Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Waliamriwa waondoke na koloni likachukuliwa na mwingereza
Hakika waGerumani ni TAIFA lenye maendeleo, Elimu,technolojia na Akili na uwezo mkubwa usio na mfano!!! Hivi Sasa bila wao (GER) mmmmmh .... Naona tunajidanganya!!!
 
Hii heller mimi ninayo nielekeze sehemu za kuuzia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msituni wa nou ulioko mpakani mwa mbulu na babati kijiji cha erri kuna mashimo hayo ya wajerumani katika kitongoji kinachopakana na kijiji cha merr.kazi kwenu wa tafiti.kwa u sahihi zaidi tafutamimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadithi za kubuni hizi! Wajerumani waliitawala Tanganyika ili kuvuna mali zilizopo Tanganyika na kupeleka kwao Ujerumani na sio kuchukua mali zao kutoka Ujerumani na kuzificha Tanganyika.
 
Bado watu wanaibiwa kwa hizi story za kusadikika za kale.. kweli wajinga hawaishi
 
Ha ha ha... Dunia hii unaweza mfukuza mGermani au (mzungu)?? Hehehe wataka tufe njaa!! Au tuwe was Pole kea nafsi zet......
Hawa jamaa walipoona wanakaribia kushindwa vita walianza kutafuta mbinu ya kuficha mali zao na kweli baada ya kushindwa vita ilibidi waondoke na kumwachia Mwingereza koloni(hawakuruhusiwa kubeba mali yoyote),inasemekana kuna mitego ya kila aina kwenye hayo mashimo ikiwemo milipuko,mitego ya mawe,gas zenye sumu nk.

Bila ramani ya sehemu husika na codes zao hutoi kitu ndo maana waswahili wanaishia kupoteza muda tu lakini vitukuu wao wakija wanatoa mizigo kiulaini kabisa.
 
Suali moja tutafakari ?!!? Wajerumani walikuwa wakipigana Vita na wahasimu wao au walikuwa bizee kuficha Mali.??? Ha ha ha Yaani wapoteze ipi?
FYI, Rasilimali zipo ardhini pote Duniani tatizo ni gharama za kutoa humo NI kubwa Sana!! Hakuna aiwezae!!
 
Hii inanikumbusha kuna jamaa alikuja mtaani akawa anataka tumtafutie shilingi 20 yenye mwaka 1993 kuna anaihitaji na angeweza kutupa milioni 5....dah tulitafuta kuanzia madukani kwa wauza sigara karanga urembo kote tunapata ya mwaka 1992 ilikua balaaa tukakata tamaa hatukupata kwahiyo hizi stori zinachanganya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suali moja tutafakari ?!!? Wajerumani walikuwa wakipigana Vita na wahasimu wao au walikuwa bizee kuficha Mali.??? Ha ha ha Yaani wapoteze ipi?
FYI, Rasilimali zipo ardhini pote Duniani tatizo ni gharama za kutoa humo NI kubwa Sana!! Hakuna aiwezae!!
Kwa akili zako ukisikia vita kuu ya dunia basi unachofikiri ni kwamba kila binadamu anakuwa vitani na kila kona ya dunia ni vita tu si ndiyo?
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…