Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

Wajue wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuimba Tanzania

Bella kulalamika Na kulalama tu...Diomond mpango mzima kwakubembeleza hakunaga anaimba kwa mastep mvuto Na hamasa ktk backing
 
Hakuna msanii bongo anayejua kuperfom kama MwanaFa.Bisheni niwawekee show zake kumi hapa.
 
Bella kulalamika Na kulalama tu...Diomond mpango mzima kwakubembeleza hakunaga anaimba kwa mastep mvuto Na hamasa ktk backing

Siamini macho Yangu kwa haya uliyo yaandika.
 
hahahahahaha mnajikazaje kutokumtaja platnum???? hihuhihihuhihuhiuuhiii, mja wivu mpaka unawapalia

Sidhani kama unajua tafsiri ya wivu.Ni haki ya diamond kutokaa kwenye list yangu maana kwa hapo hausiki kabisa.
Napenda kazi zake na nimshabiki wake lakini si kila sehemu anafaa.
 
Kwa suala la kuimba na kuperfom laivu, Mr. Kinywa anatakiwa akapate darasa kwa King Of Best Melody Christian Bela.
 
jamani kuna dada anaitwa vumi wa HK namkubali ila tu hajapata promo ya kutosha!!

Huyu Vumi anaimba asee..

"Utanikumbuka kwa mema niliyo kutendea" Yaani huu wimbo sijachoka kuusikiliza..
 
Huyu Vumi anaimba asee..

"Utanikumbuka kwa mema niliyo kutendea" Yaani huu wimbo sijachoka kuusikiliza..

yuko vzuri sana, mashairi yake yana ubunifu kwekweli,

"macho yanaona mbali
.....lakini hayawezi kuona sikio
.....shimoo walilokuchimbia
.....mimi nimelifukia"

siku hizi anaimba kwenye bendi!
 
  • Thanks
Reactions: prs
yuko vzuri sana, mashairi yake yana ubunifu kwekweli,

"macho yanaona mbali
.....lakini hayawezi kuona sikio
.....shimoo walilokuchimbia
.....mimi nimelifukia"

siku hizi anaimba kwenye bendi!

Yani Mkuu enhance kuna vipaji..Lakini ni ajabu wanaosifika siyo wanaojua
 
Last edited by a moderator:
Yani Mkuu enhance kuna vipaji..Lakini ni ajabu wanaosifika siyo wanaojua

Nadhani kilichofanya asitoke ni baada ya kutoka 'THT' Akawa chini ya lebo ya mzazi mwenziwe HK yote kwa yote anafanya vizuri sana akipata nafasi.
 
Last edited by a moderator:
siku hizi anaimba kwenye bendi![/QUOTE]

Nmemmiss sana huyu dada. Nyimbo zake za hisia kweli. Mwenye nae anamke
 
Sina ubishi mkuu!!inaonyesha tunaamini vitu vya kufanana on this!kumuweka Ally Kiba au Diamond popote kwenye orodha hii ni kama kumkosoa anaetoa vipaji vya uimbaji!!hawastahili!!BELLA....simply número uno!,banana ni shiiida,barnaba daah...UMEPATIA MKUU!
 
Back
Top Bottom