Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Sio kweli

Sijakulazimisha uamini Amini unacho Amini message sent
 
Ni kweli dada,
Ila naona wote wanafanya kazi,inamaana wote wanarudi wamechoka!

Jukumu ka kumtunza mwanaume sio jukumu la mke, maana wote ni watu wazima. Ingekuwa sawa,kama mke angekuwa “mama wa nyumbani” ila kama na yeye anatoka kwenda kutafuta na isitoshe anarudi na kupika,hiyo nadhani inatosha. Kama huyo jamaa anashindwa kujiangalia mwenye nadhani kutakuwa na shida kwakwe.
 
malikia balqiis .
1. Hakuna mwanamke ambaye anapewa kila hitaji awe mchafu tena wasasa .
Ukiona mtu hajaliwi anabana matumizi home.
2. Kuna baadhi kweli wanawake ni wachafu tena hasa wale ambao hawajui mume atajenga lini . Au maendeleo yoyote. Unajua mke anayependwa husaidiwa . Nasio kusimangwa kulea sio rahisi ndio maana wengi hupewa misaada @ labda awekewe mfanyakazi au ndugu wa msaidie.
 
Mtu anaye jaribu kukuelekeza ni uelewe, unamwita da yunis mie sio unis mi ni yu min e ,ulisema hivyoo au ulikuwa unamtishia danga lako. Ili litoe matumizi

Da yuniki kwenye mlo wako Kila siku jitahidi usikose mboga za majani,🤣
 
Mie sio yuniki msiniitie mikosi mie
 
Binafsi suala usafi na usmart wa mwanaume unaanza na yeye mwenyewe kwanza kujijali halafu mke anatembea na hiyo beat.. Sasa kama M/me mwenye hujijali tusilaumu sana wanawake ... Maana na yeye anakuona ni wa hivyo... M/me ukiwa na tabia za usmart itamlazimu m/ke kuwa hivyo pia..."pay u're self first"
 
Unajua shemeji humu kuna watu wanajijkuta wajuaji sana na wanapewa upendeleo, ndio maana napendelea sana kutumia quora na reddit huku jf napatumia marachache nampango nipotee kabisa humu, nitakua kwenye jukwaa moja tu ambalo ni siri yangu
Hilo la upendelea Kila siku linashamiri....
Sjui wanataka nn hao wanaojipendekeza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…