Wajamaa mnisaidie, hivi Nyerere aliwezaje kuvumilia haya?

Kwa kipindi kile lile alilofanya lilisaidia kwa nyakati zilezile. Kimsingi alikuwa sahihi. Umoja na amani yetu miongoni mwetu, ndicho kikubwa alichotaka kukifikia. Hayo matatizo yaliyojitokeza zilikuwa ni changamoto tu za kufikia malengo hayo.
Nakusoma mkuu, kwamba Mzee wetu yeye alifanya vile kwasababu za kiusalama na aliamini anafanya vile kwasababu anaisaidia nchi. Hii hoja inaeleweka japo bado inatia utata. Miaka michache tokea 1980-1985, Tanzania ilipitisha sera nyingi ambazo Mzee wetu alizikataza, tena kama SAP zilipita wakati yeye ni Raisi, lakini zikatekelezwa kipindi cha Mzee Mwinyi. Hebu tusadiane, tatizo gani lilitokea kwenye usalama wa nchi baada ya Tanzania kuanza kutumia sera nyingi ambazo alizipinga Mzee Nyerere?​
 
Msiwawazie sana waliozikwa hebu Wekezeni mawazo kwa hawa walioko hai angalau kuwe na mabadiliko hatabukipata majibu ya maswali yako hayawezi badili umaskini ulio nao kuanzia fikra hadi mali
 
Nakupa hongera sana mkuu, umejitahidi kujibu hoja ambazo zimewekwa mezani. Japo ntakuja na maswali yangu zaidi kuhusu baadhi ya vitu ambavyo umevizungumzia. Naomba tena, nikupe hongera kubwa. You have understanding and an open mind, very rare traits among Tanzanian intellectuals.​
 
Unaandika vitu vya kuchekesha sana.

- Chama, Mfumo, na mwengine yote Nyerere hakuyapiga kufuli yasibadilike milele, amsha bongo hiyo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana kuna mdau amekwambia mapema kwenye mada yako umewekeza sana kusema mabaya ya Nyerere, kama vile hakuwa na mazuri yake, naona hapa umeegemea zuri la Mkapa, bila kusema mabaya yake, umegusia kidogo privatisation.

- Nashangaa Mwinyi hujamgusa hapo, au naye hakuwa na jema? sio Mwinyi ndie aliwafanya mkaanza kuvaa nguo mpya! Kutomtaja Mwinyi hapa nashawishika kuamini kuna motive behind...

Ndio maana ukaambiwa, kwa muktadha huo huo, tukianza kuchambua viongozi wote waliopita, hayupo ambaye hakuwa na mabaya na mazuri yake.

Hii mada yako imekaa chongo hata kama utalazimisha vipi kuiweka sawa, ulishakosea toka mwanzo, kubali tu; na hata hao wanaokuunga mkono nao ni mihemko tu kama yako, wanaogopa kufanya comparison sababu wanajua mtaumbuka.

Umekurupuka kuja na mada ya upande mmoja sana, ukilazimisha ionekane Nyerere alikuwa shetani, waliomfuatia wakawa malaika, which is not true, jipange upya uje na mada yakueleweka na wote itayokaa sawa, sio hii uliyoileta.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Bwana Denoo unaandika mambo mengi lakini hujajibu swali langu bado. Hivi kuna Raisi hapa nchini Tanzania ambaye alifanikiwa kuinua uchumi kama Mzee Mkapa?​
 
Bwana Denoo unaandika mambo mengi lakini hujajibu swali langu bado. Hivi kuna Raisi hapa nchini Tanzania ambaye alifanikiwa kuinua uchumi kama Mzee Mkapa?​
Huyo Mkapa aliinua uchumi unaosema kwa kiasi gani?

- Ndugu zetu vijijini waliacha kuvaa nguo za viraka?

- Kipato cha mtanzania kiliongezeka kwa asilimia ngapi?

- Alizalisha ajira kiasi gani?

- Alijenga viwanda vingapi wakati wa utawala wake?

- Mazao ya kuuza nje yaliongezeka kwa asilimia ngapi?

Mkapa huyo huyo ambaye alianza kuingia mikataba ya hovyo ya madini leo kwako ndie unamuona mjanja, sababu alichukua chake mapema kama ulivyowasifia kule mwanzo wa mada yako.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ndugu
Changamoto ni kuwa hao uliowataja walishatangulia mbele za haki hivyo ninakosa wa kumuuliza kati yao.
Kuhusu viongozi wengine kufanya katika Nchi zao na pengine kumzidi bado haiondoi uhalisia kuwa alikua na mema yake
 
This thread is for research purposes only, but you are welcome to digress it with a spectacle of personal interpretation.​
My friend you have no topic here,why Nyerere?
Next time utamlaumu Mama kwanini kakuzaa.
Unaonekana ni mtu wa lawama lawama tu.
Reseach ya matako ya kuku.
Kuna mambo milioni hapo ya kufanyia research we unajump kwa Nyerere ,upuuzi gani huu.
 
Uzombie ndani ya nchi hii ulipandikizwa na Nyerere. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio itakuwa ubatizo wa nchi hii.
Kwenye hayo machafuko kuna familia zitapoteza wapendwa wao.......
Upo tayari kuitoa familia yako ipotee kwenye hayo machafuko unayoyaomba?
 
Unatatizwa na Utakatifu wake?
 
Basi naomba takwimu za Raisi aliyefanya vizuri kuliko wote hapa nchini kwenye suala la uchumi. Nasubiri majibu!​
 
Kosa alilokuwa nalo Nyerere ndilo alilokuwa nalo Mao.

Changamoto alizo pitia Oscar ndizo alizopitia Deng.

Mageuzi ya kifikra aliyo kuwa nayo Deng ndio aliyokuwa nayo Nguyen.

Tatizo ni idealism dhidi ya Pragmatism.

Nyerere alikuwa anafuata miondoko ya Mao licha kwamba Mao kidogo alikuwa na ufahamu mkubwa wa mambo mengi kumshinda Nyerere.

Ndio maana China 1970 wakati wa Mao alianza kubadili mambo mengi taratibu Deng alicho fanya ni kuendelea mabadiliko.


Deng Xiaoping hakuwa wahi kuwa Rais wa China huru wala mwenyekiti/katibu wa chama cha kikomunisti huko China.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…