Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.Acha uzushi Mzee,Daudi alikuwa myahudi au mwebrania wa kabila la Yuda , na Hadi Leo archeologist wamechimbua mji wa Daudi upo pale Israel ,una historia nyingi na mabaki yanayothibitisha View attachment 3159364
Kama Daudi hakuwa Myaudi, Myaudi nani sasa? James Mbatia?Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
Mbona swali umeuliza kitoto sana!?1. Hao wayahudi wasio wa zionism kama wapo hapo palestina je, wanauhusiano gani na sehemu inayopiganiwa na wapalestina wengine yaani hapo penye hekalu la suleiman au al aqsa?
Unazungumzia Kwa minajili ipi?Kama unazungumzia Kwa minajili ya kiislam basi mitume na manabii wengi walikua wana wa Israel sio wayahudi.Katika uislam uyahudi ni dini sio kabila au asili.Na uislam haujaanzia Kwa uzao wa Ismail usitake kudanganya watu.Uislam ulianzia toka enzi za Nabii Adam Hadi kuja kwa Muhammad.2. Umesema kuwa mitume na mabii wengi walikuwa ni wayahudi.... Sasa dini yenu imetokana na ishmael na ikaja mpaka kwa mohamed ambae ni mwarabu... Je, mabii wakiarabu kutoka kwa ishmael mpaka kwa Mohamed wakowapi kama hawapo ni kwa nn?
Kujisalimisha katika uislam ni kuitakidi na kukubali kuwa Mungu ni mmoja na Muhammad ndiye mtume aliyeletwa kukamilisha hiyo dini.3. Israeli kama taifa mwanzo wake ni upi? sababu hata maandiko ya historia za kale zinatambua israel kama taifa... Na je hao manabii wayahudi wakale uliowataja wao walikuwa taifa gani?
4. Kama a kila mtu anaejisalimisha kwa Mungu ni muislamu.... Basi wayahudi, wahindu, na dini zingine wote kwa tamaduni zao wako sahihi sababu abu kila mmoja anaamini amejisalimisha kwa Mungu...
Kwanini sasa uislamu unataka watu waslimu...? Hivyo huwenda Yesu hakuwa muislamu sababu tayari unakubali alikuwa ni myahudi ambayo nayo ilikuwa ni dini kama ulivyo sema na uislamu pia ni dini, kwa hio hata wakati wa Yesu uyahudi ulikuwepo na uislamu ulikuwepo, kwanini useme Yesu alikuwa ni mwislamu.?
Mtume hakuwahi kuzini na aliua vitani.Kuwa submissive to the will of God ni kuzitii amri zake kumi, mtume alizitii? mtume hakuua? hakuzini?.....
Ndio ina Kila majibu.Quran si mnasema Ina kila majibu ?
Wewe ukiambiwa ulete Injil unaweza ukaielezea Iko wapi!??Hiyo Zaburi ukiulizwa Leo ipo wapi unaweza kuelezea ?
Unajitapeli mwenyewe kijana.Acheni Utapeli
Vimebadilishwa ama vimechakachuliwa!?Swali anarejeaje kwa vitabu mnavyosema vimebadilishwa?
Kuwepo Kwa huo ushahidi kunazuia vipi kusema kuwa Daud alikua muislam!?Historia ipo wazi ,vitabu vipo wazi vya historia ,
Archeologist wamechimbua mji wa Daudi ,Kuna ushahidi mwingi
Historia ipo wazi sana aisee, kwa hiyo mtu akisema Uislamu ulikuwepo kabla ya Muhammad,mara kina Daudi ,Suleiman walikuwa islamu mnafanya wenye akili timamu waone dini yenu ya kimagumashi sana
Mfano angalia kuhusu mji wa Daudi
Mji wa Daudi ni eneo la kale kusini mwa Mlima Moria, likiwa sehemu ya Yerusalemu ya kwanza. Ugunduzi wa mabaki kama Chemchemi ya Gihon na mahandaki umeonyesha ustaarabu wa kifalme na kidini wa Israeli.
