#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

#COVID19 Wajinga wameibuka na hoja kwamba waliochomwa jana sio chanjo ni maji!

Mkuu Hawa Viumbe wa hii Nchi huwezi wafahamisha kitu wakakuelewa kwasababu tayari Wana mihuri ya ujinga katika vichwa vyao waliyopigwa na wanasiasa wao ili wafanikishe malengo yao. nikupe mfano Mimi nakaumbuka Kati ya mwaka 2009/10 Wakati Marekani wanagawa neti za bure kila mtaa kwaajili ya kampeni ya kutokomeza malaria Kuna watu wengi tu walikuwa wanasema zile neti Ni sumu hazifai wazungu wameleta ili kutuua na kutuzuia tusizaliane tofauti ya Wakati ule Watu Wengi hawakua wakitumia mitandao ya kijamii Kama Sasa ivi.. Mimi pia nilikuwa mmoja wa watu tuliokataa zile neti Japo nyumbani kwetu Baadhi walichukua. Chajabu Leo imepita miaka Karibu 10 Hakuna chochote kilichowakuta wale Ndugu zangu waliochukua zile neti na kikubwa zaidi kweli malaria imepungua kwa asilimia kubwa Sana....
WENYE AKILI TUKACHANJE.. #Wenyeakilitukachanje..
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.

Mtu unamuuliza nipe sababu za kukataa chanjo anakwambia mbona chanjo ya malaria na UKIMWI wazungu bado hawajaigundua, hivi hizi ni akili za kawaida kweli au kuna tatizo?

Maana kama ni ujinga basi Taifa hili ujinga ni wa hali ya juu sana, Serikali naomba iwekeze zaidi kwenye elimu,

Hivi kipindi ebora Imepamba moto Congo, chanjo yake siilitengenezwa faster, chanjo siilileta majibu chanya mpaka sasa hakuna Ebora, Waliochanjwa Ebora mlisikia wamekuabmazombi? Alietemgeneza chanjo ya Ebora ni nani? si mzungu huyohuyo?

Unaacha kuamini wataalamu wa Afya ambao tangu umezaliwa unatibiwa kwa dawa zao unaenda kumuamini Askofu Rashidi ambae hajui hata Paracentamol inatengenezwaje?

Kazi ipo!

Wenye akili ya kuona yajayo mbeleni ngoja tukachanjwe.

Over!
Sasa kama watu waliambiwa papai lina corona wakaamini, unategemea nini?
 
Kuna wapumbavu waliaminishana kwamba kuna babu loliondo anatoa kikombe cha chanjo.

Watu walitoka kila kona ya dunia kuja kupata kikombe cha babu.

Mwisho wa siku robo tatu ya waliokunywa kikombe cha babu tumeshawazika.

Na ninaamini watakao chanjwa hii chanjo ya corona miaka 5 iyayo awatoboi.
 
yaan wewe ni bongee la mjingaaa!!!aisee hii Nchi itachukua muda kuendelea Hadi wajinga Kama wewe mfe wote
Kinyogole mkubwa, wewe ndiye lijinga mno tena lijinga la kiwango cha nyesi. Mnakaririshwa kuwapigia magoti mabeberu, sisi ni watu tunaojitambua tunatambua thamani ya utu wetu kama waafrica, ni wazalendo wa hali ya juu, hatuyumbishwi na pimbi kama nyie
 
Ww haujui usemalo! Research ya kujua usalama wa dawa au chanjo unachukuaa muda mrefu kwa sababu zifuatazo:
1. Mnyama kama panya akidungwa atafuatiliwa kwa muda wa kutosha kutaka kujua kama kuna madhara ya moja kwa moja kwa mnyama husika, kama, mabadiriko hasi, ugumba, na hata kifo...
Unatumia nguvu kubwa kuelimisha nguruwe.
 
Utofauti ni kwamba athari za maambukizi ikiwemo kufa ni kubwa kwa asiyechanja kulinganisha na aliyechanja.Aliyechanja ameongezewa resistance against virus.
Hata tukiwauliza matokeo ya hizi tafiti mmeyapata lini,majibu hamna.maana chanjo haina miezi 4 toka ianze kutolewa.
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii...
Hata kama ni yenyewe siyo issue, ila yule docta wa mama nilijiuliza why hakuvaa gloves? Ngoja wataalamu waje wanipe mwongozo
 
saiv kaibuka Askofu Rashidi, Degree yake ya Theolojia anaifosi kwenye mambo ya Medicine
Huyo anakuzidi kwa kila kitu! Ni bora kumwamini Gwajima kuliko daktari tapeli aliyenunuliwa kudalalia chanjo majaribio !
 
Watu hao lazima ni sana CCM tupu.
Matendo yao na akili zao zinasadifu tafiti nyingi zilizo fanyika kuwa ni sana CCM...
Nchi hii wajinga ni watanzania wote wa chadema, eisitii, chauma,sisiemu, kafu etc

Leo Rais akiibuka na jambo utashangaa watu wanavyosupport hata kama ni lakijinga

Mbowe au Lissu akiibuka na jambo ze semu

Kifupi nchi yetu watu wake wamejaa unafiki na ni fuata upepo, bado mawazo ya zidumu fikra za mwenyekiti yapo. Na tunasafari ndefu sana
 
Huyo anakuzidi kwa kila kitu! Ni bora kumwamini Gwajima kuliko daktari tapeli aliyenunuliwa kudalalia chanjo majaribio !
Unauhakika gani Gwajima kamzidi huyo jamaa kila kitu mkuu? unamjua huyo mkuu nje ya hapa? inawezekama hata huyo jamaa ni waziri mkuu......hizi fake Ids zisifanye uone wote hawana vyeo humu.
 
Kweli kabisa,naona kuna kundi linatumia nguvu sana,wakati humu jeifu kila siku kuna kelele za uhuru wa mtu,ila kuna watu wanahisi wanaweza kumpangia mtu maamuzi ya maisha yake
Kabisa kwenye hili suala ifike mahali kila mtu afanye maamuzi yake na si kulazimishwa
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii.
Unfikiri tatizo ni elimu basi!! Ni upumbavu tu, wengine wana elimu kubwa tu lakini ni walinda legacy ya Mwendazake!!!
 
Hakika Mzee wetu Lowassa alikua sahihi sana kisema kipaumbele chake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU

Rais Samia unakazi sana kuongoza vichwa vya namna hii....
Wawaulize hao warabu na baadhi ya nchi za afrika zenye watu wenye misimamo mikali ya dini ya kiislam walipokataa chanjo za polio!! Nini nikiwakuta, wenye we waliitafuta ilipo!!baada ya kuwaona walioikubali mambo ya ulemavu kwa watoto yalikwishaa.
 
Gwajima achomwe moto ,yeye ndio chanzo kikubwa cha upotoshaji unaondelea aisee
Ww kweli makupa, na upumbafu umekushika na kukuingia!
Gwajima kaleta hoja ambazo kila mtu mwenye akili timamu anahoji bila kupata majibu! Ww zombie unawaza achomwe moto! Kweli, utachoma wangapi! Eeh baada ya kumchoma moto utakuwa umejibu hoja zake juu ya usalama wa chanzo kwako miaka 10 ijayo! Au unachodungwa ni nini hasa?
Hebu jifunzeni kufunika ubumbafu hata kidogo!
 
Back
Top Bottom