Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

Sasa inahusiana nini na huu uzi? Baada ya kukaa chini muone mnafanyaje kuokoa jahazi la Msimbazi, mnaleta mzaha alafu mkipigwa tena kono la nyani mtaanza sema Yanga wanahonga wachezaji wa timu pinzani.
Mbumbumbu hao
 
Utaratibu wa kutoka pesa ulikuwepo kimaamdishi Kama alitoa kinyume na hapo mwisho.wake atapoteza Kila kitu na ile yake feki aliyoonyesha.
 
Ulivyoanza kuikosoa nikafikiri Kuna kitu unaongezea, unawezaje kununua hisa za Mali yako, ungetafuta mtu wa soko la mitaji akakuelekeza vizuri au hata mwanafunzi wa finance Ifm mwaka wa kwanza .
Tatizo la Simba ni uelewa mdogo wa Viongozi na wanachama wao,huwezi ukawa unaongoza Taasisi bila ya kuwa Wataalamu wa Fedha,Uchumi,Biashara na Wanasheria ambao ndio wataokuwa wanapanga mipango yote ya maendeleo ya Klabu,huwezi ukamleta mwekezaji huku wewe huna wataalamu kwenye Taasisi unayoingoza
 
Hakuna msaada, Manara na Kigwangalla walipimsema vibaya mudi matahira mlikaza mafuvu... "Sisi tunataka furaha, Kigwangalla alinyimwa mkopo wa pikipiki!!".

Mo shikilia hapohapo sisi tunaokupenda tutakupigania.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
Bob Marley aliwahi kusema " time will tell" yametimia
 
Kuna kipindi walisema hayo mambo ya kuhojihoji hawayataki, wanataka raha tu, boli litembee!
 
Hiyo bodi ni ya hovyo Sana, haiwezekani ipokee pesa za MO bila kujua anazitoa Kwa malengo gani , huyo ni mfanyabiashara na anachohitaji yeye siku zote ni faida. Pamoja na Kuwa sifurahishwi na namna ya uwekezaji wa MO hapo Simba SC lakini kama kuna wajinga wachache waliotafutana pesa zake wakifikiri MO alitoa kama Sadaka basi wanapaswa kuzitaapika alafu wanaSimba SC tunahitaji Bodi yenye uadilifu na watu wenye taaluma na weledi siyo hao waswahili waliojazana hapo msimbazi sasa hivi.

See you next season!
 
Swali fikirishi je pesa za usajili wa msimu huu zitapatikana kwa wakati ama hadi mikamera
 
Hawa wajumbe ni wajinga pia, walikubali vipi kuundwa kwa bodi ambayo mwekezaji hewa wa 49% hajatoa mzigo wa uwekezaji, na wao wenye 51% wakabaki kama wasindikizaji tu. Ni aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