Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

Nilifungua uzi nikijua ni wa tz..
Pamoja na dawa za kupunguza makali na huduma mbali mbali za afya.. bado ukimwi ni tishio na unatesa wengi

usiombe umpate mtu wako wakaribu..usikie kwenye tv

Sure Mkuu hiyo kitu si mchezo labda uwe Carrier ndio hautoona madhara yake sana.
 
Ndio Hivyo Mkuu alivyoingia kwa Eazy-E nyota yake ndio ikang'aa zaidi ni kama hapa Bongo kusema Bob Junior kamtoa Diamond,B4 Diamond Kuingia Sharobaro Recs alikuwa na Ngoma Jisachi aliyotengeneza kwa Lamar lakini haikumtoa.
Well, Navyojua Eazy alianza kupata mafanikio makubwa baada ya Dre kuwa kwenye picture. Hata Fredro alisaidia kuhoji 'What if N.W.A never had Dre', na Mwana FA akatafsiri kusisitiza.
 

Kifo cha ukimwi noooma balaaaa ndionhivyo hayupo anaependa kua nao
 
Haya bwana.Mimi nasubiri list ya masuper star wa Tanzania waliofariki kwa UKIMWI!

Ww uliza walio nao na wanasubiri kufa.

Ila wana kamtindo kabaya hawa jamaa! Mf: demu wangu, ni wako na wako ni wangu.
Namuacha miezi 6 una mchukua miezi 2, then namrudia tena. Baadae namwacha tena! E.g. Wema.

Ha ha ha Bongo Movie + Bongo Flavour!!!
 
ukigoogle list ya mastaa wanaoishi na waliofariki kwa ukimwi ni ndefu, wa maeneo mbalimbali wanamuziki, waigizaji, mamodel, pornstars, watunzi wa vitabu n.k
 
SIku izi magonjwa yanalipuka mengi, washukur izo dawa za kupunguza makali ya ukimwi, maana wangeumbuka wengi, mtu anajishaua kufanya mazoezi na kula vizur kumbe tayari... bongo movie ndo mmh hatari, huyu mjane kijana nae nasikia kaukwaa

Mama nenda kapime! Tema mate chini!
 
mkuu kila mtu ana haki ya kuamini kile anachoona yeye kinastahili.kwangu mimi bob, che guevara, senzo, ni manabii. Sikulazimishi uamini hivyo na wala usinione zuzu kwa kuamini hivyo. We endelea kuamini unachoamini

Damn!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…