuwa ni kimvuli cha mambo yao, utakuta mtu anasema mimi mtoto wa kiislam siwezi sema uwongo, lakini kavaa mavazi yasiyofaa, anafanya mambo tofauti. Mtu anaposti pichha yupo makkah kwenye hijjah na nyumbani hana mke ana kimada cha kuzini nae.
Tunautaka uislam tuufate mazima, na haina haja ya kulaumiana ama kulazimishana, kilichopo ni kukumbushana tu.
Na dini tusiifanye kwa maonesho.
"Hapana kulazimisha katika Dini."
Quran 2:256

Uislamu unataka kutomlazimisha mtu kuingia au kutekeleza dini baada ya kwisha mlingania, hata mtume alionywa baada ya kuwa akiwalazimisha na kuumia kuwaona ndugu wa kabila lake hawaingii katika uislamu Mwenyezi Mungu akamwambia yeye si mwenywe kuwafanya watu waingie kwenye dini Bali yake kukumbusha tu .

Tatizo Hilo hata Mimi linanikera baadhi ya waislamu kidhani kugombana kuuwana ndio Njia ya dini ya kutetea dini ,soma kwanza dini yako hio ndio Njia kubwa ya kutetea dini(elimu).
Mtume hakufanya hayo wanayoyafanya ,Wala hakuna kwenye Quran inawataka wafanye hivyo
 
"Hapana kulazimisha katika Dini."
Quran 2:256

Uislamu unataka kutomlazimisha mtu kuingia au kutekeleza dini baada ya kwisha mlingania, hata mtume alionywa baada ya kuwa akiwalazimisha na kuumia kuwaona ndugu wa kabila lake hawaingii katika uislamu Mwenyezi Mungu akamwambia yeye si mwenywe kuwafanya watu waingie kwenye dini Bali yake kukumbusha tu .

Tatizo Hilo hata Mimi linanikera baadhi ya waislamu kidhani kugombana kuuwana ndio Njia ya dini ya kutetea dini ,soma kwanza dini yako hio ndio Njia kubwa ya kutetea dini(elimu).
Mtume hakufanya hayo wanayoyafanya ,Wala hakuna kwenye Quran inawataka wafanye hivyo
Elimi,elimu,elimu
 
Kuna muumin aliamua kuachana na uislam akapewa siku 21 kutubu na aurudie uislamu. Siku 21 zikapita waja wa Allah wakaenda kumuuliza ikiwa msimamo wake wa kuuacha uislamu bado anao jamaa akasema harudi katika dini waja wa Allah wakamkata kichwa.
Hii ni story iliyo ndani ya Qur'an ila wewe kitukuu cha mpagazi wa kiarabu babu yako alislimu kwa mijeredi na vitisho unasema hakuna kulazimishana katika dini as if una mamlaka ya kubadili chochote ndani ya Qur'an.
Moden Muslims are evil than bokoharam by distorting the truth about Islam.
With due respect and humble submission naiomba hio aya
 
Kuna wana tabu kule afghan hadi wanakimbia nchi

Ndio mjue kwamba hamko huru imani inageuka kuwa utumwa
 
Back
Top Bottom