Waitara: Wote waliothibitika kuiba fedha za serikali wanyongwe!

Mtu anakutwa na kosa la kufuja,kuiba Mali ya mamilion mwisho wa siku anambiwa alipe fine 500,000 au 1,000,000 [emoji1]

Ova
 
Mtu anakutwa na kosa la kufuja,kuiba Mali ya mamilion mwisho wa siku anambiwa alipe fine 500,000 au 1,000,000 [emoji1]

Ova
Hawa wanakula pamoja hilo linajulikana
Wanapenda sana maonyesho mbele ya watu
Hata PM anaposema ondokeni na huyu ujue imeisha hiyo atapanda gari la polisi ila anapelekwa home
 
Hawa wanakula pamoja hilo linajulikana
Wanapenda sana maonyesho mbele ya watu
Hata PM anaposema ondokeni na huyu ujue imeisha hiyo atapanda gari la polisi ila anapelekwa home
HAWA JAMAA WANA MAIGIZO SANA

ova
 
Hapo ni porojo tu wanapiga badae wachukue posho.hakuna lolote litakalofanyika.Serikal yao,bunge lao kila kitu chao,subiri utekelezaji sasa ata wa kawaida ndo utagundua hakuna lolote zaidi ya porojo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hii nchi bila kuwajibishana kweli kweli hatufiki popote.
 
Ifanyike special audit kwake na ikibainika zichukuliwe hatua zake alizoshauri.
 
Hata hii kauli yake tusingeisikia Kwa maana hata yeye pesa za serikali alizitafuna , CCM imesimamia kuleana sana . Watapiga domo hapo kuficha/kuzima agenda zenye utata au wachukue mbuzi wa kafara kisha kazi iendelee.
 
Vita ni vita Mura, uyu mbunge wa Tarime aliyepata nafasi yakuchemka bungeni na kutoa pendekezo la hawa viongozi wanaokula pesa za umma wanyongwe kwa kutoa mifano hai kama kule korea kwa bwana Kim
Hii naona kama imekaa kisiasa za kuzuga hii ni kama strategy flani yakuwazuga watanzania waone chama kipo hai, kwa historia ya nchi yetu adhabu za kunyongwa tunajua hazijapewa nafasi yoyote

Na huenda Waitara yupo serious na kaguswa na hilo jambo tatizo wanasiasa hawaaminiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…