Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Nakuletea.
Ila hujanijibu,unazungumzia uyahudi kabila ama dini?
Qur'an inatambua uyahudi ni dini.
Ngojea nikuletee ushahidi kuwa Suleyman alikua ni muislam.Na uislam kaurithi kwa babaye Daud.
Na ushahidi wa kuwa muisraeli au mpalestina nitakuletea.

Unajuaje kwamba suleyman alikuwa ni muislamu
 
Wacha twende taratibu.
Hayo kusema kuwa waislam wa uarabuni wanajua Suleyman alikua myahudi doh kaka huo ni mtazamo wako.
Then maelezo yako yanaelezea uyahudi km kabila siyo dini.
Maana uhusiano wa kidini hapo sijauona kulingana na mafundisho yetu.LABDA KAKA UNIWEKE SAWA BAADAE.
Na sijajua umetumia kitabu gani.
Ila kwa mujibu wa mafundisho yetu ambayo yapo kote kwa waislam wote wa dunia nzima,Suleyman mtoto wa Daud hao ni wapalestine.Na hao siyo chanzo cha kuwepo wayahudi.Maana wayahudi walikua kabla ht ya nabii Suleyman na nabii Daud.
Maana uyahudi sie twautambua km dini.
Ila wana wa israel ndio twawatambua kama asili.
Na Suleyman hakuwa mwana israel.

Kuhusu Mwaka wa kiislam ulianza pale baada ya muhammad kuhama kutoka makkah kwenda madinah kwa kalenda ya kawaida ni miaka ya 570s A.D km sijakosea.
Na ndio maana ukapewa jina la calendar ya hijriyah.Hijriyah imetokana na hijrah maana yake kuhama.
Na hijriyah ni mwaka wa mhamo.

ambapo sasa hv ni mwaka wa 1435 km sijakosea.
Ila hiyo calendar imeanza miaka 20 mbele baad ya mtume kuamriwa na Allah atoke Makkah aende madinah.

Swali lingine bro.
Uyahudi ni kabila ama dini??
Na je wanaisrael wote ni wayahudi?
Suleiman hakuwa Mwana Israel?!
Sasa alikuwa Nani?!
 
Kajifunze vitu viwili kesha ndio uje ulete hoja.
1)Uislam ulikua ktk misingi ipi kabla ya kuja Muhammad.
2)Uislam ibada zake zilikuaje kabla ya kuja Muhammad.
Niongezee kuwa Kiongozi wa Waislamu kabla ya Muhammad alikuwa Nani? Na pia Waislamu Walikuwa wanakwenda kuhiji wapi kabla ya Hapo?
 
Nasema hivi hakuna nabii wala Mtume wa Mola ambaye hakuwa Muislamu,anzia kwa nabii Nuhu.

Wote walikuwa Waislamu,kuna mwenzako anasema nabii Ibrahimu alikuwa Myahudi,nikamuomba ushahidi naona ametokomea,na wewe utaniambia nabii Ibrahimu alikuwa dini gani ?
Aisee!
 
Allah anasema katika Qur'aan :

127. Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

128. Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako, na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe umma ulio silimu kwako. Na utuonyeshe njia za ibada yetu na utusamehe. Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

129. Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

130. Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipo kuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini Sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye katika Akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.

131. Na Mola wake Mlezi alipo mwambia: Silimu, Nyenyekea! Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote.

132. Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

133. Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake. (al-Baqarah : 127 - 133)

Akasema tena katika sura ya 3 ndani ya Qur'aan :

67. Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina. (al-Imraan : 67)
Kwa mujibu wa Qur'aan Ibrahim alikuwa Muislamu
Kwa mujibu wa Judaism Ibrahim hakuwa Muislamu
Kwa mujibu wa Ukiristo Ibrahim hakuwa Muislamu

Swali la nyongeza: Wayahudi was Leo Ambao ni uzao wa Ibrahim kupitia Yakobo wao nao Ni Waislamu?!
 
Niongezee kuwa Kiongozi wa Waislamu kabla ya Muhammad alikuwa Nani? Na pia Waislamu Walikuwa wanakwenda kuhiji wapi kabla ya Hapo?

