Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wakaishi uarabuni waache kupangia watu maisha waliowapa hifadhiHao ndiyo wenye akili.
Hakuna sheria ambazo ni bora zaidi ya sharia duniani.
Kama unabisha anza tulinganishe sheria na sharia moja moja. Ujionee ubora wa sharia.
Siyi jweli.Wengi wa waandamanaji ni asylum seekers toka nchi zinazotumia sharia, si warudi kwao? "Uislamu ni mtindio wa ubongo" Rais wa China.
Uliwatawala?Kama nchi zote zilizotawaliwa na UK zina English Common Law kama msingi wa sheria mama zao, kwanini UK wasiwe na Sharia Law?
Unamaanisha nn???Mtume alisema miaka 1400 iliyopita tutakua wengi na kutapakaa dunia nzima na wengine watasilimu makundi kwa makundi, lakini alionekana chizi anaongea ujinga na hili goma bado kimbunga chaja
Ni haki yao kuandamana,.Wakuu.
Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.
Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)
Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.
Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"
Hivi hii ni sawa wakuu?
Serekali ya Uingereza itunge Sheria ambayo itawa Deport na kuwanyang'anya Uraia wale wote ambao wana msimamo mkali.Waliingia uingereza kama asylum seers, sasa wengine wamepewa ukaazi wa kudumu na wengine wameshapewa uraia. Kama walipenda sana Sharia si wangebaki huko kwao wachinjwe viziri?
Wanawachora wakimaliza utahaira wao. Watulize vinyeo majumbani kwao.Kwenye video clip kuna watu wenye asili ya Afrika na arabuni.
Polisi wa kizungu anawaacha tu watimize takwa lao kikatiba.
Wazungu wako mbali sana, hizo mbanga washakutana nazo wanawachora tu.
Waislam watakua wengi zaidi ulaya na dunia nzima itakua dola kubwa kabisaUnamaanisha nn???
Sharia ndiyo suluhisho la duniani, siyo Uingereza tu.Wakaishi uarabuni waache kupangia watu maisha waliowapa hifadhi
Haijalishi waliingia vipi.Waliingia uingereza kama asylum seers, sasa wengine wamepewa ukaazi wa kudumu na wengine wameshapewa uraia. Kama walipenda sana Sharia si wangebaki huko kwao wachinjwe viziri?
Sawa minaona waipitishe tu hyo sharia...maana siina husu wenyewe kwawenyewe yaani magaidi wapelekane kunyongana wenyeweWakuu.
Hali si hali huko London na hii ni baada ya waislamu wenye msimo mkali kuandamana huko Uingereza wakitaka uwepo wa Sharia Laws.
Kinachoshangaza zaidi ni kwamba polisi wa Uingereza walikuwa wamekaa tu wanawaangalia bila kufanya lolote.
Soma pia: Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)
Europe is weak. Na muda si mrefu hawa wataenda pale Buckingham Palace kumtoa Prince Charles na familia yake.
Si wanawake si wanaume wote walikuwa wanasema "Sharia Laws For Uk"
Hivi hii ni sawa wakuu?
Nilikutawala wewe na baba yakoUliwatawala?
Kwani nani hajui hizo kelele zao hazitasaidia chochote? Muhimu hapa ni kuonyesha jinsi Waingereza walivyokuwa front line kuwakandamiza mataifa waliyotawala enzi hizo kama makoloni yao. Sasa wale waliyotawaliwa enzi zile wamehamia Uingereza na wanadai payback.Ni nchi yao hawalazimishwi cha kufanya
Sio wahamie, warudi walipotoka. Waislam wengi Uingereza wameyoka Pakistan na Africa.Kwa nini wasihamie kwenye nchi zenye sheria za kiislamu ?😌