mwamgogwaferdinand
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 697
- 938
DuhKuna jamaa alikuwa anawinda mbugani na baba yake wakapita sehemu wakakuta mawe mengi ya dhahabu yamerundikwa kwenye mti wa mwembe, hawakuyatilia maanani wakaendelea na uwindaji walipo rudi kijijini wakawasimulia watu. Watu walivyo sikia hivyo wakambembeleza kijana awapeleke. Kabla kijana hajawapeleka wakaenda kwa kwa mganga kupiga ramli.
Mganga akawambia waende ila anaona giza mbele ya huyo kijana anayewapeleka. Wakasisitiza japo kijana aliogopa. Basi mganga akawambia wakifika kuna kitu kitatokea ila wasiseme neno lolote.
Story ni ndefu ila nitaifupisha.
Walipokaribia kwenye ule mti kweli waliziona zile dhahabu ghafla kikatokea kimbunga kikali kikamyanyua mzee moja. Mkwe wa yule mzee kuona hivyo akasema "haiwezekani baba mkwe aende"
Ghafla walitokea nyani kusiko julikana wakawapa kichapo si cha nchi hii alafu ikanyesha mvua kubwa hawajawahi kuona. Ikaharibu chakula chote walicho kuwa nacho.
Ilikuwa ni safari ya siku nne kurudi bila msosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hao nyoka walikua wengiMtaalamu alisema kuna vito vya kutosha sana, tulipofiikia kuna vigaae vikubwa vimefunika na pembeni yake kuna ukuta wa mawe umejengwa,sasa kuna ngema juu imeninginia na kuna kiwe, inafaa lilipuliwe na litolewe.
Tulikutana na mauza uza kibao lakini tyliyashinda,kubwa ilikuwa nyoka wa kutisha wa kutosha, tuliambiwa hapana kumuuwa hata mmoja,mbinde ilikuwa kuwatoa humo shimoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hukoHii kitu mi naamini kabisa ipo.
Katika kijiji nilichokulia kuna kajimto kadogo, lakini kuna sehemu kamto kametengeneza maporomoko, eneo hilo kuna nguzo ya zege na mnyololo mkubwa umeingia ndani ya maji.
Lakini kulifikia eneo hilo ni shida sanaa, yaani kukutana na majoka kawaida, na kukuta eneo halipo ghafla ni kawaida.
Kuna kipindi wazungu walikuja pale lakini walikatazwa kwasababu eneo hilo sasa ni mali ya jeshi.
Hila hivi vitu vipo na mababu wametusimulia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kijiji kipo ndani ya Manyani kinaitwa Mkiwa, inasemekana kuna baadhi ya mapango kuna mali za mjerumani.Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni
Huyo mmama mimi binafsi ndio huwaga sijawahi kumuelewa,kama kaolewa basi mumewe ana kazi sana,huyu mwanamke anajua kila kitu,sijui imekuwaje akawa mwanamke...Acha kudanganya wewe. Ebay utaelewa nini sasa. Ebay wanachofanya ni kuuza vitu tu.
Halafu unadanganya wazi kabisa eti zilitengenzwa kwa kutumia madimi ya shaba.
Zilitengenezwa kwa kutumia madini ya Silver(Fedha). Mpaka leo Ounce ya Silver ni $15.65.
Kama unataka nikupatie elimu tulia hapo hapo nikupatie elimu.
Halafu unakuja humu ukiwa na hasira wakati upo off point.
