Nilifungua uzi nikijua ni wa tz..
Pamoja na dawa za kupunguza makali na huduma mbali mbali za afya.. bado ukimwi ni tishio na unatesa wengi
usiombe umpate mtu wako wakaribu..usikie kwenye tv
Sure Mkuu hiyo kitu si mchezo labda uwe Carrier ndio hautoona madhara yake sana.
Well, Navyojua Eazy alianza kupata mafanikio makubwa baada ya Dre kuwa kwenye picture. Hata Fredro alisaidia kuhoji 'What if N.W.A never had Dre', na Mwana FA akatafsiri kusisitiza.Ndio Hivyo Mkuu alivyoingia kwa Eazy-E nyota yake ndio ikang'aa zaidi ni kama hapa Bongo kusema Bob Junior kamtoa Diamond,B4 Diamond Kuingia Sharobaro Recs alikuwa na Ngoma Jisachi aliyotengeneza kwa Lamar lakini haikumtoa.
Mimi mwenyewe najiulizaga,kama ulaya kuna ukimwi basi rihhana hakosi kwa kweli, maana *** yule
Ila tusiwatenge huwezi jua dunia hii, hakuna anayependa kupata ukimwi, ni mitihani tu, waathirika wakisoma apa watajisikia vibaya, hatuwezi kujua labda na sisi ni maiti tarajiwa ahahahahja
Haya bwana.Mimi nasubiri list ya masuper star wa Tanzania waliofariki kwa UKIMWI!
acheni kumchafua nabii Bob Merley. nabii huyu aliuawa na watu wa CIA kwa kumu-inject kansa mwilini mwake. leo hii wahuni hao hao kupitia VOA wanazusha eti Bob amekufa kwa HIV!!!!
bob hakuwa nabii hata!!
kwa imani yako bob si nabii, ila kwa imani yangu mimi bob ni nabii
jizuzue tu!
Ukiweka Haipiti hata dakika sifuri Mods wanafanya yao...Labda tutaweke List ya Wasanii wa Bongo waliofariki kwa Ugonjwa wa Moyo na Kifua.
SIku izi magonjwa yanalipuka mengi, washukur izo dawa za kupunguza makali ya ukimwi, maana wangeumbuka wengi, mtu anajishaua kufanya mazoezi na kula vizur kumbe tayari... bongo movie ndo mmh hatari, huyu mjane kijana nae nasikia kaukwaa
mkuu kila mtu ana haki ya kuamini kile anachoona yeye kinastahili.kwangu mimi bob, che guevara, senzo, ni manabii. Sikulazimishi uamini hivyo na wala usinione zuzu kwa kuamini hivyo. We endelea kuamini unachoamini
Iko makini sana hii Chief, kila mtu ana haki ya kuamini anachotaka. Kwangu, Pac's a prophet.mkuu kila mtu ana haki ya kuamini kile anachoona yeye kinastahili.kwangu mimi bob, che guevara, senzo, ni manabii. Sikulazimishi uamini hivyo na wala usinione zuzu kwa kuamini hivyo. We endelea kuamini unachoamini
Kuna mtu mmoja alikua na nguvu sana hapa TZ.tulitangaziwa kaondoka kwa kansa ya damu lkn ilikua ngoma pia. Nikimtaja sitaeleweka hata kidogo na wa Tz na naweza kutiwa selo. Ngoja tu nipotezee!
Huyo licha ya huo unaousema kuwa ulimuua lakini kuna stori pia kuwa aliuawa.
Kwa nini aliuawa?