Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kumbe shemeji nawewe ni gosipo singa...😜😜🤣🤣🤣🤣Tayariii,fungua PM unipokeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe shemeji nawewe ni gosipo singa...😜😜🤣🤣🤣🤣Tayariii,fungua PM unipokeee
Sasa Mbinguni ataenda nani?Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Ke ana kibali gani cha kuoa?Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Ukristo ni dini kisheitwani wakristo wote ni waoumbavuTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Ukinikuta kwenye uwepo shemeji utajua Bwana wa majeshi ndio anashuka na winguKumbe shemeji nawewe ni gosipo singa...😜😜
Asante kwa minyama hii. Ngoja niongezee kwenye uzi.Alimuacha mumewe
Akawa kama amesafiri kihuduma kwenda USA.
Huko akaolewa tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha limshangazi langu,,Madam Rehema ni litamuu balaa Yuko mbali lakini Nashukuru kila tukibahatika kukutana ni patashika nguo kuchanika nafikiri kuachana Kifo ndio kitatungenisha ingawa kila mmoja na maisha yake na ubavu wake!!Madam kwa hapa bongo maana yake ni mwanamke anayegawa utamu kwa vijana wadogo.
Mfano ni madam Wema na huyo madam Flora
75% Ke wakishakuwa na chapaa, umaarufu jumlisha na sera za Watetezi wa haki sawa ni vigumu sana kuwa chini ya Me kiutawala,Kwnn ndoa za manasara wa hali ya chini kuvunjika ni kazi sana lkn hawa wenye pesa inakuwa rahisi sanaaaa why??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna wakwenda Si Mimi,,Wewe wala bulldozza Mzee wa upako!!!Sasa Mbinguni ataenda nani?
Ke wa kidigitali huita "Chako chetu changu changu life styles".Ni kwasababu mwanamke akipata pesa hutafuta namna aishi peke yake na kutumia pesa zake mwenyewe (ni wabinafsi). Na hawa wanajadiliwa kwasababu wanahubiri mafundisho ya kikristo ilhali hawayaishi. Sasa wanatuimbia ili iweje
Hakuna atakaeenda mbinguni. Maana kama hata papa anatamani kuwafungisha ndoa mashoga hii imekaa vibaya.Sasa Mbinguni ataenda nani?
Ndiyo[emoji23][emoji23][emoji23]hata Mimi nilishangaa kumbe baraka lilikua jina la ex husband
Kama ni Rose nadhani alielezea namna alivyokuwa akinyonywa maslahi yake na meneja wakeUkiwa superstar when uko kwenye chat wengi wanajisahau sana..imagine kuna mmoja hapo kwenye list yaani life aliyokuwa anaishi ni zuri sana ..siku aliloshuka kwenye umaarufu akawa hana hata Pakukaa na kodi akawa alipi yaani fully kujificha ficha...when yupo kwenye chat ile ya kukusanya mahela alishindwa vip kujenga kibanda cha kujishikiza?
Yupi huyo mkuu, mataje tumjue na sisiUkiwa superstar when uko kwenye chat wengi wanajisahau sana..imagine kuna mmoja hapo kwenye list yaani life aliyokuwa anaishi ni zuri sana ..siku alivoshuka kwenye umaarufu akawa hana hata Pakukaa na kodi akawa alipi yaani fully kujificha ficha...when yupo kwenye chat ile ya kukusanya mahela alishindwa vip kujenga kibanda cha kujishikiza?
Nisaidie namba Ya C Shusho pm mkuuTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.