Sio viumbe vya MUNGU?Uzao wa fallen angels au demon incarnates
Mental case study.Anza na hii kwanza
13 injuries among Jewish terrorists as a result of an Iranian missile falling on a building north of the occupied city of Tel Aviv.
Athari ni kubwa ila huwawezi kukuambia,habari zinazohusu vita huwa zimefumbwa,na zinabadilishwa sana,kiasi kwamba mtu ambaye Yuko busy kufuatilia vita zinavyoendelea ni kama anapoteza mda wake.Waislamu hutia aibu sana, nguvu zote hizo bila athari zozote.
Huu mwez wa ngap mkuu..wa kumi ? Mwezi huu huu ayatollah na sinwar wanauwawa. Rekodi huu ujumbe wangu hapa leo.Ayatola atangulizwe tu akamfate mwenzake Hania na Nasrallah hawa maboya wanamaneno mengi na kulialia hovyo.
Niko nchi flan karibu na eneo la tukio nahc kikiwaka mazima ndege hazitaruhusiwa kurukaUnamaanisha nini mkuu!?
Kama amekataza ushoga kwa nn wao ndo wanaukumbatia kiasi kwamba mpaka jeshini kuna mapunga?, km ni hivyo kwa nn wasiwe walimu wazuri kwa ulimwengu huu kwa kutenda mema?.Mashoga wapo kila taifa, halafu Mungu anaangalia agano lake kwa Israel, habari ya kuwahukumu Israel kwasababu ya ushoga hiyo sio kazi yako, Mungu mwenyewe atawahukumu maana amekataza ushoga
Unadhani Iran kama Israel yeye anaua raia!?
Wadau hamjamboni nyote?
Mungu ibariki Israel
Taarifa rasmi ndiyo hiyo
99% yamelipuliwa angani, kudondokea baharini au sehemu isiyokusudiwa
Yale matoi yaliachwa yaelee angani kwa muda na kisha kusambaratishwa
Ukitazama video yake utacheka
Live Update arrow right icon From the Liveblog of Tuesday,
October 1, 2024
Following mass Iran attack, medics say just 2 lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv
By Emanuel Fabian Follow
Today, 8:24 pm
14
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
Only two injuries are reported across Israel in the Iranian missile attack on the country, Magen David Adom says.
The ambulance service says it treated only two people who were lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv.
Several others were treated for minor injuries after falling over while running for shelter, and acute anxiety, MDA adds.
Ucijibu kwa mihemuko , umeelewa huo ujumbeUnadhani Iran kama Israel yeye anaua raia!?
Iran imeshaweka wazi imelipua miundombinu ya kijeshi.
Embu acheni kujifariji kifala fala.
Kwani hizo kambi za jeshi hazina wanajeshi? Wao sio watu? Hawafi?#Enemy_Media
Military correspondent for Channel 13: Iran launched its missiles at military bases and did not target civilian populations.
#Military_Media
Iran hajatagert raia hata mmoja wote walio injury ni wanajeshi
Unafikiri ni kwa nini Iran kapiga siku ambayo ground invasion Lebanon imeanza?Ni kwamba Iran alishambulia kuhami jeshi lake elite linaloteketea huko Lebanon kwa mwamvuli wa Hizbullah.Kiujumla maji yamewakorogokea waislam wa Lebanon na IranNinavyosema wakiristo wa jf wamepewa tenda za propaganda. Dakika 2 baada ya mashambulio wanatoa tathimini wakiwa Mburahati magengeni. Uislam hata muuchikie vipi unakuwa kwa kasi mpaka ndani ya familia yenu
nimjiuliza sana makombora yote yale!!! na yote yamedunguliwa! hivi kwa nini wasikubali tu wakapatana na myahudi jamani! hivi nyie wairan funzo la hizbollar awalioni kweli?Iran pataneni na israel nyie ni ndugu, Ibrahim baba wa israel alikuwa mkaldayo. Pataneni Dola yenu inaenda kuanguka mazima! Mark my words!Wadau hamjamboni nyote?
Mungu ibariki Israel
Taarifa rasmi ndiyo hiyo
99% yamelipuliwa angani, kudondokea baharini au sehemu isiyokusudiwa
Yale matoi yaliachwa yaelee angani kwa muda na kisha kusambaratishwa
Ukitazama video yake utacheka
Live Update arrow right icon From the Liveblog of Tuesday,
October 1, 2024
Following mass Iran attack, medics say just 2 lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv
By Emanuel Fabian Follow
Today, 8:24 pm
14
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
An Iranian missile attack on Israel, October 1, 2024. (Channel 12 news screenshot)
Only two injuries are reported across Israel in the Iranian missile attack on the country, Magen David Adom says.
The ambulance service says it treated only two people who were lightly wounded by shrapnel in Tel Aviv.
Several others were treated for minor injuries after falling over while running for shelter, and acute anxiety, MDA adds.
Wewe unayejua tupe habariSource ya habari yako umetoa wapi? Hata idadi ya makombora yaliyorushwa hujui
Hamas walivyofanya ugaidi na kuuwa raia zaidi 1300 ndani ya masaa 8 ule haukua uislam?!Uislamu umekataza kuua raia
Wangetaka kuua raia hizo missiles wangezielekeza kwenye mahospitali