Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Kuna uhausiano kati ya Roman Catholic kule Vatican na hizi familia 13?
Kama upo, uliaanza je na nini faida ya wahusika wote hao?

swali muhimu sana mkuu.Kwa kuanzia tu umewahi kuwasikia "the knights of Malta"?Hapo ndipo Vatican ilipo na connections nyingi na familia hizi na kuna list ya watu ambao ni knights of Malta ukitajiwa hapa utaachama mdomo wazi!
 
swali muhimu sana mkuu.Kwa kuanzia tu umewahi kuwasikia "the knights of Malta"?Hapo ndipo Vatican ilipo na connections nyingi na familia hizi na kuna list ya watu ambao ni knights of Malta ukitajiwa hapa utaachama mdomo wazi!

Nakuona hapo juve2012, usiondoke bila kujibu swali langu tafadhari!
 
swali muhimu sana mkuu.Kwa kuanzia tu umewahi kuwasikia "the knights of Malta"?Hapo ndipo Vatican ilipo na connections nyingi na familia hizi na kuna list ya watu ambao ni knights of Malta ukitajiwa hapa utaachama mdomo wazi!

naona kama pana utamu hapa hebu tudadavulie tafadhali mkuu Juve2012.
 
For those who are interested with the Vatican issues,there is this cardinal Bea's story circulating around the world for quite sometimes now(since 60's if i remember well) about "HOW THE VATICAN CREATED MOHAMMED AND ISLAM".Just google that and read,i can't write it here.How do you see that?please let's share some views.
 
Duuuuh!!! mimi hapo mchanga ciwawezz magreat.......ni bora nirud school nikajipange upya..

Na unaambiwa the knowledge we are tought at school is somehow fake.real knowledge is kept secret.....hayo mambo acha tuu,ukiyafuatilia sana unaweza ukatamani kufa uiache dunia na majanga yake.
 
Ndugu zangu mbona hamleti jibu jamani?niliwapa kahome work sijui mmekasahau?niliwaomba mgeuze neno "illuminati"kinyume.Kwa kifupi linakuwa "itanimulli",sivyo?sasa bonya hiyo itanimulli.com!nini kinafunguka jamani?

nimekubali mjomba duh haya ngoja nichanganye akili hapa, itanimulli.com = ................... duh
 
Nimejaribu kupost hii kitu mahala fulani naona inagoma

"Illuminati geuza isomeke itanimulli zen ingia google search hilo neno uliloligeuza kwa kuongeza .com yaani "www.itanimulli.com" kinachotokea ni kukudirect kwenye NSA website

Hii kitu inamaana gani, je ni wao wenyewe NSA ndio wamefanya haya? Kama ni ndio kwanini walichagua neno ILLUMINATI na sio mengineyo? Au wamefanya haya ili kuendelea kutupotezea muda kujadili mambo yenye mikanganyiko isiyoisha? Kama si wao NSA walioredirect je ni nani? Na je kwanini wameendelea kuacha iwe hivyo?"
 