Kimaandiko: Daudi aliteka mji kutoka kwa Wayebusi, akaifanya makao yake na kuleta Sanduku la Agano (2 Samweli 5:6-9; 6:12-17). Ni mahali pa asili ya ukoo wa kifalme wa Daudi na unabii wa Masihi (2 Samweli 7:12-16).
View attachment 3159400
Handaki la Hezekia
Kiaikolojia: Handaki hili lenye urefu wa mita 533 lilichimbwa wakati wa Mfalme Hezekia (karne ya 8 KK) ili kuelekeza maji kutoka Chemchemi ya Gihon hadi Bwawa la Siloamu ndani ya mji kwa ulinzi dhidi ya maadui. Maandishi ya Siloamu ndani yake yanathibitisha ujenzi wake.
View attachment 3159401
Kimaandiko: Biblia inaeleza jinsi Hezekia alivyojenga handaki hili kuwalinda watu wake wakati wa uvamizi wa Ashuru (2 Wafalme 20:20; 2 Mambo ya Nyakati 32:2-4). Bwawa la Siloamu lilihusishwa na miujiza ya Yesu (Yohana 9:1-11).
View attachment 3159403
Hujajibu Rudi kaangalieNdio ina Kila majibu.
Unataka kulenga nini!?
Mbona umeshapewa majibu hapo ama kipi hujaelewa!?
Limejibiwa ila wewe ndio unalazimisha kuwa haijajibiwa.Hujajibu Rudi kaangalie
Leta hivo vitabu ambavyo havijachakachuliwa hapa tuoneVimebadilishwa ama vimechakachuliwa!?
Wapo watu wa vitabu ambao walikua wana makala halisi za hivyo vitabu na ndio hao waliitwa watu wa vitabu na hata uislam uliwaruhusu kuwaoa.
Nimekuelewa vizuri sana kitu ulichokisndika ila Kuna kaujinga kidogo kichwani kwako ngoja nikitoeAmbapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.
View attachment 1757085
Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleimanni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.
Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.
So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu
1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”
Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/
So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo
Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo
So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chinimuundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.
View attachment 1757143
Wewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??Leta hivo vitabu ambavyo havijachakachuliwa hapa tuone
Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.Na hiyo haya inayosema mkaulize kwa manaswara na wayahudi wenye kitabu Leo Haina kazi Tena?
Historia haiongopi,ujue nyie wenzetu mmenyimwa elimu Dunia pia hampendi kutoka nje ya box, pia dini yenu imejengwa kwa kuunga Unga vipande huku na kule kuchomeka uongoKuwepo Kwa huo ushahidi kunazuia vipi kusema kuwa Daud alikua muislam!?
Hivi unajua hata unachoongea wewe!?
Labda nilidhani huo ushahidi wa archeology ni wa makanisa ama mahekalu ya ibada kumbe ni ushahidi wa mji.
Sasa ushahidi wa mji ndio unatosheleza kusema kuwa Daud alikua sio muislam!?
Huwenda hujui hata unaongea nini.
Unapafahamu Petra!?
Kuna ushahidi wa mabaki ya msikiti miaka 600 kabla ya kuzaliwa mtume Muhammad.
Nenda kaifuatilie Petra Jordan.
Hii inathibitisha kabla ujio wa Muhammad uislam ulishaanza.
Acha uzushi wewe,jibu swali ,hiyo Aya kwasasa Haina kazi?Wewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??
Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.
Sasa hivi hakuna watu wa vitabu waliokusudiwa.
Mayahudi na manaswara waliokusudiwa ni wale waliokua wanaoamini juu ya Mungu mmoja,sio manaswara nyie wavaa misalaba na wayahudi hawa wasiojielewa waenda uchi.
Agano la kale au Tanakh lipo Hadi LeoWewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??
Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.
Sasa hivi hakuna watu wa vitabu waliokusudiwa.
Mayahudi na manaswara waliokusudiwa ni wale waliokua wanaoamini juu ya Mungu mmoja,sio manaswara nyie wavaa misalaba na wayahudi hawa wasiojielewa waenda uchi.
Injili zipo na zimeandikwa na wanafunzi wa Yesu ,Wewe ukiambiwa ulete Injil unaweza ukaielezea Iko wapi!??
Daudi alikuwa mwebrania mwana wa Yese, mwana wa Obedi ,Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
Mkuu,Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.