#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

Huu siyo ujinga tu bali ni upumbavu uliopitiliza. Nia yao ni mbaya. Wanataka tuendelee kuangamizwa na janga hili. Serikali iwashughulikie na kuwashitaki kama wauwaji.
Wewe ngedele kabisa, hivi tangu lini ugonjwa wa mafua ukaangamiza mwaafrika, usiwe lijinga la kukaririshwa eti mafua yatatuangamiza, kwa akili zako za kijinga unataka ufungiwe kama Kenya? Huu ugonjwa ni wa kuishi nao kama magonjwa mengine, tunachokataa sisi ni kutiana hofu za kijinga kijinga kama vile eti huu ugonjwa umekuja 2021 au baada ya Dkt Magufuli kufariki. Ni wapumbavu na wajinga ndiyo mnataka kuharibu kwa kuamini kuwa Dkt Magufuli alikuwa muongo wakati alipotutia moyo na kutufanya tujiamini na kuhimiza tule na kufanya mazoezi na ninyi mlikubaliana naye, ila sasa hayupo mnamgeuka kenge nyie
 
That was fake, wewe huoni hata mchomaji alikuwa hasukumi dawa??? Hivi wanapoleta kukabidhi hundi ya mfano huwa unadhani ni cheki kweli kweli??? Wewe na wenzako ni majinga kama mnadhania zile zilikuwa chanjo za kweli. Ile ilikuwa ni maigizo tu.
Mataga mtatuangamizia watu wetu nyie!
 
Hakika Mzee wetu Lowasa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.


Over!
Kwa akili zako zotee Raisi mpaka leo atakuwa hajapata chanjo tuu.
Wewe ndo akili umezikalia takoni.
 
That was fake, wewe huoni hata mchomaji alikuwa hasukumi dawa??? Hivi wanapoleta kukabidhi hundi ya mfano huwa unadhani ni cheki kweli kweli??? Wewe na wenzako ni majinga kama mnadhania zile zilikuwa chanjo za kweli. Ile ilikuwa ni maigizo tu.
yaan wewe ni bongee la mjingaaa!!!aisee hii Nchi itachukua muda kuendelea Hadi wajinga Kama wewe mfe wote
 
yaan wewe ni bongee la mjingaaa!!!aisee hii Nchi itachukua muda kuendelea Hadi wajinga Kama wewe mfe wote
Ninyi ndiyo inabidi mfe pimbi kabisa, mnatuletea ngojera za wazungu. Mliambiwa very simple, tuonesheni utabibu wa hiyo chanjo, toeni elimu, nyie mlivyo wajinga mnaibuka tu na korona huku mmepewa hela ili muue watu. Tunamshukuru Mungu Dkt Magufuli kaacha wosia mzuri, "Machanjo hayafai"
 
Mataga mtatuangamizia watu wetu nyie!
Idiot mkubwa. Hakuna cha kusingizia. Wewe ndiye mjinga. Je kuna uthibitisho gani wa ubora wa hiyo chanjo???? Waziri wenu wa afya ndiyo mropokaji kabisa, badala ya kutumia hoja kuueleza umma wa watanzania kuwa jamani dawa hii tumeileta, tumeichunguza kweli inakidhi vigenzo, yeye anaimba ngojera za chanjo tu, yaani pimbi wakubwa nyie
 
Hakika Mzee wetu Lowasa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.


Over!

Mie imebidi nikae kimya tu ukieleza facts kama hizi utapingwa sana na wengi wanao jiona wazalendo lkn hasa tatizo la msingi ni uelewa na elimu haba

Tunaweza tuka challenge ufanisi wa Chanjo lkn hatuwezi kupinga ni njia pekee na sahihi kwa muda huu kutuvusha kwenye janga hili
 
Ikiwa nikichanja bado kuna uwezekano wa kuambukizwa korona au kufa kwa korona, je chanjo ina msaada gani? Nini tofauti kati ya mtu aliyechanjwa na mtu asiyochanjwa ikiwa wote tuna uwezo wa kuambukiza, kuambukizwa au kufa kwa korona?
 
