City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Mbumbumbu haoSasa inahusiana nini na huu uzi? Baada ya kukaa chini muone mnafanyaje kuokoa jahazi la Msimbazi, mnaleta mzaha alafu mkipigwa tena kono la nyani mtaanza sema Yanga wanahonga wachezaji wa timu pinzani.
Kwann gsm unadhani hapigi?subirini muanze kuvurunda mtamjua vizuriHuyo ndo MHINDI tunayemjua sasa
Tunavurundaje na anaweka hela majembe yapo.Kwann gsm unadhani hapigi?subirini muanze kuvurunda mtamjua vizuri
Tatizo la Simba ni uelewa mdogo wa Viongozi na wanachama wao,huwezi ukawa unaongoza Taasisi bila ya kuwa Wataalamu wa Fedha,Uchumi,Biashara na Wanasheria ambao ndio wataokuwa wanapanga mipango yote ya maendeleo ya Klabu,huwezi ukamleta mwekezaji huku wewe huna wataalamu kwenye Taasisi unayoingozaUlivyoanza kuikosoa nikafikiri Kuna kitu unaongezea, unawezaje kununua hisa za Mali yako, ungetafuta mtu wa soko la mitaji akakuelekeza vizuri au hata mwanafunzi wa finance Ifm mwaka wa kwanza .
Pesa yao ni timu mbona vitu rahisi sana hiviila pesa hawana ๐ค๐ค? hiyo team wanaendeshaje??
mashabiki pia awana wa kutosha.
Dah wasifikie kwenye kutembeza bakuli, ni kazi si mchezo.Bundi badala ya kuondoka simba msimbazi ndio kwanza kakamilisha kichali na ndio anataga mayai sasa
Kwani kipindi cha kutembeza bakuli mmeshakisahau?Tunavurundaje na anaweka hela majembe yapo.
Hatukuwa na bossKwani kipindi cha kutembeza bakuli mmeshakisahau?
Bob Marley aliwahi kusema " time will tell" yametimiaHakuna msaada, Manara na Kigwangalla walipimsema vibaya mudi matahira mlikaza mafuvu... "Sisi tunataka furaha, Kigwangalla alinyimwa mkopo wa pikipiki!!".
Mo shikilia hapohapo sisi tunaokupenda tutakupigania.๐ ๐ ๐ ๐ ๐คฃ
Kuna kipindi walisema hayo mambo ya kuhojihoji hawayataki, wanataka raha tu, boli litembee!Tatizo la Simba ni uelewa mdogo wa Viongozi na wanachama wao,huwezi ukawa unaongoza Taasisi bila ya kuwa Wataalamu wa Fedha,Uchumi,Biashara na Wanasheria ambao ndio wataokuwa wanapanga mipango yote ya maendeleo ya Klabu,huwezi ukamleta mwekezaji huku wewe huna wataalamu kwenye Taasisi unayoingoza
Nadhani anamsema Rais wa Heshima wa Simba! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHapo kwa Rais mi nakuacha peke ako mi simo tulia wakuone๐๐
๐๐๐ Umepiga pigo gani? hawezi kuamka tenaUlivyoanza kuikosoa nikafikiri Kuna kitu unaongezea, unawezaje kununua hisa za Mali yako, ungetafuta mtu wa soko la mitaji akakuelekeza vizuri au hata mwanafunzi wa finance Ifm mwaka wa kwanza .
Swali fikirishi je pesa za usajili wa msimu huu zitapatikana kwa wakati ama hadi mikameraYaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.
๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐ด๐ผ๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐๐๐น๐ :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes bila sapoti ya upande wa muwekezaji. Wamesema kujiuzulu ni UDHAIFU, na wao si DHAIFU.
Wamesema hata hizo kamati za usajili zinazotajwa kuwa zimebadilishwa ni UONGO, labda zimebadilishwa mitandaoni, kwa sababu kamati zote hupitishwa na bodi na wao wako kwenye bodi na hawajapitisha jambo kama hilo. Wamekaa kimya sana sasa wameamua kusema kinachoendelea.
๐๐๐ต๐๐๐ ๐ ๐ผ ๐๐ฒ๐๐ท๐ถ
Kwa niaba ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba SC upande wa wanachama, Issa Massoud amesema kuwa.
Mohamed Dewji amegeuza fedha ambazo amekuwa akitoa Kwa klabu kama msaada kuwa deni au zimegeuzwe kuwa mtaji maana yake Simba haimdai BILLION 20 tena.
"Fedha zote ambazo Mo Dewji alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club amesema anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."
"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."
๐๐๐ต๐๐๐ ๐๐๐ฎ๐ท๐ถ๐น๐ถ
"Kamati yoyote ya Simba Sports Club inaundwa na Bodi, kwa hivyo basi kamati zote zilizoundwa nje ya bodi sisi hizo kamati hatuzitambui, na hata usajili utakaofanyika nje ya bodi sisi huo hatuutambui kwasababu tutakuwa tunakiuka utaratibu wa Simba SC." - CPA Issa Masoud Mjumbe wa Bodi Simba SC.
"Sisi wenyewe tunasikia tu mtandaoni mara kamati ya usajili imeteuliwa, sasa sisi hizo kamati hatuzitambui kama bodi."
ยฉ๏ธ CPA. Issa Masoud.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi Simba.
Simba SC wana 100% sio 51%. Mo hajawahi nunua share za Simba.wao ndio wenye nguvu 51%
Uhalali unatoka wapi chief?! Au kwasababu ya hii picha ya uongo.Mo ni mmiliki halali wa timu ya @Simba!
Mo si alishasema ameinunua Simba! ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Uhalali unatoka wapi chief?! Au kwasababu ya hii picha ya uongo.
View attachment 3012561