Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Sio msemo
Ndivyo ilivyo!
90%ya wanawake ni chanzo.
Neno la Mungu liko wazi

Mwanamke Mjinga atabomoa nyumba Kwa mikono yake mwenyewe......
Mungu ameumba jambo jipya, mwanamke atamlinda mwanaume....
Ndivyo ilivyo mkuu ....
Kuna ukweli katika mamia ya wanawake akaamua kukuoa wewe basi haikuwa bahati mbaya.
Kuna sehemu mwanamke kaja kizingua.
 
Eti malaika walinzi na wewe unalinda linda naona kidogo una silaha gani 🤣🤣
Niko vizuri asee..asante sana.
Kwakweli Mimi napita kukagua tu Kama nilisahau kitu changu mchana
Vizuri kama uko good 👊👊
 
Angel kavunja ndoa 4[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]mbona kama uongo..... Anyways hata wewe una makandokando yake ni vile tu hatukujui punguza judgement
Hivi Angel si ana pacha wake yule? Nakumbuka nilisoma nae vidudu na pia baadae alisoma Zanaki pale nakumbuka alikuwa na pacha wake aiseee hivi yupo wapi yule mwenzake.
 
Hivi Angel si ana pacha wake yule? Nakumbuka nilisoma nae vidudu na pia baadae alisoma Zanaki pale nakumbuka alikuwa na pacha wake aiseee hivi yupo wapi yule mwenzake.
Afadhali hata mliosoma nae mmetokea maana tunaambiwa na mleta Uzi alikuwa Housegirl wa nani sijui?binafsi simfahamu nje ya uimbaji
 
Back
Top Bottom