Mkuu The Boy Wonder , asante kwa bandiko hili, hata hivyo majibu ya bandiko hili, hayatasaidia lolote kwenye ule mchakato, mchakato unaendelea!.
P
Nyerere alikuwa na propaganda zilizosoma shule.[emoji419][emoji419][emoji375]View attachment 2852061View attachment 2852062
Hayo mambo unayoyaona irrelevant ndiyo yatatengua hila za baadhi ya wanasiasa akina m7 kuchomekea kwamba eti Nyerere anastahili kuwa mtakatifu while hastahili.Nyerere aliondoka madarakani mwaka 1985 baada ya kuwa madarakani kwa miaka 24 wakati wa vita baridi. Leo hii ni miaka zaidi ya 38 tangu aondoke madarakani, na vita baridi ilikufa takriban miaka 32 iliyopita. Dunia imebadilika sana baada ya vita baridi kuisha na ukuaji wa information technology. Kwa nini una interest na revisionisim ya mambo ambayo siyo relevant ten katika dunia ya leo?
Hayo mambo unayoyaona irrelevant ndiyo yatatengua hila za baadhi ya wanasiasa akina m7 kuchomekea kwamba eti Nyerere anastahilu kuwa mtakatifu while hastahili.Nyerere aliondoka madarakani mwaka 1985 baada ya kuwa madarakani kwa miaka 24 wakati wa vita baridi. Leo hii ni miaka zaidi ya 38 tangu aondoke madarakani, na vita baridi ilikufa takriban miaka 32 iliyopita. Dunia imebadilika sana baada ya vita baridi kuisha na ukuaji wa information technology. Kwa nini una interest na revisionisim ya mambo ambayo siyo relevant ten katika dunia ya leo?
Shshshsss!Hata wakimtangaza kuwa ni mungu hilo halinihusu hata kidogo, ila ntakachouliza ni kwanini huyu mnayemuita mungu wenu alikuwa na moyo mgumu, wa jiwe kama Firahuni ? Alikuwa anapata faida gani kutuona sisi tunaishi vile ?
Ebhanaeee kurasa imejaa maneno mazito mazito duh 😄[emoji419][emoji419][emoji375]View attachment 2852061
Hivyo vitu vyote hatukuwanavyo.Nyerere pia ndiye aliyetuepusha na udini, ukabila na ukanda mambo ambayo yalilitafuna sana bara la Africa kipindi hicho.
Halafu huyu mtu awe mtakatifu, kabisa katoliki linajidhalilisha sana Kwa maamuzi yake mabovu.Ebhanaeee kurasa imejaa maneno mazito mazito duh 😄
Kosa la Nyerere alikuwa too idealist.Huwa najiuliza sana lakini sipati majawabu, lakini naomba wasomi wa humu ndani mnisaidie.
Hivi Mzee Nyerere alikuwa ana roho ya namna gani kuona mambo kama haya yakitokea kwa wananchi lakini bado hataki kubadilika na akaendelea kutumia mkono wa chuma kuhakikisha anasigina kabisa uwezo binafsi wa mtanzania kuweza kujikwamua kiuchumi. Ujamaa wa Tanzania hakuleta matokeo yoyote makubwa na ya kuchangaza ukilinganisha na kule Asia na Ulaya ambako walau walifanya mapinduzi ya sayansi na teknolojia.
Uchina walifanikiwa sana baada ya Raisi Deng Xiaping kuanza kuwaonea huruma raia wake akifahamu kabisa kwamba njia waliyokuwa wanaenda ilikuwa siyo sahihi. Aliruhusu watu waanze kumiliki mali zao binafsi na kufanya biashara. Najiuliza sana, miaka yote 18 ya Ujamaa, yalifanyika na kutokea mambo mengi mno kwa watanzania, kiasi kwamba kiongozi yoyote mwenye huruma na wananchi ni lazima angekaa chini na kujifanyia tathmini, lakini Raisi Nyerere hakufanya hivyo, aliendelea kuwa na moyo mgumu kama Farao. Hebu tuzingatie haya:
1. Sera ya utaifishaji wa mali, ilileta umasikini mkubwa sana kwa watu.
2. Kufuta vikundi ya ushirika (Cooperatives) na kuweka vile vya TANU kulididimiza mno sekta ya kilimo.
3. Kupiga marufuku watu binafsi kuagiza bidhaa nje ya Tanzania kulipelekea uhaba wa bidhaa na huduma muhimu.
4. Kuweka ugumu katika kusafiri (Travelling Restrictions) kulisababisha ukosefu wa ujuzi kwa watanzania.
5. Kuminya uhuru wa mawazo na kutumia nguvu ya dola kunyamazisha watu kulidumaza ukomavi wa demokrasia.
Mpaka kufika miaka ya 80's Ujamaa ulikuwa umefeli vibaya mno. Tanzania tulikuwa hatuna hata unga wa kupikia, mafuta, wala sukari. Mtaa mzima mlikuwa mnaenda kwa mwenyekiti kuomba sukari au sabuni kutoka maduka ya ushirika. Ukikamatwa na mafuta, sabuni au dawa za binadamu zilizolanguliwa kutoka Kenya lazima ushughulikiwe na dola. Kama ulisoma miaka ya 80's unaweza kukumbuka kwamba hata sare za shule zilikosa rangi, watu tukawa tunavaa vitu vya ajabu vilivyochakaa kama vile vichaa. Ukibahatika kukutana na wamishionari au taasisi za kidini ndiyo ulikuwa unaweza kupewa hata nguo, mahitaji na wazungu.
