Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369
 
SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mchukuaji huyo alie sahihi namtaka.
 
Kuna sehemu Mali zipo, na Kila mwaka kuna wajerumani huingia, but ukiingia Hilo pango mtanzania hutoki unapotelea ndani
 

Wewe umesoma hadi elimu ya darasa la ngapi kwa uninga unaouleta humu? Hayo madini yaliyomo kwenye Rupie 1 au heller 1 ni madini gani kwa hiyo thamani ndogo namna hiyo ya hela? Fedha yenye madini kama dhahabu au almasi haiwezi kuwa na thamani ndogo kiasi hicho ndugu yangu! Ushauri wangu kwako ni huu: NENDA KULIMA HARAKA SANA, vinginevyo utatokwa na kibiongo kutafuta kitu ambacho hakipo! Sasa swali labda ni hili: Hao wajerumani ulishawaona wamekuja siku moja kufukua hayo madini, maana ni vizazi kwa vizazi vinapita huko ujerumani!
 
Mie nmebahatika kumiliki kufuli mpaka saiv lipo lina chapa ya 666 ,,vipo vijiko vya mjerumani ata hapa nnavyo nlifanikiwa kuvipata morogoro kwenye milima
 
Nicheki WhatsApp 0715160365
 
Icho kijiko cha mjerumani kiufupi vitu ni vingi nimevishughudia Na kumiliki kabisa
 

Attachments

  • IMG_20220909_073411_5.jpg
    578.5 KB · Views: 72
Mim najua kuhusu pasi ya dhahabu na nlishuhudia.
Ukichukia maji kweny chupa yawe sealed kabisa ukiweka mbele ya pasi maji yanageuka rangi yanakua mekundu. Baada ya muda kidg yanarudi kweny hali yake ya kawaida..
Ukichukia kioo ukaweka mbele ya hyo pasi kioo kinaonyesha ukungu na ukitoa baad ya muda kinabaki SawA.

Hizo Mali kusema kweli ni za uchawi wa hali ya juu tena wa kizungu.
Ukisema mnataka kuuza hizo mali na mmja wenu anakaenda kinyume na mlivopanga hyo mali haitauzika ng'oooo.

Sehem zinapopatikana kama ukienda na lengo la kuzifuata uwez kupata.
Lkn kama umepita tu ujui hili wala lile
unaweza shangaa tu mzigo huo hapo
 
Umeonaga wapi mrembo? Usukumani au mkoa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…