Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ndoa kitu kingine ,kikubwa uhai .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rose Muhando aliwahi kuoolewa na nani, si kila mtoto ana baba yake pale na walomzalisha aliimba kwamba walimkimbia?Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Ni kwasababu mwanamke akipata pesa hutafuta namna aishi peke yake na kutumia pesa zake mwenyewe (ni wabinafsi). Na hawa wanajadiliwa kwasababu wanahubiri mafundisho ya kikristo ilhali hawayaishi. Sasa wanatuimbia ili iwejeHivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Mwanamke akipata pesa anawaza kuishi peke yake bila mume. Lkn kwa mwanaume ni kinyume chake.Kwnn ndoa za manasara wa hali ya chini kuvunjika ni kazi sana lkn hawa wenye pesa inakuwa rahisi sanaaaa why??
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huyu nae. AlisahaulikaChristina shusho ni shemeji yenu tuheshimiane jamanj
Majibu mazuri sana haya. Asipokielewa labda arudi tena tymboni kwa mamake ili azaliwe upya na mama mwingine mwenye akiliNi kwasababu mwanamke akipata pesa hutafuta namna aishi peke yake na kutumia pesa zake mwenyewe (ni wabinafsi). Na hawa wanajadiliwa kwasababu wanahubiri mafundisho ya kikristo ilhali hawayaishi. Sasa wanatuimbia ili iweje
Lengo ni nini haswa?Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Sio rahisi hivyoMlevi mzinzi, mwizi, n.k hubadilishwa na mwanamke mwenye hekima
90% wanawake, wakipata umaarufu, wawe waimba gospel au music nyingine au siasa au waigizaji, au tajiri, wakipata umaarufu wanalewa kabisa umaarufu, na akili inalewa kabisa, wanaanza kujiona wako Mbinguni tayari, yaani juu mawinguni, kiburi, dharau, ujeuri, anageuka kichwa kikubwaaa, yaani utadhania pepo liko ndani ya nyumba, yaani shetani, kumbe ni yule mke wako kawa maarufu kageuka kawa pepo, hii hupelekea kushindwa kuwasikiliza wanaume wao wa ndoa na kujiona wao huwaambii kitu, anafanya atakavyo, hapo sasa hakuna ndoa..!!Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Mbona kawida tuu, hata wachungaji wanaachana. Wao sio malaika ni wanadamu kama wengine, kina Christina Shusho na wengine wengi tu mbona wanaendelea mbele na mambo yao. Ndoa ina siri nyingi ndio maana Yesu hakuzungumzia suala la ndoaTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Watu wanawanyooshea vidole lakini hatujui yaliyowasibu hadi wakafikia huko.Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
yesu gani ambaye hakuzungumzia suala la ndoa?Mbona kawida tuu, hata wachungaji wanaachana. Wao sio malaika ni wanadamu kama wengine, kina Christina Shusho na wengine wengi tu mbona wanaendelea mbele na mambo yao. Ndoa ina siri nyingi ndio maana Yesu hakuzungumzia suala la ndoa
Alimuacha mumeweUpendo kilahiro sina hakika sana.
Na hao ndiyo malaya maarufu wa kilokole, ni watam indeed ila wanamnafikia yesu iko ndo wanakosea wakuje tu tuimbe Amapiano najua shida yao ni pesa tu.Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23]hata Mimi nilishangaa kumbe baraka lilikua jina la ex husbandHata Martha Baraka, hv sasa wanaitwa maMadam
Madam ritaMadam kwa hapa bongo maana yake ni mwanamke anayegawa utamu kwa vijana wadogo.
Mfano ni madam Wema na huyo madam Flora
Na Kristina Yumo?Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.