bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Ndo ujifanye unatafakariii, haya toa neno za tafakuri zakoNimesoma tu comments zenu zinanitosha😃
Hope you good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ujifanye unatafakariii, haya toa neno za tafakuri zakoNimesoma tu comments zenu zinanitosha😃
Mmhingekuwa kufumaniwa au kucheat ni sababu y a mkristo kuachana, ndoa za wakristo zingekuwa chache sana. wala sio justification hiyo.
Nipo tu nawasoma malaika walinzi wa Jf😃Ndo ujifanye unatafakariii, haya toa neno za tafakuri zako
Hope you good
Roho mbaya haijengi mkuu..🤨Bahari huw haitosheki..somba somba😂
Eti malaika walinzi na wewe unalinda linda naona kidogo una silaha gani 🤣🤣Nipo tu nawasoma malaika walinzi wa Jf😃
Yeah am good, and you??
Bora niwe nyuma ya muda kuliko kujaza uwongo wa maisha ya watu kichwani....ndoa 4??unaamini?Uko nyuma ya mda. Hatutakiwa kuhukumu lakini.
Shangaa na wewe mama mtumishi!Khaaaa jmn
Matatizo ya kutopiga mswaki.malaya wee Lione linasapoti umalaya.
Kuna ukweli katika mamia ya wanawake akaamua kukuoa wewe basi haikuwa bahati mbaya.Sio msemo
Ndivyo ilivyo!
90%ya wanawake ni chanzo.
Neno la Mungu liko wazi
Mwanamke Mjinga atabomoa nyumba Kwa mikono yake mwenyewe......
Mungu ameumba jambo jipya, mwanamke atamlinda mwanaume....
Ndivyo ilivyo mkuu ....
Kwakweli Mimi napita kukagua tu Kama nilisahau kitu changu mchanaEti malaika walinzi na wewe unalinda linda naona kidogo una silaha gani 🤣🤣
Niko vizuri asee..asante sana.
😂😂😂 Sawa..🤣🤣🤣Acha tu my dear tufundishe watoto afya ya kinywa ni muhimu sana
😁😁😁Balaa zitoNitumie hata inbox, katika vitu napenda duniani ni kula, kuwekana na nyimbo🤣
Hivi Angel si ana pacha wake yule? Nakumbuka nilisoma nae vidudu na pia baadae alisoma Zanaki pale nakumbuka alikuwa na pacha wake aiseee hivi yupo wapi yule mwenzake.Angel kavunja ndoa 4[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]mbona kama uongo..... Anyways hata wewe una makandokando yake ni vile tu hatukujui punguza judgement
Ukorofi TinyoBahari huw haitosheki..somba somba😂
Afadhali hata mliosoma nae mmetokea maana tunaambiwa na mleta Uzi alikuwa Housegirl wa nani sijui?binafsi simfahamu nje ya uimbajiHivi Angel si ana pacha wake yule? Nakumbuka nilisoma nae vidudu na pia baadae alisoma Zanaki pale nakumbuka alikuwa na pacha wake aiseee hivi yupo wapi yule mwenzake.