Niongezee kuwa Kiongozi wa Waislamu kabla ya Muhammad alikuwa Nani? Na pia Waislamu Walikuwa wanakwenda kuhiji wapi kabla ya Hapo?
Mitume ya nyuma ndio ili viongozi wa uislam.
Hakukuwa na Ibada ya hijjah miaka ya nyuma.
Mitume ya nyuma walikua wana taratibu ya ibada tofauti na ya Muhammad.
Ila ya Muhammad ndio ikaja kufanywa timilifu.
 
Unajifanya kuwa mpuuxi ni ww mwenyewe.
Ila mm based on my findings ule ni unyayo wa Ibrahim akiwa anajenga alkaabah na uislam ulikua kabla ya Muhammad kuja.
WE UNAKAA UNAZURURA USWAZI MWA DAR IS SLUM UKAE UBISHANE NA WATU TULOAMUA KUTEMBEA NA KUSOMA!?
SHENZI TYPE.
Mpuuxi =[emoji735]
Mpuuzi =[emoji818]
Bado una mwandiko wa maslay queen halafu unasema umetembea [emoji706][emoji706]
 
Kwa mujibu wa Qur'aan Ibrahim alikuwa Muislamu
Kwa mujibu wa Judaism Ibrahim hakuwa Muislamu
Kwa mujibu wa Ukiristo Ibrahim hakuwa Muislamu

Swali la nyongeza: Wayahudi was Leo Ambao ni uzao wa Ibrahim kupitia Yakobo wao nao Ni Waislamu?!
Uyahudi ni Dini.

Hao wanao sema hakuwa Muislamu je alikuwa dini gani ?
 
Imani zingine bhana unaamini MUNGU yuko upande wa haki halafu unadanganya makusudi ili iweje kama kweli unamfuata MUNGU basi utasema ukweli regardless huo ukweli ni mchungu ama la.Ni ajabu sana unaposema eti uislam ulikuwepo tangu kuumbwa kwa dunia huku ukihubiri unamwamini allah na Muhammad ni mtume wake(mohd ni muislam wa kwanza na khadija ni wa pili).
 
Mitume ya nyuma ndio ili viongozi wa uislam.
Hakukuwa na Ibada ya hijjah miaka ya nyuma.
Mitume ya nyuma walikua wana taratibu ya ibada tofauti na ya Muhammad.
Ila ya Muhammad ndio ikaja kufanywa timilifu.
Sawa nitajie jina la Kiongozi au Mtume wa Mwisho wa Waislamu kabla ya Muhammad?
Je Wayahudi nao Ni Waislamu?
 
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
I'm a Christian lakini pia naomba nikukumbushe one fact in history ni kwamba; History is always written by the winners/ victors
So kila upande unaoandika historia, huwa unaandika au kusimulia masimulizi yanayoipendelea au yanayotimiza makusudio yao.
So usitegemee scholars wa Islamic faith watasimulia masimulizi yatakayoutukuza Ukristo, wala usitarajie Scholars wa Christianity watasimulia masimulizi au historia itakayoutukuza Uislam
 
Sawa nitajie jina la Kiongozi au Mtume wa Mwisho wa Waislamu kabla ya Muhammad?
Je Wayahudi nao Ni Waislamu?
wayahudi sio waislam.
Kwa mujibu wa mafundisho yetu wayahudi ni dini tofauti na waislam.
Mtume wa mwisho kabla ya Muhammad ni Issa ibn Maryam.
 
Imani zingine bhana unaamini MUNGU yuko upande wa haki halafu unadanganya makusudi ili iweje kama kweli unamfuata MUNGU basi utasema ukweli regardless huo ukweli ni mchungu ama la.Ni ajabu sana unaposema eti uislam ulikuwepo tangu kuumbwa kwa dunia huku ukihubiri unamwamini allah na Muhammad ni mtume wake(mohd ni muislam wa kwanza na khadija ni wa pili).
We embu acha contradictions.
Muhammad ni mtume wa zama hizi ndio maana sasa hv ili ukiri kuwa ww ni muislam ni lazima umkubali Allah na Muhammad ndio mtume wake.
Kila zama ililetewa mtume wake na sheria zake.
 
wayahudi sio waislam.
Kwa mujibu wa mafundisho yetu wayahudi ni dini tofauti na waislam.
Mtume wa mwisho kabla ya Muhammad ni Issa ibn Maryam.

Kwa mujibu wa mafundisho ya uislamu, Kati ya dini ya kiyahudi na dini ya kiislamu, ipi ilitangulia?
 
Back
Top Bottom