Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Ni kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, ni uhalisia ulivyo maana hata Mwanaume akikosea mwanamke ukiwa na hekima utajua jinsi ya kufanya ili kuendelea kuishi pamoja na ukiwa mpumbavu utatumia hisia badaล‚a hekima na kufanya over reacting ambayo itapelekea ndoa kuvunjika.

Na cha ajabu ni kuwa mara nyingi Victims huwa ni wanawake.
Na mwanamke akikosea mwanaume ndiyo hajui cha kufanya au
 
Shetani alijiona mzuri akataka kumtawala God.Hawa waimbaji wamechukua roho ya ushetwani ya kujiona kerubi mzuri na kutaka kumtawala mwanaume.
 
Sidhani kama umeelewa hoja yangu, sasa kama mwanamke hataki kuwa chini ya mwanaume kisa ukwasi wake kuna haja gani yeye kuruhusiwa kumiliki hizo mali? Asili inasemaje, hakuna mafahali wawili wakakaa zizi moja, hivyo akishindwa kuwa chini ya mume kisa ukwasi wake lazima tu waachane.

Kama mtoaji, mwanaume anajisikia mwenye mamlaka akihudumia familia yake, kula, kulala, kuvaa na huduma zote atatoa bila kufikiri na inamfanya awe proud, njoo upande wa pili, mdada amejiwekeza ila aweza asitoe hata hela ya kiberiti kisa tu "sio kazi yake". Hayupo proud kutoa pesa yake kuhudumia watu wake.
Sasa mbona umeiweka hoja yako kana kwamba ni lazima mwanamke kuwa na mume, kama mmeshajua kuwa mwanamke akiwa na pesa hawezi kuwa chini ya mumewe basi msioe wanawake wa design hiyo tafuteni wasiosoma ili wawe mama wa nyumbani, wanaume mnachokosea ni kutaka wanawake wawe full package ilihali ninyi hamko hivo

Kama mmeshajua kwamba mwanamke mfanyakazi faida yake ni kuwa anasaidia kutafuta pesa, na hatakuwa tegemezi kwako ila hasara yake ni kwamba atakosa muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani kikamilifu, na huku mwanamke mama wa nyumbani faida yake ni kuwa atatimiza majukumu ya nyumbani kikamilifu ila atakutegemea wewe almost kila kitu

Ni lazima mchague mwanamke wa aina moja hapo na aina yoyote utakayoichagua ukubaliane na sifa zinazokuja na huyo mwanamke siyo unalazimisha awe full package, yani unataka mwanamke akusaidie kutafuta pesa na bado atimize majukumu ya nyumbani ipasavyo sasa wewe utakuwa unafanya nini kikubwa hasa, na mbona ninyi majukumu yao hamuwasaidii mnataka either wafanye wenyewe au waajiri wadada wa kazi
 
Dah,
Sasa mbona umeiweka hoja yako kana kwamba ni lazima mwanamke kuwa na mume, kama mmeshajua kuwa mwanamke akiwa na pesa hawezi kuwa chini ya mumewe basi msioe wanawake wa design hiyo tafuteni wasiosoma ili wawe mama wa nyumbani, wanaume mnachokosea ni kutaka wanawake wawe full package ilihali ninyi hamko hivo

Kama mmeshajua kwamba mwanamke mfanyakazi faida yake ni kuwa anasaidia kutafuta pesa, na hatakuwa tegemezi kwako ila hasara yake ni kwamba atakosa muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani kikamilifu, na huku mwanamke mama wa nyumbani faida yake ni kuwa atatimiza majukumu ya nyumbani kikamilifu ila atakutegemea kwa asilimia mia moja

Ni lazima mchague mwanamke wa aina moja hapo na aina yoyote utakayoichagua ukubaliane na sifa zinazokuja na huyo mwanamke siyo unalazimisha awe full package, yani unataka mwanamke akusaidie kutafuta pesa na bado atimize majukumu ya nyumbani ipasavyo sasa wewe utakuwa unafanya nini kikubwa hasa, na mbona ninyi majukumu yao hamuwasaidii mnataka either wafanye wenyewe au waajiri wadada wa kazi
Dah, sidhani kama kuna mahali nimeandika NI LAZIMA mwanamke kuolewa, bado tu hatujalewana mkuu.

Anyway, tuishie hapo!
 
"" Hata kama ingekuwa ni mwanaume ndio kavunja ndoa nne na wanawake wanne bado wangesema hao wanawake ndio wenye matatizo""

Bado una sugar coat the question na reality.

