La Roche
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 215
- 406
Oohh really!! You like it?? 😂Ushanibatiza na jina nimeipenda iyo 😍
Le madam Kungwi mjane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oohh really!! You like it?? 😂Ushanibatiza na jina nimeipenda iyo 😍
Umenivunja mbavu Aya Karibu Somo Wangu by kungwi mjane 🤣🤣Nakuja kumsoma kungwi ngoja nitafute utu na utulivu
Shusha nondo 😊Nakuja kumsoma kungwi ngoja nitafute utu na utulivu
Wengine Maisha tuliyo pitia ni zaidi ya JKT.Kabla hajakuoa anapiga kampeni
Atadeki hadi nyumba
Mi nachoshukuru Mungu nasemaga sijui kunyoosha nguo za kiume
Hiyo ndo imebaki shuhuki yake pekee,Ila nashukuru Mungu pamoja Na madhaifu ya mume Wangu ananisaidia Sana watoto,kuanzia kuwalisha kuwaogesha Na yeye mwenyewe kujiweka Safi
Nashauri vijana wapitie jkt hakiyanani
Le kungwi mjane kwenye one and twoNakuja kumsoma kungwi ngoja nitafute utu na utulivu
Three and four 😉Le kungwi mjane kwenye one and two
Yeaaaaahhhh!! Shout out to Kungwi mjane 😅Three and four 😉
Three and fourLe kungwi mjane kwenye one and two
Jina limenoga kama supu ya wanayanga weee huogopiiiii le madam kingwi mjane 😍Oohh really!! You like it?? 😂
Le madam Kungwi mjane
Uchafu wao tu mke si sababu. Kuna wanaume hata hawajaoa ila ni wako smart sana, usafi ni tabia.Ni ajabu yani utoke shati limejikunja kisa mke hajanyoosha na umeme upo, pasi ipo.
Nasikia ukioa unakua smart zaidiUchafu wao tu mke si sababu. Kuna wanaume hata hawajaoa ila ni wako smart sana, usafi ni tabia.
Ebu oa kwanza afu uje na mrejesho.Nasikia ukioa unakua smart zaidi
😁😁😁😁 sawa bhanaEbu oa kwanza afu uje na mrejesho.
Mbna ban Tena umewafanya nn... Hawa viumbe...?😅😅Wow basi wewe ni chombo haswa! Ila nikuulize ulikua sealed ni kwamba hujawahi kutongozwa ama ulimpenda sana kiasi kwamba ukampa kabla ya ndoa maana it was risky
Najua umejibu basi tu kataa ndoa mzoefu 😂😂😁😁😁😁 sawa bhana
Aloooh...hongeraYeah na nilikuwa nimemwambia 10m...aka bagein...
1m nkachukua mm. 6nkawabless wazazi
Sio hivyo hata , kataa ndoa nimejitoa ila siwapingi harakati zao😁😁😁😁😁😁Najua umejibu basi tu kataa ndoa mzoefu 😂😂
Kabisa jimbo likishapatikana hakuna haja ya kampeni tena au sio😁Si ndo maana michepuko mpo, msaidie sasa hayo majukumu na nyie.......
Samaki kwenye tenga unampa chambo wa nini sasa 😹😹😹Kabisa jimbo likishapatikana hakuna haja ya kampeni tena au sio😁