Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

hakuna cha kupigwa wala nini, ukiona mwanamke amekuacha jua amepata bwana mpya ambaye ni bora kuliko wewe na amempenda. ukimpenda mtu hata umfumanie utamrudia tu. ila kama humpendi ukapata right person baadaye huwezi hata kuaga.
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Yule mbunge sijui DC alimwambia mmewe aoe yeye ana majukumu mengi ivyo Hana muda wa kumhudumia Kama mke je ,

Hypergamy is baked into the female brain. It works ruthlessly and swiftly. If she sees a better option, she won't hesitate to jump from her current branch to a higher branch.
najua utapingana na huu ukweli Ila am psychologist.pingana na haya maandishi red mama
 
Watu wanawanyooshea vidole lakini hatujui yaliyowasibu hadi wakafikia huko.
Hakuna mtu anatamani ndoa yake ivunjike..ndoa Zina mengi.


Pengine kweli wao walikuwa changamoto,lakini upande mwingine turned Ile case ya yule mama mnigeria aliyefikwa na mauti kwa kipigo kisa kuvumilia ndoa.
Watu walianza kumlaumu kwanini hakuondoka.

Shetani yupo kazini ,na moja kati ya watu anaowatarget sana shetani ni waimbaji maana hiyo ndiyo idara aliyokuwa nayo zamani kabla ya kuasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.
 
kale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
Harafu yeye na mwenzie shusho wanamashauz ya chinichini
 
kale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
Wanyakyusa na MAOKOTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaishi na mumewe mpk anafariki
Hakuwa na mambo mengi yule dada
sasa, kwanini asiishi na mumewe mpaka anafariki wakati mumewe alikuwa na pesa? bwanake alikuwa lecturer pale Ardhi University, mpunga upo. na Jenifer sio kwamba ana mpunga kama hawa waimbaji wengine. siwaamini wanawake, na uzuri wake ule kama angepata pesa nyingi zaidi akapitia kamateso hata kidogo tu wala asingejiuliza marambili, ndio huwa naamini wanawake wapo kwa ajili ya shida zao tu na kwasababu hawana pa kwenda. wakipata pa kwenda watakutesa ama la wanaondoka. though Jenifer ni moja ya watu waliotunza ushuhuda sana hadi leo, Mungu ambariki.
 
Mwanamke akipata mafanikio kiuchumi anataka kuwa huru(kuishi bila masharti), wakati mwanaume akiwa na mafanikio kiuchumi anataka kuwa na watu pembeni yake wafaidi jasho lake pamoja.

That's the only difference.
Wana akili za ajabu hawa viumbe

Ndio maana Waarabu hawataki masuala ya Wanawake kuajiriwa wala kusoma,hataa kuendesha gari


Ni makosa makubwa kumpa Mwanamke madaraka
Yani kwa jinsi mlivyoandika hapa mtu akisoma haraka haraka bila kufikiria kwa kina anaweza dhani ni kweli mwanamke ni kiumbe mbaya na mbinafsi sana

Lakini uhalisia ni kuwa mwanamke akipata pesa anataka kuwa huru hataki kuwekewa masharti na mwanaume, na si kwamba eti hataki kuwa na watu pembeni yake wote tunajua mwanamke akipata pesa namna anavyojua kujali ndugu jamaa na marafiki kuliko mwanaume, hili hata wazazi wengi wenye watoto wa jinsia zote husema

Lakini mwanaume akipata pesa bado tu atataka kuwa na mke sababu anajua mwanamke hawezi kumnyima uhuru wala kumwekea masharti, hao unaosema mwanaume anataka wafaidi jasho lake mara nyingi ni mahawara makahaba na washkaji tu, huwa mnasema wenyewe kwamba mwanaume akifanikiwa kamwe hawezi kuwa na mwanamke mmoja na pia ni ngumu kwake kuwahi kurudi nyumbani
 
Hapo wote uliowataja ila kiboko yao hapo ni flora ,..nakumbuka sana ile skendo yake na gwaji gwaji aisee.
 
hakuna cha kupigwa wala nini, ukiona mwanamke amekuacha jua amepata bwana mpya ambaye ni bora kuliko wewe na amempenda. ukimpenda mtu hata umfumanie utamrudia tu. ila kama humpendi ukapata right person baadaye huwezi hata kuaga.
Mpka yawakute Yale ya yule osinach wa naigeria aliyekufa Kwa kipigo na mateso ndo mtaelewa?
Hapana jmn ifike mahali tuwe tunaelewa sio wote Wana shida
 
Back
Top Bottom