life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Hakika waGerumani ni TAIFA lenye maendeleo, Elimu,technolojia na Akili na uwezo mkubwa usio na mfano!!! Hivi Sasa bila wao (GER) mmmmmh .... Naona tunajidanganya!!!Waliamriwa waondoke na koloni likachukuliwa na mwingereza
Inasemekana kule kasanga kuna vitu vingi sana.....lakini mbona majengo ya pale ndo wanatumia wanajeshi wa kasanga kwanin wasifanye uchunguzi zaidi
Mkuu nipe mchongo Mimi namiliki HELLER 1 DEUTSCH OSTAFRIKA ya mwaka 1910
Hii heller mimi ninayo nielekeze sehemu za kuuzia mkuuNdugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni
Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sas
Hiyo nomaUmenikumbusha story ya yule jamaa alieanzisha uzushi huu, kijijini akampeleka Bibi aliekua anawauzia watu halafu wakija mjini wanaziuza kwa jamaa, kumbe jamaa alikua anazirudisha kule kijijini. Demand ilivyokua inaongezeka na bei inapanda, watu wakaenda kukopa wakanunua kwa yule bibi kwa gharama kubwa, walipofika town mnunuzi hayupo, waliporudi kijijini Bibi nae hayupo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna uzi upo humu wa muda mrefu kidogo umeongelea sana hili jambo,kuna watu wamefunguka sana humo.Taifa linajua hilo , viongozi wakubwa wanamtandao pia katika mali hizi . Inasemekana Kariakoo na posta imejengwa kupitia mali hizi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa walipoona wanakaribia kushindwa vita walianza kutafuta mbinu ya kuficha mali zao na kweli baada ya kushindwa vita ilibidi waondoke na kumwachia Mwingereza koloni(hawakuruhusiwa kubeba mali yoyote),inasemekana kuna mitego ya kila aina kwenye hayo mashimo ikiwemo milipuko,mitego ya mawe,gas zenye sumu nk.Ha ha ha... Dunia hii unaweza mfukuza mGermani au (mzungu)?? Hehehe wataka tufe njaa!! Au tuwe was Pole kea nafsi zet......
Suali moja tutafakari ?!!? Wajerumani walikuwa wakipigana Vita na wahasimu wao au walikuwa bizee kuficha Mali.??? Ha ha ha Yaani wapoteze ipi?Hawa jamaa walipoona wanakaribia kushindwa vita walianza kutafuta mbinu ya kuficha mali zao na kweli baada ya kushindwa vita ilibidi waondoke na kumwachia Mwingereza koloni(hawakuruhusiwa kubeba mali yoyote),inasemekana kuna mitego ya kila aina kwenye hayo mashimo ikiwemo milipuko,mitego ya mawe,gas zenye sumu nk.
Bila ramani ya sehemu husika na codes zao hutoi kitu ndo maana waswahili wanaishia kupoteza muda tu lakini vitukuu wao wakija wanatoa mizigo kiulaini kabisa.
Hii inanikumbusha kuna jamaa alikuja mtaani akawa anataka tumtafutie shilingi 20 yenye mwaka 1993 kuna anaihitaji na angeweza kutupa milioni 5....dah tulitafuta kuanzia madukani kwa wauza sigara karanga urembo kote tunapata ya mwaka 1992 ilikua balaaa tukakata tamaa hatukupata kwahiyo hizi stori zinachanganya sanaUkitaka kufirisika na kupata uchizi ingia kwenye hiyo biashara. Kila mali kale utakayopata utaambiwa siyo. Ukipata hiyo Heloler watakuambia mwaka siyo tunataka ya 1890, ukiipata utaambiwa hap[ana hii imechubuka, mara ilihusisha kifo nk. Utaambiwa kuna pasi, ukiipata watakuambia aah! siyo hii ya mkaa, ipo ya mvuke... Mara utashangaa unapata stress utaota mvi hadi kwenye nyusi.
Kwa akili zako ukisikia vita kuu ya dunia basi unachofikiri ni kwamba kila binadamu anakuwa vitani na kila kona ya dunia ni vita tu si ndiyo?Suali moja tutafakari ?!!? Wajerumani walikuwa wakipigana Vita na wahasimu wao au walikuwa bizee kuficha Mali.??? Ha ha ha Yaani wapoteze ipi?
FYI, Rasilimali zipo ardhini pote Duniani tatizo ni gharama za kutoa humo NI kubwa Sana!! Hakuna aiwezae!!
ππππHii inanikumbusha kuna jamaa alikuja mtaani akawa anataka tumtafutie shilingi 20 yenye mwaka 1993 kuna anaihitaji na angeweza kutupa milioni 5....dah tulitafuta kuanzia madukani kwa wauza sigara karanga urembo kote tunapata ya mwaka 1992 ilikua balaaa tukakata tamaa hatukupata kwahiyo hizi stori zinachanganya sana
Sent using Jamii Forums mobile app