Acha basi kuita watu wajinga kisa tu wanamtazamo tofauti na wako!
Disbelief iliopo juu ya chanjo sio kitu chepesichepesi kama unavyochukulia!
Unawaita wajinga kwa kuamini kuwa SSH alichanja normal saline! Mjinga sidhani kama anaweza waza hivyo...huyo ni mdadisi! Na kwa bahati mbaya hata ww huwezi toa jibu lililo na uhakika pasi chembe ya shaka! Ukweli wanao waliotoa hizo chanjo in the 1st place, siyo ww!
Umesema Gwajima hatakiwi kuaminiwa kwa kuwa hajui hata panadol inavyotengenezwa wakati huohuo unaamini daktari anajua panadol inavyotengenezwa...I'm sorry to disappoint you madam, hata daktari wa ktz hajui hiyo panadol inatengemezwaje! Lakini ww mwerevu, ulipaswa kujua, ulimwengu tulionao ni ulimwengu wa information technology, kila mtu anayo access ya taarifa sahihi! Unaweza kuta huyo Gwajima anazo taarifa ambazo hata hao madocta hawana! Ndio maana wagonjwa wa siku hizi wanakwenda kumuona daktari huku wakijua wanachoumwa na matibabu wanayotegemea kupewa! Sasa akikutwa daktari mwepesi shida inaanzia hapo, anaanza kuelekezwa na mgonjwa😜! Zama za kuhodhi taarifa zilishapita kitambo ndugu, usitukane watu kienyeji ukageuka kuwa liability kwa aliyekutuma😜!
Umemjibu vizuri Sana. Huyu jamaa anataka maswala ya kisayansi tuyapokee Kama tulivyopokea Imani zetu za kidini. Yaani kwa vile daktari kasema Basi wewe unapaswa kugeuka Kama king'amuzi unayeelekezwa kila kitu toka kwenye remote. Nadhani yupo Zama za mawe za mwanzo""""
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.


Over!
pumbavu, Hadi kwa baba zako Kule US, kuna watu hawaelewi na wako tayari kufukuzwa kazi ila chanjo hapana, halafu unawashitakia watu, ujinga mwingine bhana
 
ELIMU, ELIMU, ELIMU
we elimu yako inakusaidia nini? si majuzi tu ulikuwa unabugia moshi aka NYUNGU eti unatibu Corona, huku ukisema machanjo chanjo yanaletanisa corona hayafai na wazungu hawatupendi wanaweza kupandikizamo corona kweney majanjo kutumaliza, leo kiko wapi? kama si tatizo la elimu ni nini hicho.
 
Wewe una uhakika gani kwamba ile ilikuwa chanjo halisi? Tumia akili kufikili
Aiseee,kwa jinsi unavyoohoji na kulingana na walivyoonesha kwenye TV, mie pia sikuona angalau vile vichupa vya J&J vikifyonzwa na sindano pale ili kufanya shughuli ile ili angalau kuondoa tashwishi kwa wale akina 'Thomaso' kwamba lile lilikuwa ni igizo ................btw kazi iendelee.
 
Uzi unaolenga kuhimiza uanzishwaji wa kitengo maalumu cha kutengeneza chanjo zetu hapa nchini kutokana na hatari ya magonjwa, sijauona bado.

Lakinim nyuzi za kumenyana kwa maneno ya kuudhi kutetea ama kupinga matumizi ya chanjo zimejaa tele, kedekede hadi pomoni.

Nakumbuka Mheshimiwa Mbunge Humphrey Polepole akiwa bungeni aliwahi kuzungumzia kitu cha namna hii bungeni, yaani kuanzisha kengo cha kuratibu utengenezaji wa dawa ama chanjo dhidi ya magonjwa na kifichwe sehemu. Wapi!! Nadhani viongozi wengi wa serikali na wananchi kwa ujumla wamempotezea!!
 
huyo Bwana wenu kinjekitile ngwale aliwajaza ujinga akafa na korona bado hamjajifunza tu?
Subirini 2025 mtuone majibu yetu, maana mnashupaza shingo. Nadhani salamu mlizipata wakati wa kuaga.
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.

Over!
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom