Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

siku zote ukitaka kujifunza mambo usiyoyajua nenda kwa lengo la kujifunza usiangalie usabato jifunze wana kitu gani ambacho hukijui na jaribu kutazama kama kina ukweli au ni uongo tu.ndugu gharama ya kutafuta ukweli ni kazi sana ila penda kujifunza tena kupitia vitabu

yani mkuu tedo akimsikiaga huyo mama wakisababato lazima alianzishe.
Haijalishi kinachoongelewa mmh
 
Ndugu zangu mbona hamleti jibu jamani?niliwapa kahome work sijui mmekasahau?niliwaomba mgeuze neno "illuminati"kinyume.Kwa kifupi linakuwa "itanimulli",sivyo?sasa bonya hiyo itanimulli.com!nini kinafunguka jamani?

C l A au national security ya marekani
 
yani mkuu tedo akimsikiaga huyo mama wakisababato lazima alianzishe.
Haijalishi kinachoongelewa mmh

hana free mind hataki kujifunza juu ambayo wenzie pia wanaweza msaidia akaongeza ufahamu wa kile anachokifahamu kifupi hana jipya analohitaji kujifunza
 
Hawa jamaa ndo waliojenda UDSM nilimsikia lecturer watu siku moja akisema darasani.
Walikua na mpango wa kukifanya chuo kikuu bora kbs lakini sijui ilikuaje wakaondosha udhamini.

Swali hawa jamaa wana mahusiano na label ya Jay z rocka feller?
 
Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.

1. Hizi habari za "net worth of so and so in 2007 dollars" is murky unless the accounting method is revealed.
2. The Rockafelleer Wiki is here , I am not seeing those figures, where are you getting those figures?3. What exactly constitute a "family"? Are we talking about the nucleus family or including extended family?

Mkuu kiranga huoni unajichanganya hapa? Kwanza umekataa kuwa hakuna mtu aliyeweza kufikisha net worth ya 100 lakini link hiyo uloiweka inatambua hivyo.
 
Mkuu kiranga huoni unajichanganya hapa? Kwanza umekataa kuwa hakuna mtu aliyeweza kufikisha net worth ya 100 lakini link hiyo uloiweka inatambua hivyo.

Umesoma post yangu ya kwanza?

Ukisoma The Wall Street Journal hawakuambii so and so is the largest bank, lazima wakwambie by asset, by market share etc.

Rockefeller family ina, ilikuwa, ina zilizokuwa na sawa za sasa, au vipi?

Nikisema Mansa Musa is the richest man in history, that statement is confusing, because despite of driving inflationnin Cairo for ten years by his golden alms, he is no longer living.

Kuna tofauti ya Rockefeller kuwa na USD bilioni 663 in 2007 na kuwa na hela hizo zamani karne zilizopita, hela ambazo kwa thamani ya dola za 2007 ni bilioni 663.

I am affaid the difference is lost on some.
 
1. Hizi habari za "net worth of so and so in 2007 dollars" is murky unless the accounting method is revealed.
2. The Rockafelleer Wiki is here , I am not seeing those figures, where are you getting those figures?3. What exactly constitute a "family"? Are we talking about the nucleus family or including extended family?

CTU ume2danganya... Hakuna list kama hyo bana. Gates, Buffet wapo juu kama kawaida.
 
kwa muda wa miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS

kuna mada ililetwa humu kuhusu rothschild ilikuwa ni mada nzuri
na katika baadhi ya wachangiaji walisema kuwa familia ya kina rothschild imepoteza ubabe wao wa kipesa eti familia ya kina rothschild wanazidiwa na kina bill gates, warren buffet n.k

niliishia kucheka na ndicho kilinichonisukuma mie leo kuandika machache kuhusu familia hii ya kina rockafeller

rockafeller ni familia ambayo imekuwapo tangu enzi na enzi ndio msingi wa serikali ya marekani kuwepo pale
ubabe wa serikali ya marekani unatokana na uwezo wao hawa jamaa Rockerfeller

JOHN D ROCKERFELLER NDIO TAJIRI AMBAYE HAWA NINA BILL GATES UTAJIRI WAKE WATAKALIA KUUSIKIA TU

BILL GATES ANA LIKE 50 MILL BILLION USD ILA DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007 , ACCORDING TO LIST OF WEALTHIEST HISTORICAL FIGURES


huyu jamaa watu wanasema alifilisika , no hakufilisika ila pesa zake alianzisha miradi mbali mbali mikubwa CHINI YA SERIKALI YA MAREKANI

na hii ilikuwa ni kujipenyeza ili aweze kuwa na say katika serikali ya marekani

mpaka leo familia yake ndio familia yenye nguvu sana marekani na duniani kote, wao ndio wanachagua nani awe raisi, nani awe mkuu wa majeshi nani awe makamu wa raisi famlia ya rockerfeller wanaingiza pesa nyingi sana kila siku kwenye miradi mikubwa ya marekani ikiwamo mradi wao maarufu wa ROCKAFELLER CENTER

rockafeller center ni nini??

Ngoja nikuulize swali dogo?

ukiambiwa neno NEW YORK unafikiria nini

MAGHOROFA si ndio
hayo maghorofa ambayo asilimia kubwa yako yapo pale midtown midtown manhattan
sasa jamaa hawa wana majengo 19 katika midtown manhatan acres 22 kuanzia street ya 48 mpaka ya 51

820px-NYC_Top_of_the_Rock_Pano.jpg





kama hivyo ndivyo rockafeller center inavyoonekana

picha zingine hizi hapa

250px-GE_Building_by_David_Shankbone.JPG








220px-Rockefeller_under_construction.png






hapa ilivyokuwa inajengwa mwaka 1932


wao ndio wanamiliki vyuo vikuu maarufu vyote vya marekani kwa kupitia Rockafeller foundation


vyuo hivyo ni





vingine ni




  • Senior (and Junior) also created
    • Rockefeller University in 1901
    • General Education Board in 1902, which later (1923) evolved into the International Education Board
    • Rockefeller Sanitary Commission in 1910
    • Bureau of Social Hygiene in 1913 (Junior)
    • International Health Commission in 1913
    • China Medical Board in 1915.
    • Rockefeller Museum, Israel, 1925–30
    • In the 1920s, the International Education Board granted important fellowships to pathbreakers in modern mathematics, such as Stefan Banach, Bartel Leendert van der Waerden, and André Weil, which was a formative part of the gradual shift of world mathematics to the US over this period.
    • To help promote cooperation between physics and mathematics Rockefeller funds also supported the erection of the new Mathematical Institute at theUniversity of Göttingen between 1926 and 1929
    • The rise of probability and mathematical statistics owes much to the creation of the Institut Henri Poincaré in Paris, partly by the Rockefellers' finances, also around this time.[SUP][7[/SUP]
    • Junior was responsible for the creation and endowment of the Colonial Williamsburg Foundation, which operates the restored historical town at Williamsburg, Virginia, one of the most extensive historic restorations ever undertaken.


REAL ESTATE

HAPA NDIO PATAMU



The family was heavily involved in many real estate construction projects in the U.S. during the 20th century. Chief among them:

  • Rockefeller Center, a multi-building complex built at the start of the Depression in Midtown Manhattan, financed solely by the family
  • International House of New York, New York City, 1924 (Junior) {Involvement: John D. 3rd, Abby Aldrich, David & Peggy, David Jr., Abby O'Neill}
  • Wren Building, College of William and Mary's, Virginia, from 1927 (Renovation funded by Junior)
  • Colonial Williamsburg, Virginia, from 1927 onwards (Junior, Abby Aldrich, John D. 3rd and Winthrop), historical restoration
  • Museum of Modern Art, New York City, from 1929 (Abby Aldrich, Junior, Blanchette, Nelson, David, David Jr., Sharon Percy Rockefeller)
  • Riverside Church, New York City, 1930 (Junior)
  • The Cloisters, New York City, from 1934 (Junior)
  • The Interchurch Center, New York City, 1948 (Junior)
  • Asia Society (Asia House), New York City, 1956 (John D. 3rd)
  • One Chase Manhattan Plaza, New York City, 1961 (David)
  • Nelson A. Rockefeller Empire State Plaza, Albany, New York, 1962 (Nelson)
  • Lincoln Center, New York City, 1962 (John D. 3rd)
  • World Trade CenterTwin Towers, New York City, 1973-2001 (David and Nelson)
  • The Embarcadero Complex, San Francisco, 1974 (David)
  • Council of the Americas/Americas Society, New York City, 1985 (David)
  • In addition to this is Senior and Junior's involvement in seven major housing developments:
    • Forest Hill Estates, Cleveland, Ohio
    • City Housing Corporation's efforts, Sunnyside Gardens, Queens, New York City
    • Thomas Garden Apartments, The Bronx, New York City
    • Paul Lawrence Dunbar Housing, Harlem, New York City
    • Lavoisier Apartments, Manhattan, New York City
    • Van Tassel Apartments, Sleepy Hollow, New York (formerly North Tarrytown)
    • A development in Radburn, New Jersey
    • A further project involved David Rockefeller in a major middle-income housing development when he was elected in 1947 as chairman of Morningside Heights, Inc., in Manhattan by fourteen major institutions that were based in the area, including Columbia University. The result, in 1951, was the six-building apartment complex known as Morningside Gardens










ROCKEFELLER NDIO WAANZILISHI WA
Fed AU KWA JINA JINGINE NI FEDERAL RESERVE SYSTEM


FED NI NINI?