Kwamba ndoa 4 zotee zimemshinda, ni kweli wanaume wanachangamoto ndani ya ndoa nne zote?

#YNWA
Sasa mbona umemkomalia tu huyo aliyevunja ndoa nne, je hakuna wanaume wanaovunja ndoa nyingi, point hapa ni kwamba ndoa yoyote ikivunjika jamii lazima imnyooshee vidole mwanamke regardless the circumstances
 
Okay,pita mitaa ya Instagram utapata number yake๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Mboga Saba Joannah , asante kwa 'ramani'... nitazingatia maelekezo.๐Ÿ˜Ž

Umebarikiwa moyo wa kitajiri. Always pisi kali za ushuani hamnaga roho ya kukunja. Be blessed ma'am. ๐Ÿฅฐ

-Kaveli-
 
Mboga Saba Joannah , asante kwa 'ramani'... nitazingatia maelekezo.๐Ÿ˜Ž

Umebarikiwa moyo wa kitajiri. Always pisi kali za ushuani hamnaga roho ya kukunja. Be blessed ma'am. ๐Ÿฅฐ

-Kaveli-
The AMO -Kaveli-โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
 
Dah,

Dah, sidhani kama kuna mahali nimeandika NI LAZIMA mwanamke kuolewa, bado tu hatujalewana mkuu.

Anyway, tuishie hapo!
Pale uliposema "sasa kama mwanamke hataki kuwa chini ya mwanaume kisa ukwasi wake kuna haja gani yeye kuruhusiwa kumiliki hizo mali", hii inamaanisha kuwa mwanamke hatakiwi kumiliki mali ili awe chini ya mwanaume, ni kama vile umeassume kila mwanamke anataka kuwa chini ya mwanaume tu
 
No,si Kila mziki mbaya!
Kuna secular music na non secular music.....
Tofautisha hapo...
Mziki wowote nyuma yake una roho(spirit) sa ni roho gani Iko nyuma ya huo mziki unaousikiliza ndo shida inaanzia hapo!
Na ndo maana sio Kila gospel ni gospel,nyimbo zenye Mungu kweli ndani yake km uko vzr unajua tu na za mchongo unajua tu!

Imagine mwingine kabla haajchia nyimbo/album mpk aende Kwa mganga wake ,sa unategemea unasikikiza nyimbo hiyo zile roho za kule alikoenda zitakuacha?
Same Kwa anaeomba Mungu kwanza kabla hajaziachia nyimbo zake....
Bibie usitumie akili nyingi wala nguvu nyingi hakuna mziki mzuri, zote ni kazi za shetani katika kuwapoteza watu.

Mziki ungekuwa mzuri Yesu angewafundisha na kuwaambia mtumie mziki kuwakumbusha watu.
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Mwanamke MPUMBAVU huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, unapingana na Bible Nifah
 
Kwanza tambua tupo katika mfumo dume so mara nyingi mwanaume ndio anasikilizaa. Tukirudi kwenye mada ni kwamba ili ndoa iweze kudumu sheria ya ukichwa wa mume na kutii kwa mke ni lazima vifwatwe,yani kiasili mwanaume ni kiongozi kwa mwanamke na mke anapaswa kumtii mume wake( sio katika Kila jambo maana hata wanaume hukosea),Sasa tatizo linaanza pale mwanamke anapokuwa na nguvu ya kiuchumi yani kaijpata,kama hao waimbaji yani walopoanza kupata mafanikio katika uimbaji wao wakaanza kuwa mbali na familia na Huwa inakuwa ngum mwanamke kujitiisha kwa mwanaume asiye na kitu,so jumlisha kipato,umbali na ulimbuken wa umaarufu basi itoshe kusema Hawa waimbaji ndio chanzo
mfumo dume ulikuwepo tangu ulimwengu ulipoumbwa, wewe unayeukataa sasaivi fanya mpango upandikize uume ili uwe mwanaume kama mnafikiri tupo sawa.
 
Kuimba kwaya kwangu kwa miaka 8 na kuwa mzee wa kanisa kwa zaidi ya miongo miwili, nimegundua mengi sana kuhusu wanakwaya na mahusiano.

Nitayaletea uzi siku kukirudishwa jukwaa la dino.
Nausubiria kwa hamu sana uzi wako huo
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
hii nondo uliyoshusha hapa yafaa upewe teuzi kabisa hii,..๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘,..
 
Angel kavunja ndoa 4๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„mbona kama uongo..... Anyways hata wewe una makandokando yake ni vile tu hatukujui punguza judgement
Mbona imekuuma?
 
Back
Top Bottom