Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Kuna mmoja kyela eneo lake inasemekana chini kuna pango huko masanduku na gari moja lipo wazungu wakaomba wampe gari na wamjengee nyumba nzuri ilo eneo wapewe wao jamaa akakataa akasema atachimba yeye..

kitu cha kushangaza kila lipokua anachimba vile vitu vinashuka chini... Akatengeneza mashimo makubwa matatu na maji kwake bila mafanikio

Hivyo vitu vya kishirikina hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kyela sehemu gani mkuu?
 
Nitakutafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii kitu ni real, Mjerumani kaacha vitu vingi sana ardhini na wajukuu huwa wanarudi na Ramani na kuvichomoa, Nimeishi mazingira ambayo yana code zao kuonesha kuwa vitu vipo, Ata chuo cha sheria lushoto, nimesikia Nyerere alikijenga kwa maana kuwa Pasichimbwe mana chini kuna mzigo heavy sana
 
Mtaalamu alisema kuna vito vya kutosha sana, tulipofiikia kuna vigaae vikubwa vimefunika na pembeni yake kuna ukuta wa mawe umejengwa,sasa kuna ngema juu imeninginia na kuna kiwe, inafaa lilipuliwe na litolewe.

Tulikutana na mauza uza kibao lakini tyliyashinda,kubwa ilikuwa nyoka wa kutisha wa kutosha, tuliambiwa hapana kumuuwa hata mmoja,mbinde ilikuwa kuwatoa humo shimoni.
Usijari,hilo si swala la kuogopa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna ugumu fulani wa kupata hizo mali kwasababu maeneo ambayo wajurumani walificha hizo mali yamekuwa ni makazi ya kudumu ya majini na majoka makubwa ya kutisha.

ili kupata hizo mali inabidi ujizatiti kweli kweli. vinginevyo utaishia kupata ukichaa au kufa kifo cha ajabu.
 

Ni nani aliyefanikiwa kuchimba na kupata hiyo hazina? Mkuu hii kitu nimeufuatilia kwa karibu sana zaidi ya miaka ishirini. Nilichokiandika nakifahamu fika. na ukweli ni wale wanaotaka utajiri kwa ganda la ndizi ndio wanafanya hii ishu au wanahamasisha wengine nao wafanye. Inauma sana lakini bahati mbaya ukishakolea inakuwa kama umelishwa uganga.

No hazina ya Mjerumani full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…