Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Nikajua umeshapata Mali kwenye mojawapo ya hivyo Vijiji kumbe unatupa usimulizi wa vijiweni 😁😁
 
Hivi watu bado wanaamini huu ujinga kweli

Madini tunayo ya kutosha lakini tumewapa akina Barick wayachimbe halafu tunadanganyana yapo walioyaacha akina barick enzi za ukoloni[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ulikosea ungaliandika ardhi ya Tanganyika si Tanzania
 
nimepanda bajaji siku mbili zimepita kuna dada alikua ana sali kanisa fulani la Rome pale Iringa kuna padri akaja akawa anasali pale akaomba awe anafunga na kuomba usiku wakamruhusu kumbe pale madhabahuni pana mali usiku ana chimba anafunika na mkeka Siku kadhaa akapotea kimya kimya kuja kugunudua wamekuta shimo kubwa sana chini na mzigo ushatolewa na wabongo tunakuaga wazembe magetin hatukazi kukagua mtu kasepa na mzigo
 
Hadithi ni nyingi kama hizo!
Kuna tetesi kuwa Wajerumani walipokaribia kushindwa vita, waliweka dhahabu nyingi kwenye Meli yao kubwa pale Ziwa Tanganyika, harafu wakaizamisha! Inasemekana pamoja na jitihada nyingi za kuitoa meli hazijafanikiwa!
 
Out of topic:

Mezani naona rizzla na pisi la nyota, chini naona tetele na famba za ganja na kanjiti ka kiberiti kalikoungua, bila kupepesa mkuu unachoma kaya.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Na haya ndio mastory ya town ambapo kila mtu huwa anasema nimesikia, inasemekana, kuna mtu fulani aliniambia kuwa mjomba wake, basi hakuna atakayejitokeza akakwambia kuwa mimi nimefanya.
Kanuni moja ya fedha inasema kuwa, madini yaliyotengeneza hiyo fedha hayawezi kuwa na thamani kuliko fedha yenyewe, ikiwa hivyo basi watu badala ya kutumia fedha wataiuza kama madini.
 
Mkuu watanzania tuna tatizo la taarifa na ufuatiliaji wa mambo.
Nitakuja andika SAFARI ZANGU JUU YA MALI ZA WAJERUMANI.
Kwanza pesa pekee waliyotengeneza Wajerumani ilikuwa ni rupia ya Tabora ndo ilikuwa ya Dhahabu tupu yenye uzito upatao 7.8g
Bahati mbaya hazikuwa nyingi sana.so mtu anapotafuta pesa ya kale basi iwe hiyo asa upate nyingi ndo ukazichoma zikae sawa uuze kama dhahabu.

Kuna rupia watu walikuwa wanaitafuta yenye simba rupia ile imetengenezwa kwa silver sasa silver bei gani jamani.
Kuna fufumark chache zilitengenezwa kwa brass na nickel ukiiweka gizani inatoa mwanga nazo zilikuwa chache hizo zina ufanyaji wake kazi tofauti na watu wanavozuaga taarifa.
Kuna sijui pasi sijui makufuli ya 999 hivi vyote ni copper tu asa kopa mpaka uje upate tani walau ndo upate hata 20m ni lini?
Hizo mali zimefanya nikasoma elimu juu ya hayo mambo ukweli wake na wabongo tunachoongea ni vitu viwili tofauti kabisaaa.
 
Asante sana mkuu.
Please, ukipata muda naomba uandike ni naomba unitag nadhani utasaidia wengi mkuu.
 
Hizi Mali ili uzipate lazima utumie ndumba za hali ya juu. La sivyo unaweza kuishia mapangoni. Amini; Wajerumani ni washirikina saana. Huipati mali kirahisi.

Labda iwe zari katika maisha yako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi ila kwa sharti moja kabla hujaichukua hiyo mali kwanza ujue kizuizi/uchawi wake ni upi.
Pia uwe na taarifa sahihi ya eneo wengi wanadanganyana ukienda sehem fulani kumbe siko maana nae kasikia tu.

Sema taarifa sahihi sehem fulani kuna vitu fulani au pango ukiingia unakutana na nyoka au simba au moto au moshi au askari ukisema hivo basi code hizo kuzitoa ni rahisi.
 
Ukitoa mercury hivo vingine ni copper tu.
Copper ina thamani gani ukafe kisa pasi ya kilo 3 ya copper!
 
Huyo sio maiti mzee mngefumua kichwa hicho mngekutana na almasi.
 
Location wapi aisee?
 
Hii stori ya uongo.
 
Wewe ni kweli unataarifa sahihi
Code ya nyoka ni rahisi.
Code ya maiti ni rahisi yule sio maiti nitajie location tuende.
 
Mbulu inajulikana ni wapi zimechimbiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…