Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Mkuu bado unazisaka?
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
Daaaah Ndugu Mali ya Mjerumani Haichimbwi na Excaveta Mkuu!!!
Hata siku Moja haijatokea na haitatokea.😳😳
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mtakuja kufukua vitu ambavyo havipo
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
Picha zakutosha ilitujue kama ni deal au utapeli.




Kusema aligundua kuna Masanduku 3
Ni uwongo maana Amna kifaa kama hicho duniani

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
ah ah njoooni njooni anapigwa mtu hapaaa//...ukiitwa kwe fursa ujue nani fursa vile ah ah wajinga ndo waliwao a ah
 
Kusaka huwa hatuachi, tutaacha kusaka na kupumzika siku tukifa....kaburini ndio pahala sahihi pa kupumzika,tena unapumzika saaana baada ya tabu nyingi za KUJILISHA UPEPO.

Sasa tuje kwenye mada. Huyu ndugu alikuja na kipimo, nikamuomba twende tukapime dhahabu maeneo flani,tukafanikiwa kupima. Sasa nikamuuliza kuhusu uwezo wa kutoa hazina za mjerumani,akasema za mapangoni ni dk chache tu,ila za ardhini hawezi,ni zike za wazi tu ndio anaweza...hizo za ardhini anaweza tu kupima na kugundua point ya site.Nikamuomba twende shimoni kuleee...akagundua kuwa ni pale chini kuna mabox matatu, lakini pia akagundua site zingine mbili karibu na eneo hilo, akaongeza pia kuwa site mbili zinalindwa na mashetani,na site moja ni mitego. Alichoomba tu kuwa tuwe share kwa yeye kutoa dawa na kutoa mzigo baada ya kufuufukua,hapa tunalia kupata Scaveta ya kuchimba..kama unalo karibu.
Acha kamba mkuu.
Ati huyo tapeli anaweza kukuonyesha zilipo?
Kama anaweza kwa nini asiende mwenyewe?
Pili anataka wewe uchimbe halafu muwe share?
Hadithi za kibaraza cha kahawa hizo!
 
Mkuu hiyo iko ebay, na tayari kuna bidders wa kulipa $1,799
Ninaposema zenye thamani ni zile ambazo ni spirit items mkuu na siyo hizo za Ebay... na hapa naongelea Coin Kama
1.Funfu Mark
2.Rupia nyekundu ya simba wawili
3.Rupia ya Kitumbua ( Upande inakuwa imevimba kiasi hicho)
na items nyingine nyingi tu zenye uthaman.
 
Fundisha WATU NASIO masifa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
JESUIT am not joking baadhi ni mambo ya hatari mno kwa mfano ipo seal fulani ni german traditions ukiiwela pahalapenye hiyo kitu madudu yote hukimbia ni kitabu maalumu mno ''Make this seal in the Night of St. John at midnight and on gold. If you bury this seal at a place where spirits are dwelling, they will leave rapidly and they will leave behind all their treasures.''nimeshindwa iweka hapa seal yenyewe
 
JESUIT am not joking baadhi ni mambo ya hatari mno kwa mfano ipo seal fulani ni german traditions ukiiwela pahalapenye hiyo kitu madudu yote hukimbia ni kitabu maalumu mno ''Make this seal in the Night of St. John at midnight and on gold. If you bury this seal at a place where spirits are dwelling, they will leave rapidly and they will leave behind all their treasures.''nimeshindwa iweka hapa seal yenyewe
Haya na Mimi ni mdau wa haya mambo na nina research nyingi naanza kuzi publish anza lecture sasa

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
JESUIT am not joking baadhi ni mambo ya hatari mno kwa mfano ipo seal fulani ni german traditions ukiiwela pahalapenye hiyo kitu madudu yote hukimbia ni kitabu maalumu mno ''Make this seal in the Night of St. John at midnight and on gold. If you bury this seal at a place where spirits are dwelling, they will leave rapidly and they will leave behind all their treasures.''nimeshindwa iweka hapa seal yenyewe
free mason sio?/ ah ah https://www.cia.gov/library/abbotta...y.P.Hall_The.Secret.Teachings.of.All.Ages.pdf
 
Back
Top Bottom