Yote haya yanafanyika, Mzee Nyerere na Sokoine wakaingia mtaani kuanza kushughulikia maelfu ya watanzania ambao wanahujumu uchumi. Ila ukifuatilia zile kesi nyingi, utafahamu kwamba hao wahujumu uchumi ni wale watanzania wenye akili za haraka ambao walijiongeza na kuweza kupata mahitaji muhimu ili kuhudumia familia zao. Wahujumu uchumi kwelikweli, ambao wengi walikuwa ni vigogo wa serikalini hawakuguswa. Kiukweli, kama nchi ina kiongozi mwenye huruma haya yote yasingetokea bila yeye kujirudi.
Hivi kwanini MTAKATIFU na MWENYEHERI, Raisi Nyerere hakuwa na chembe ya huruma moyoni ?
Kuna mambo nikikumbuka huwa naumia sana na nakosa majawabu. Hivi alikuwa anapenda kutuona sisi vile ?
Wewe ni mkatoliki?Halafu huyu mtu awe mtakatifu, kabisa katoliki linajidhalilisha sana Kwa maamuzi yake mabovu.
Nyerere hakustahili kabisa kuwa Kwenye huo mchakato.
Kwanza ni muuaji aliangamiza roho za watu wengi sana.
Mimi ni mkatoliki niliyefundwa vizuri Na kanisa katoliki elimu ya o level nimeipata Bihawana Seminar Dodoma A level Salesian Seminary Dodoma.Wewe ni mkatoliki?
Kwani utakatifu wa kikatoliki ukoje?
Mkuu Kichuguu, Merry Christimas na Bwana Yesu Azaliwe Upya Mioyoni Mwetu.Nyerere aliondoka madarakani mwaka 1985 baada ya kuwa madarakani kwa miaka 24 wakati wa vita baridi. Leo hii ni miaka zaidi ya 38 tangu aondoke madarakani, na vita baridi ilikufa takriban miaka 32 iliyopita. Dunia imebadilika sana baada ya vita baridi kuisha na ukuaji wa information technology. Kwa nini una interest na revisionisim ya mambo ambayo siyo relevant ten katika dunia ya leo?
Una utoto mwingi😎😎...Hukuwepo wala kuona athari za ujamaa...
Mkuu Kichuguu, Merry Christimas na Bwana Yesu Azaliwe Upya Mioyoni Mwetu.
This Thread is For Research Purpose Only. Hivyo kwa manufaa ya kutunza kumbukumbu nzuri kwa vizazi vijavyo siyo mbaya kufahamu nini haswa yalikuwa malengo ya MTAKATIFU, Raisi Nyerere kutumia mabavu ilhali wananchi wengi tulikuwa tunapita kwenye lindi kubwa la umasikini. Hivi tokea 1980-1985, alikuwa haoni kweli aina ya maisha tuliyokuwa tunaishi ?
Mkuu wanaokumbuka adha hiyo ni wachache, na hao ni wale walioishi na kukulia mijini na hasa jiji la Dar es salaam.
Wengi wenye umri kama wako wakati huo walikuwa shule vijijini, ambako vyakula walikuwa wanalima wenyewe.
Na vitu kama dawa ya meno, siagi, sabuni, sukari, kandambili nk kwenye maeneo ya vijijini vilikuwa ni anasa tu. Hawakuhisi adha ya kukosekana kwake.
Vinginevyo wangekuelewa unasema nini.
Binafsi sijasahau mateso niliyopitia nikiwa mvulana mdogo kufuatilia gari ya ugawaji kwenye mitaa niliyoishi.
Kwenye foleni ya kupata bidhaa adimu na muhimu tulikuwa tunapanga mawe kusubiri gari.
Haya yalisababishwa na sera mbaya za ujamaa na utekelezaji wake kupitia Azimio la Arusha.
Uzombie ndani ya nchi hii ulipandikizwa na Nyerere. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio itakuwa ubatizo wa nchi hii.Mkuu The Boy Wonder , asante kwa bandiko hili, hata hivyo majibu ya bandiko hili, hayatasaidia lolote kwenye ule mchakato, mchakato unaendelea!.
P
Na Nyerere ndio muasisi wa wizi wa kura ndani ya nchi hii. Bila kuondoa maagano ya kishirikina aliyoweka Nyerere nchi hii, tutaendelea kutawaliwa kwa shuruti na chama chake. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi Ili tuanze upya kwenye mfumo wa kiutawala nchi hii.Kwenye hili Nyerere alikuwa ndiye bingwa. Alikuwa kila anayemkosoa anahama nchi. Ni vile tu ukweli hausemwi na bahati mbaya Nyerere katawala ktk kipindi ambacho media outlets zilikuwa hakuna.
Redio ya taifa ilikuwa inaandikiwa nn cha kusema kuhusu rais kwenye taarifa ya habari.
¶ Nyerere ndiye aliyefanya Kambona kuishi ukimbizini maisha yake yote.
¶ Nyerere ndiye aliyechana vyeti vya Tuntemeke Sanga.
¶ Nyerere ndiye aliyemfunga kifungo cha nyumbani (alimuweka kizuini) Kasangatumbo
¶ Nyerere ndiye alimuondoa kwenye urais Abdul Jumbe halafu akamuweka kizuizini hapo Kigamboni mpk umauti.
¶> Nyerere ndiye aliyetunga hili katiba bovu lililomfanya yeye kujipa umungu wa Tanzania.
Nyerere ni dikteta asiyesemwa.