Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Nikifikiria ule wimbo wa "shusha nyavu"
Napata picha nyingine kabisa
Napata picha nyingine kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mmoja ana kesi yake tushaeleza juu hukoKama yupo sio hapo
Yule mbunge sijui DC alimwambia mmewe aoe yeye ana majukumu mengi ivyo Hana muda wa kumhudumia Kama mke je ,Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Ndio mkuuHivi ni mwanae wa kumzaa[emoji849][emoji848]?
Ukitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.Watu wanawanyooshea vidole lakini hatujui yaliyowasibu hadi wakafikia huko.
Hakuna mtu anatamani ndoa yake ivunjike..ndoa Zina mengi.
Pengine kweli wao walikuwa changamoto,lakini upande mwingine turned Ile case ya yule mama mnigeria aliyefikwa na mauti kwa kipigo kisa kuvumilia ndoa.
Watu walianza kumlaumu kwanini hakuondoka.
Shetani yupo kazini ,na moja kati ya watu anaowatarget sana shetani ni waimbaji maana hiyo ndiyo idara aliyokuwa nayo zamani kabla ya kuasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kabila la mumeweHuyo Muha mkorofi?
Nilikuwa napenda sana huduma yao
Harafu yeye na mwenzie shusho wanamashauz ya chinichinikale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
Ni waimbaji kama waimbaji wengine wala sio viongozi wa dini kusema kwamba tufanyayo sisi wao wasifanye[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me naona kama tunataka kuwaona waimbaji kama malaika,hamna kitu ni binadamu wenzetu tu wale,wanamadhaifu ya kibinadamu sema tunaona sana makosa yao Kwa vile ni mashuhuri!
Wanyakyusa na MAOKOTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
Tunategemea maajabu ambayo hawanaNi waimbaji kama waimbaji wengine wala sio viongozi wa dini kusema kwamba tufanyayo sisi wao wasifanye
Hahhahahaha mkono wa baunsa….utamu ulivyomjia nusu aanguke kama bata hahahaha😂😂😂😂😂
Aisee!Walishaachana kitambo na kila mmoja ana familia mpya but Amon mmewe ndio chanzo cha ndoa kuvunjika.
sasa, kwanini asiishi na mumewe mpaka anafariki wakati mumewe alikuwa na pesa? bwanake alikuwa lecturer pale Ardhi University, mpunga upo. na Jenifer sio kwamba ana mpunga kama hawa waimbaji wengine. siwaamini wanawake, na uzuri wake ule kama angepata pesa nyingi zaidi akapitia kamateso hata kidogo tu wala asingejiuliza marambili, ndio huwa naamini wanawake wapo kwa ajili ya shida zao tu na kwasababu hawana pa kwenda. wakipata pa kwenda watakutesa ama la wanaondoka. though Jenifer ni moja ya watu waliotunza ushuhuda sana hadi leo, Mungu ambariki.Kaishi na mumewe mpk anafariki
Hakuwa na mambo mengi yule dada
🤣How?Nikifikiria ule wimbo wa "shusha nyavu"
Napata picha nyingine kabisa
Mwanamke akipata mafanikio kiuchumi anataka kuwa huru(kuishi bila masharti), wakati mwanaume akiwa na mafanikio kiuchumi anataka kuwa na watu pembeni yake wafaidi jasho lake pamoja.
That's the only difference.
Yani kwa jinsi mlivyoandika hapa mtu akisoma haraka haraka bila kufikiria kwa kina anaweza dhani ni kweli mwanamke ni kiumbe mbaya na mbinafsi sanaWana akili za ajabu hawa viumbe
Ndio maana Waarabu hawataki masuala ya Wanawake kuajiriwa wala kusoma,hataa kuendesha gari
Ni makosa makubwa kumpa Mwanamke madaraka
Mpka yawakute Yale ya yule osinach wa naigeria aliyekufa Kwa kipigo na mateso ndo mtaelewa?hakuna cha kupigwa wala nini, ukiona mwanamke amekuacha jua amepata bwana mpya ambaye ni bora kuliko wewe na amempenda. ukimpenda mtu hata umfumanie utamrudia tu. ila kama humpendi ukapata right person baadaye huwezi hata kuaga.