Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Khaaa mkuu naona humjui angel Bernard vzr.
Ndoa 4?
Hapana ungefuatilia kwanza vzr
Kaolewa mara Moja ndo ndoa iliyovunjika, ndo kaolewa ndoa ya pili Marekani!
 
90% wanawake, wakipata umaarufu, wawe waimba gospel au music nyingine au siasa au waigizaji, au tajiri, wakipata umaarufu wanalewa kabisa umaarufu, na akili inalewa kabisa, wanaanza kujiona wako Mbinguni tayari, yaani juu mawinguni, kiburi, dharau, ujeuri, anageuka kichwa kikubwaaa, yaani utadhania pepo liko ndani ya nyumba, yaani shetani, kumbe ni yule mke wako kawa maarufu kageuka kawa pepo, hii hupelekea kushindwa kuwasikiliza wanaume wao wa ndoa na kujiona wao huwaambii kitu, anafanya atakavyo, hapo sasa hakuna ndoa..!!

So wanawake wachache mno mnoo, wanajua siri ya ndoa ni unyenyekevu, kujishusha, heshima, nidhamu, adabu, utii kwa wanaume wao wa ndoa baada ya kuwa maarufu au ana fedha au cheo etc.. So ndoa zinavunjika kweli sana baada ya mwanamke kuwa maarufu..!!
Shida ni women empowerment, madaraka hayafai kwa mwanamke hajaumbwa kufanya hilo. Pesa nayo huleta nguvu sana ina maana mwanamke ukishamfungulia mlango wa pesa atataka awe na sauti na mamlaka kama mwanaume kitu ambacho hakipo sawa kwa mwanaume rijali
 
Dada ana vocal matata sana.

Hujambo Mkuu Kaveli?
Happy new year in advance.

Ana sauti fulani hivi ya zege kwa mbaaali... I like her vocals so much.

Mtakatifu Anne, a pleasure to read from you ma'am... Niko poa wa afya, vipi kuhusu wewe dear? Thanks for caring.

I warmly receive... šŸ™šŸ¾šŸ™šŸ¾šŸ™šŸ¾ Happier New Year too in advance. šŸ˜Ž

-Kaveli-
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
1. Bahati Bukuku mumewe alizingua, hapa umemuonea. Mume ndiye kicheche na alimsababishia ngwengwe.

2. Upendo Kilahiro pia umemuonea mkosaji ni mumewe alimfumania live.

Muwe mnafanya utafiti msionee mtu
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Bongo kuhukumu kwa haki ni ngumu sana.
Mfano mzuri ni Bahati Bukuku na Upendo Kilahiro, hao waume zao ndio walivunja ndoa kwa kuchepuka lkn kosa wanatupiwa wake zao
 
Huwa nasema mwanaume hupaswi kuwa na mwanamke mmoja hata kama uko kwenye ndoa!


Hakikisha una wanawake wawili mmoja akizingua unachomoa kitu store.


Huyo Angel Benard kamkiambia me wake wa ndoa Kwa ulimbukeni.


Ndugu zangu wanaume nawasihi Tena Kwa afya ya akili zenu kuweni na spea tairi ( Mwanamke wa kando ) ila usizae nae! Huyo ni WA kurelax nae Incase lolote likitokea ndani ya ndoa huyo ndio anakuwa cooling zone. Hutakuja kuachwa kwenye mataa kama Mzee Shusho alivyoachwa na CHRISTINA SHUSHO kwenye mataa. Ngozi inapendeza hehehe saaaaaaaaafi


Dawa ya mwanamke ni mwanamke ni mwanamke mwenzake, muongezee mwanamke mwenzie shughuli imeisha !
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Ni vizuri kufuata waimbayo kama unaona yanafaa,hayo mengine ya ubinadamu atakayewahukumu ni yule wamtukuzao.
Kumbuka kuna mambo ya mwili na ya kiroho,lakini pia kuna nguvu za nje zinazokinzana na zile za kiroho.
Pengine mapito kama hayo uliyoyasema ndio nguvu yao kiroho.
 
Yote kwa yote ila Martha mwaipaja kakuza kabinti kake kalibia wanalingana
kale ni katoto ka kufikia, jamaa waliyeachana alikuta watu walishapitaga huko, ni singo maza akamuokota na bado amekuja kumwacha baada ya kupata mpunga. angekua hajapata mpunga martha angamwacha yule bwanake? tuseme ukweli, kwa walomjua martha kipindi anavaa vinguo vya sagulaga ya manzese.
 
Back
Top Bottom