Mkuu C.T.U ok,ntasubiri kwani hapa hatubishani tunaelimishana tu,tena ukizingatia tunazungumzia dunia ambayo hatukuwepo,ni muhimu kuresearch,ila sielewi ni kitu gani ambacho watu wanabishana na wewe kuhusu authority unayotumia wewe kuutaja utajiri wa Rockefeller mbona mie naona uko sahihi tu!umetoa link ya wealthiest historical figures toka wikipedia,sasa humo kwenye wikipedia mbona wametaja hiyo figure?tena hawajasema familia bali wamemtaja mtu mmoja JOHN D ROCKEFELLER kuwa mwaka 1937 wakati anakufa alikuwa na net worth in the range of 392 to 663 billion dollars equal to 1.53% of the total U.S annual GDP in his day!wakaongezea kuwa "when considering the real value of his wealth,Rockefeller(John D) is widely held to be the wealthiest person in history.tena huyu John hakurithi huu utajiri,aliutafuta mwenyewe(kwa mujibu wa hizi mainstream media mnazoziona ziko sahihi ingawa mie siamini kila wasemacho) kama akina Gates(kama kweli utajiri ni wa Gates mwenyewe isijekuwa ni Rockefellers hao hao secretly behind Microsoft kukwepa case kama za standard oil zisiwakute tena!),akitokea kuwa wholesale grocer?si kama namkubali no,simpendi huyu mtu kwa kuwa utajiri wake aliupata kwa usanii wa hatari!jamaa alianzisha kampuni ya kusafisha mafuta huko U.S.baadae akaanza kununua kampuni moja moja za kuchimba mafuta.akaanzisha stores na stations,akawa anachimba yeye,anasafisha yeye,anauza yeye.kuwamaliza wapinzani wake waliobakia akaweka mkakati ambao kila nikiukumbuka naangua kicheko huku hasira zimenishika.mafuta yalikuwa yakichimbwa kwa kiwango kikubwa kwenye eneo moja la U.S liitwalo Cleveland.jamaa aliongea na railway companies zote zilizokuwa zikisafirisha mafuta toka machimbo kuja viwandani,akawapa rushwa ili watengeneze rebate kwa mapipa yake na ya wapinzani wake,yaani kila pipa kama gharama yake ya kusafirisha ni 60 basi waipandishe hadi 100 halafu hiyo 40 inayozidi wamrudishie baadae lengo likiwa ni kuwakomoa wapinzani wake.hata zile 40 zilizozidi kwenye pipa za wapinzani wake akawa analamba na jamaa wa treni.kwa hiyo kadri wapinzani wake walivyosafirisha mapipa mengi walikuwa wakimchangia yeye na kujimaliza wao kwa pesa zao wenyewe.halafu wakifika sokoni,yeye mafuta bei chini,wenzie bei juu,jamaa wakafilisika mmoja baada ya mwingine na kumuachia machimbo mengi akawa main producer.kuwamaliza wenye viwanda vya kusafisha mafuta na station,stores kama zake,akaanza kupunguza uzalishaji mafuta huku akipandisha bei ya crude oil,matokeo yake wenzie wakashindwa kununua mafuta kwake,as long as yeye ndio mchimbaji mkubwa ikabidi wamwachie biashara yote hadi kuuza.akawa ana-monopolize biashara ya oil marekani nzima.jamaa wakamstukia na kumshitaki kukiuka sheria ya Sherman inayotetea uwepo wa ushindani wa kibiashara na 1911,mahakama kuu ya marekani ikaamuru standard oil igawanywe kuwa kampuni ndogo 33.kampuni hizi ndizo msingi mkuu wa makampuni makubwa ya mafuta marekani na duniani leo hii kama vile Esso,ExxonMobil,Carter Oil,Imperial Oil,Mobil,Chevron,Texaco,Amoco(imeungana na BP leo)Atlantic,Anglo-american na utitiri wa makampuni ya mafuta yenye jina la standard oil kulingana na states yalipo mf.standard oil of New Jersey,Brazil etc!hata hao Forbes wanalist jamaa kama the richest american in history huku akiwa na utajiri ambao ni 1.53% of U.S economy wakati huo.Wapo na wengine ambao utajiri wao ulivuka 100 billion kama Cornelia Vanderbilt(178.4 billion),Jacob Astor(116 billion),Andrew Carnegie(297.8 billion),J.P Morgan etc!hiyo 663.4 bilion ni mtu mmoja anaitwa JOHN D ROCKEFELER na si familia.(narudia kwa mujibu wa media rasmi mnazopenda nyie mie siamini sana story zao)haya yameandikwa wikipedia na mtu akitaka source wikipedia imetoa reference kibao,Forbes ikiwemo.sasa sielewi kwa nini watu bado wanabisha!labda sijaelewa dhana ya mabishano yenu!

ExxonMobil wamekuja kuwekeza kwenye oil and gas Tanzania.Tunakaribisha manguli hawa wazito duniani huku hata sera yetu ya mafuta ikiwa haieleweki ipo au haipo.Tumewaleta Rockefellers,Bush(Barrick),Statoil,Halliburton n.k huku hata wataalamu wetu wakiwa hawajaandaliwa.Jamani hebu nendeni mkachunguze profile za makampuni hayo duniani halafu mjiulize,how come tunawaleta kwenye kanchi ketu haka,wakubwa hawa wanaoiendesha hata serikali ya marekani huku tukiwa hatuna sera wala utaalam wa kuchimba mafuta na gas?!ni negligence na ufisadi wa 10% wa viongozi wetu kweli au wanajua wanachokifanya,kwamba the driving force kwao ni hidden agenda na huu wimbo wa uwekezaji ni kutupeleka malikiti tu?jiulizeni sana kama nchi hii bado ya kwetu tukiwa na viongozi wa aina hii!ndio maana nikasema mahala fulani kwenye huu uzi ogopa sana kumpa uongozi mtu mwenye background za foreign affairs,international relations e.t.c Utauza nchi bila kujijua!
 
For those who are interested with the Vatican issues,there is this cardinal Bea's story circulating around the world for quite sometimes now(since 60's if i remember well) about "HOW THE VATICAN CREATED MOHAMMED AND ISLAM".Just google that and read,i can't write it here.How do you see that?please let's share some views.