FED NI BANK SYSTEM YA MAREKANI AMBAYO NDIO INAYO CONTROL DOLLAR ILIYOANZISHWA MWAKA 1913 KAMA SIKOSEI

NA HII WALIKUJA NAO KIPINDI CHA GREAT DEPRESSION KWANI GD ILIKUWA INACHANGIA WAO UTAJIRI WAO KUSHUKA SO WAKAJA NA HII FED ILI WAWEZE KU CONTROL DOLLAR

WANA MSEMO UNOSEMA

WE CONTROL DOLLAR, WE CONTROL OUR WEALTH

252px-USDnotes.png



WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
WORLD TRADE CENTER NA

STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER

WHY??

1 SWEET REVANGE
2. 1 SHOT TWO BIRDS


SWEET REVANGE

SWEET REVANGE NI KUWA WANA TAKE BACK THEIR OIL BUSINESS FROM ARABS KWANI KIPINDI KILE WAO ENZI ZA KINA JOHN D UTAJIRI WAKE MKUBWA ULIKUWA NI OIL

THEN ARABS WAKA TAKE OVER

SO WANAFANYA SWEET REVANGE WAKICHUKUA WALICHOIBIWA KUTOKA KWA BABU YAO JOHN D Oil


1 shot two birds

hii ni kuwa
they take back oil business kwa kuiba oil kutoka kwa arabs

na kufanikisha biashara yao ya silaha ambayo wame sign contract na serikali ya marekani


hao ndio ROCKAFELLER FAMILY FAMILIA MATAJIRI
ZAIDI MAREKANI NA DUNIANI KWA UJUMLA



Hawa ni JESUITS kwa ndani Lkn kwa nje ni ROCKAFELLER wakidanganya ili wasijulikane Km ni mawakala kutoka VATICAN.
 
mkuu lete vitu wanaJF tuwe tunapost vitamu kama hivi nimeipenda wanaxemaga maada cjui mada lakn ndo vo vo bwana C.T.U si urudi tenaahaaa.NDANI YA MJENGO WA WHITE HOUSE HUMU JF.!
 
kwa muda wa miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS KWA UJUMLA
Mkuu C.T.U hongera sana kwa mada hii nzuri. Uliposema kwa muda wa miaka kumi umefanya research ya Rockafellers family, ila ukaishia ku copy na ku paste na pia kutafsiri machapisho mbalimbali kama yalivyo bila kutoa references, nadhani hujaitendea haki hiyo miaka kumi ya utafiti wako!!! Lakini kama Kiranga aulizavyo, nadhani hizo figures ziko imaginary sana, sijui wamehesabu vipi.
N.B: Ingekuwa vizuri ungeweka na references zako kwa machapisho mbalimbali uliyosoma, maana mengine yanaonesha yana reference numbers zikiwa kwenye super script ila bahati mbaya hatujawekewa.
 
Last edited by a moderator:
Hawa ni JESUITS kwa ndani Lkn kwa nje ni ROCKAFELLER wakidanganya ili wasijulikane Km ni mawakala kutoka VATICAN.

Mkuu,kudai tu hawa watu ni mawakala wa Vatican naona unawashushia hadhi kabisa,Vatican ni ka ishu kadogo sana kwenye mpango wa hawa watu,hawa watu ni hatari sana tena ni hatari kubwa sana,kuamini kuwa ishu nzima inaishia Vatican nakuona kama unajua kidogo sana mkuu .....

Hii mijitu ni hatari sana mkuu .....!!
 
Mkuu,kudai tu hawa watu ni mawakala wa Vatican naona unawashushia hadhi kabisa,Vatican ni ka ishu kadogo sana kwenye mpango wa hawa watu,hawa watu ni hatari sana tena ni hatari kubwa sana,kuamini kuwa ishu nzima inaishia Vatican nakuona kama unajua kidogo sana mkuu .....

Hii mijitu ni hatari sana mkuu .....!!



Ni kweli mkuu Hii mijitu ni hatari sn Lkn kukomea kwangu Vatican nilikua na maana kwamba huko ndiko Oder zinakotoka! Nafahamu wako ulimwenguni kote!
 
Back
Top Bottom