Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Waislamu wengi mtandaoni wamshukia Benzema akifunga goli leo lazima asujudu

Kwanza hiz habari umezitoa wapi weka chanzo tukasome huko
 
Uzuri ni kwamba ili uwe mwislamu safi lazima usome biblia...kumaanisha kwamba korwani haijajitosheleza na imejaa mapungufu mengi kwa sababu haikutoka kwa Mungu bali kwa yule atendaye kinyume na aliye Juu.

Njoo kwa Yesu acha kuhangaika na njia za upotevuni.

#MaendeleoHayanaChama
Korwani ndio Nini?


#UjingahaunaUmri
 
Nilidhani mpira ni haramu
Haramu kama utaenda kinyume na mafundisho ya Quran na Sunnah za bwana Mtume Muhammad (SAW)

Mfano..
Mwanaume kuvaa nguo inayoonyesha Kitovu kushuka mpk magoti labda kushangilia kwa kejeli na kuvuka mipaka ya ustaarabu

Mengineyo sidhani Kama ni VIBAYA
 
Mtu anachoma Koran wao wanaenda kuchoma magari na kuvunja maduka ya watu, (hawa ndio Wale wenye mambo Yao meusi wanajificha kwa kivululi cha kuutetea uisilamu) lakini hakuna rationale ya kufanya fujo eti unamtetea Mungu,
Uliona wapi kiumbe dhaifu akawa mtetezi wa supreme being?
We uliona wapi MUNGU akashuka DUNIANI ili afute zambi za WANADAMU Kisha WANADAMU haohao wakamuua huyo MUNGU I'll akifa wao wapate WOKOVU.....


Hivi alishindwa kutumia UUNGU hukohuko mbinguni kufanya Makeke WANADAMU waache madhambi?

#Nyanihaonikundule
 
mm nadhani kuna mada ziwe zinafutwa zipo kichochezi sana mm ni mwislamu lakini kuna upuuzi unaendelea humu usipo kemewa unaeneza chuki na inatengenezwa na mjinga mmoja lakini tunaonekana waislamu wote nadhani hawa wapo kimkakati na kikundi maalum kuna huyu aliyeleta mada namwezake sky nani sijui hawa sio watu wazuri eidha mood awe anafuta mada zao na ikiwezekana mamlaka yetu husika iwafatilie hawa watu sio bure watanzania hatuko hivi hawa ni wachochezi
 
With due respect and humble submission naiomba hio aya

Ili kuondoa Sarakasi za kuwa nimeitafsiri vibaya ama wanazuoni wanasema hivi na vile juu ya hizo verses nasema SIKUPI. Labda nikupe lyrics ya wimbo wa NO GUIDANCE wa Chris blown.
 
Mantiki IPO....maana yake Ni kwamba mtume alishusha wahyi Kuwa Allah amesema mbwa Ni Haram...watu wakaanza kulalamika kwamba mbwa Wana Kazi nyingi ikiwemo ulinzi Na kuwinda....Basi vurugu ilipokuwa kubwa ndiyo mtume akasema Allah amewasikia...sasaivi Ni ruhusa kumfuga mbwa ila kwaajili ya ulinzi Na kuwinda Tu
Kwa hio watu walimpangia Mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Proud to be kafir
 
Kwani kwenye Uislam nyota na mwezi zinawakilisha Nini?tuanzie hapa
 
Hamia Afghanistan
mm nadhani kuna mada ziwe zinafutwa zipo kichochezi sana mm ni mwislamu lakini kuna upuuzi unaendelea humu usipo kemewa unaeneza chuki na inatengenezwa na mjinga mmoja lakini tunaonekana waislamu wote nadhani hawa wapo kimkakati na kikundi maalum kuna huyu aliyeleta mada namwezake sky nani sijui hawa sio watu wazuri eidha mood awe anafuta mada zao na ikiwezekana mamlaka yetu husika iwafatilie hawa watu sio bure watanzania hatuko hivi hawa ni wachochezi
 
Ili kuondoa Sarakasi za kuwa nimeitafsiri vibaya ama wanazuoni wanasema hivi na vile juu ya hizo verses nasema SIKUPI. Labda nikupe lyrics ya wimbo wa NO GUIDANCE wa Chris blown.
Tafsiri ya Quran tunaipata kwa kuangalia mtume ameitekelezaje au ametolea maelezo gani , hivyo ndio tunavyomaanisha tukiasema aya umeitafsiri vibaya ,kwahiyo kukataa kutoa hizo aya Mimi nakuhesabu kama mzushi .

Sina shida na lyrics yako Baki nayo
 
Kwani kwenye Uislam nyota na mwezi zinawakilisha Nini?tuanzie hapa
Haina maana yeyote(kiibada) wala umuhimi kwenye ibada kwanza wakati wa mtume haikuwepo alama ya namna hii ,ilianza kutumika katika utawala wa Ottoman baada waislamu kutafuta nembo ya kutuwakiliasha, wakristo wana msalaba ,wayaudi wana nyota hivo na wao wakaja na alama hii.
 
Wengi wanachukizwa na tabia ya Benzema kutoiwakilisha imani yake ipasavyo anapofunga goli. Benzema hajawahi kusujudu akifunga goli. Hii tabia imewahuzunisha wengi sana. Wamemkumbusha Benzema anang'ara sasa hivi kwa uwezo wa mwanyaaazz.

Wameendelea kumkumbusha Benzema akilalamika siku zile kocha wa Ufaransa Deseutmpt alikataa kumuita timu ya taifa kwasababu ni Muislam.

Wengi wamewasifu Mane, Salah na Keita kwasababu kila wafungapo goli lazima wasujudu.

Ila walifadhahika Salah alipovaa mavazi ya father Christmas yeye na familia yake na kuposti mtandaoni kuwatakia sikukuu njema krismasi iliyopita na kumpa onyo kali asirudie kwani anaidhalilisha imani yake.

Mwengine aliyeonywa asirudie tena kufanya hivyo kama Salah ni MO Farah mwanariadha maarufu uingereza.

Pia mwanadada mwanasiasa msomali Marekani Ilhan Omar amepewa onyo kali aachane na boyfriend wake myahudi ambaye alikuwa mme wa mtu. Ameamriwa amsilimishe kwanza jamaa na wafunge ndoa.

Vyanzo mbali mbali mitandaoni.
View attachment 2241927
Yaani ukiwa WA dini ile,basi unakuwa mali ya dini,kila unachokifanya,lazima urudishe sifa kwa dini,maana unamilikiwa na dini,what a disaster to livelyhood
 
Back
Top Bottom