Mkuu,haya mambo sio mchezo. So,vatican haita rest mpaka waipate jerusalem for pope. Kuna filamu niliwahi kuona nikiwa mdogo,jamaa walikuwa wanaingia nyumba kwa nyumba na kupekua kutafuta biblia na kuzichoma. Kuna mtu mmoja aliweza kubaki na nakala moja. Sikumbuki jina la ile filamu. Ni hatari aisee
 
Mkuu,haya mambo sio mchezo. So,vatican haita rest mpaka waipate jerusalem for pope. Kuna filamu niliwahi kuona nikiwa mdogo,jamaa walikuwa wanaingia nyumba kwa nyumba na kupekua kutafuta biblia na kuzichoma. Kuna mtu mmoja aliweza kubaki na nakala moja. Sikumbuki jina la ile filamu. Ni hatari aisee

ndio hivyo kaka.Ukitaka kujua undani wa hayo fuatilia historia ya kanisa enzi za dark ages wakati ule watu wananunua msamaha wa Mungu kwa kulipia pesa kanisani.Tumetoka mbali na tunarudishwa tena huko huko.Malaika Hallel(shetani) yuko ndani ya religious system nzima ya dunia hii na he operates from there!The whole system is corrupt.Hakuna cha ukatoliki,ulutheri,ubaptist,uanglikana,upresbiterian,uorthodox,ulokole,usabato,uislam wala unini!ila cha ajabu watu wa Mungu watatoka humo humo kwenye corrupt system!Wataelewa taratibu na kujitoa na kuanzisha network zisizo rasmi ambazo itakuwa ngumu kufuatiliwa na kuchafuliwa na maajenti wa Hallel na mfumo huo wa kujichuja toka kwenye taasisi utasababisha wanaofanya hivyo kuwa ni wale tu walio serious kweli kumtafuta Mungu na ukweli wake.Hebu kaa kanisani halafu niambie ni mara ngapi unasikia biblia ikisomwa intensively!kaa msikitini uniambie how many times watu wanaquote aya za quran zaidi ya kupiga soga na hadithi za kutunga na hate speeches?yaani imefika mahali hivi sasa ukitaka kuhukumu dini kwa kutazama sera na taratibu za taasisi za dini na matendo na mahubiri ya waumini wake utapotoshwa kabisa maana taasisi na waumini wako nje kabisa ya dini zenyewe.Ukitaka kuujua ukristo soma biblia,uyahudi soma Torah na talmud,uislam soma quran na uhindu soma vedas manake ukitaka kujua toka kwa waumini utapotoka kabisaa.Hawafanani nazo wala hawaamini vitabu vyao!the next move naona wataviharibu na vyenyewe,"kuvirekebisha" viendane na mazingira yao tena kwa biblia na quran hilo lilishaanza.Kuna version feki kibao!Cha ajabu jinsi Mungu alivyo na powerful influence hivi vitabu hata wakivichafua bado mtu akisoma anapata intro ambayo inamuelekeza kujua zaidi na hapo ndio hutafuta mengineyo na kuanza kugundua ukweli halisi.Kwa hiyo Mungu ni kama ameruhusu hii corruption ili kuwe na initiations au ngazi za kuufunua ukweli na ni wale watakaokuwa na nia thabiti tu ndio watakokuwa initiated ngazi hadi ngazi kwa kutegemea juhudi yako.it's just like masonic degrees,illuminati pyramid au madarasa ya elimu!humo humo kwenye uasi wao bado wanatekeleza kazi za Mungu bila kuelewa ha ha haa!Mungu ni mwanasiasa wa kiwango cha juu sana aisee!yaani hata ufanye kosa,yeye atalitumia kosa hilo hilo kuonyesha wema ulipo na ulivyo.Complicated philosophy isn't it?I'm very proud to serve such a genius God!anyway,ukijitazama ulivyoumbwa unapata ka-intro kidogo juu ya intelligence iliyokuumba labda uwe hujijui lakini kwa wale waliopata kutoa tongotongo kwenye sayansi kidogo tu,it's very interesting!nashangaa kusikia eti kuna wanasayansi wasioamini Mungu,wakati wengine tukisoma mambo ya sayansi tunaanza kuona presence ya Mungu kabisa!tafuta kitabu cha padre mmoja anaitwa Malachi Martin,"Keys of this blood",nadhani kuna mahali kipo online.
 
Swali:

1. Ina maana hawa jamaa wanashinda hata hizo familia za kitajiri waarabu wa umangani umangani?

2. Wataka kuniambia utajiri wa familia za mabilionea wa Arusha uhaufikii au kuwapita akina Rockafellers?

3. China je, hakuna hata familia moja yenye utajiri kama hawa jamaa? Tunaambiwa wachina ni matajiri sana

Hujatulia lol
 
Mkuu,haya mambo sio mchezo. So,vatican haita rest mpaka waipate jerusalem for pope. Kuna filamu niliwahi kuona nikiwa mdogo,jamaa walikuwa wanaingia nyumba kwa nyumba na kupekua kutafuta biblia na kuzichoma. Kuna mtu mmoja aliweza kubaki na nakala moja. Sikumbuki jina la ile filamu. Ni hatari aisee

Movie uliyoiangalia kama si zamani usemavyo ni book of eli which is recently,which have same idea as u say
 
Movie uliyoiangalia kama si zamani usemavyo ni book of eli which is recently,which have same idea as u say

may be, but as far as i remember,it was between 1998 to 2002 nadhani.
 
Back
Top Bottom