Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Ana mtt wa kiume aliyemzaa na aliyekua mumewe
Huyo Binti gani mnamuongelea?
martha ana mtoto wa kike yupo chuo kama sikosei alizalia nyumbani. yule aliyezaa na mumewe ni wa kwenye ndoa. kiufupi ma singo maza muwe mnakumbuka mlikotoka namna tulivyowaokota. wanaume huwa tunajitoa mhanga sana kuoa mtu ambaye alishazaa na mwanaume mwingine, yaani lijamaa lilipiga hadi sio kumwaga tu bali hadi kuunganisha damu mimba, lakini tukiwaokota mnakuja kutuona hatuna maana.
 
ndio maana Yesu hakuzungumzia suala la ndoa
Kama kwel vile 😂😂😂.
Hata pale lilipoibuka alikua mkali kwel kwel 😆
Screenshot_20231230_194733_Samsung Internet.jpg
 
1. Bahati Bukuku mumewe alizingua, hapa umemuonea. Mume ndiye kicheche na alimsababishia ngwengwe.

2. Upendo Kilahiro pia umemuonea mkosaji ni mumewe alimfumania live.

Muwe mnafanya utafiti msionee mtu
ingekuwa kufumaniwa au kucheat ni sababu y a mkristo kuachana, ndoa za wakristo zingekuwa chache sana. wala sio justification hiyo.
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Uzuri ni ukweli usio na shaka so hata mapovu hayatokuwa mengi.

Gospel ni kichaka cha Uzinzi
 
Back
Top Bottom