Watu naona tunakuwa wabish kwa sababu ni wavivu kusoma history. Wajerumani hawakuwahi kushindwa vita in East Afrika ,kwa hiyo walipopewa taarifa kwamba Ujerumani imekubali ku surrender na kusign ,ndo na huku wakamwambia maadui zao kwamba wawape nafasi waondoke. Na hapo ndio walikuwa wanajiandaa kwenda kufanya mashambulizi makali Southern side ya Africa esprit Zimbabwe kufukuaza British. Kwa sababu Germany ilikuwa imesha surrender walikua hawawezi kwenda na mali, walichofanya walizificha kwa utaalamu mkubwa sana . Recent story in connection na hizi ,mali za wa NAZI mpaka sasa hivi zilizopatikana ni chache sana , kuna meli mpaka leo haijawahi kujulikana ilizamishiwa wapi ilikua imejaa mali nyingi za thamani. Na kuna nyambizi zilifichwa zilikuja kupatikana baada ya miaka zaidi ya 35 baada ya vita ya pili kuisha. So hawa watu walikua mali nyingi, ila kila waliposhindwa vita walizificha kwa utaalamu mkubwa sana kiasi kwamba si rahisi kuzipata. Na mpaka leo hata hapa kwetu zipo ila si mtu yeyote anaweza kuzichukua.Nadhani swali LA msingi kwa nini wajerumani wafukie hizo Mali Alafu waweke system ya kishirikina kwenye kuzitoa?
Maana michango ya wadau wengi humu wanasema Kuna ushirikina sijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi kiukweli sipingani nawewe maana hata maeneo ya mpanda eneo naliweka kapuuni pale kuna mashimo au lugha rahisi niseme mahandagi Kule chini walihifadhi vitu vingi Sana pindi walipoachia nchi mbaya zaidi baadhi ya mashimo wameweka padlock ambazo hazijawahi funguka hata utumie njia gani dude halitoki na kuna baadhi ya maeneo mashimo wametia acid hajawhi ingia mjinga yoyote mpaka leoNdugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278
Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271
View attachment 1022276
Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.
Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.
- Ikombe
- Mibirizi
- Kasanga
- Ilembule
- Rombo
- Nyakanazi
- Uvinza
- Mlalo
- Kisarawe
- Kazimzumbwi
- Kirondatal
- Tukuyu
- Leganga
- Igulwa
- Ushetu
- Mnazi
- Mikese
- Shume
- Lumbira
- Mbulu
- Nansio
- Sekenke
- Galula
- Liuli
- Manda
- Lushoto
Asanteni
Sasa wangevibeba Vipi tushakua aware walificha wakabuni mbinu yakupita navyo tenaYani wajerumani waje Tanganyika ili kuchukua vitu, badala yake wafiche? Does no make any sense
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kiukweli kazi ya kutafuta mali za kijerumani zilizo ndani ya mahandaki au hasa chini ya ardhi n ngumu kutokana na mazingira yake na ni gharama kubwa pia inachukua mda sana ila kwa yeyote mkweli mwenye mali za kijerumani soko lipo la uhakika iwe n fufumarfk, Rupia ya simba wawili, Rupia ya kitumbua, korofindo, maji mekundu (Mercury), vyombo vyvyte pasi , sufuria, kisu, jiko n.k nitafute kwa 0716637717, 0769767771 nipo darasa
Hizo mali mnazifanyia nini mkuu? Mnauza kwenye museums au mna kazi gani nazo? Kuna mali za aina hiyo nilizipata huku mapango ya Lyamba lya mfipaKiukweli kazi ya kutafuta mali za kijerumani zilizo ndani ya mahandaki au hasa chini ya ardhi n ngumu kutokana na mazingira yake na ni gharama kubwa pia inachukua mda sana ila kwa yeyote mkweli mwenye mali za kijerumani soko lipo la uhakika iwe n fufumarfk, Rupia ya simba wawili, Rupia ya kitumbua, korofindo, maji mekundu (Mercury), vyombo vyvyte pasi , sufuria, kisu, jiko n.k nitafute kwa 0716637717, 0769767771 nipo darasa
Kama unavyo kweli na vigezo vipo tufanye biashara MkuuHizo mali mnazifanyia nini mkuu? Mnauza kwenye museums au mna kazi gani nazo? Kuna mali za aina hiyo nilizipata huku mapango ya Lyamba lya mfipa
Mnafanyia nini isije kuwa nakuuzia milioni wewe unaenda kupiga 15,000,000/=?!Kama unavyo kweli na vigezo vipo tufanye biashara Mkuu