Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kachukue dawa zako milembe utakuwa umemaliza dozi nakukumbusha tu
 
Liko wazi wapi? Mbona mimi sio mmoja wa wananchi wanayempongeza Dr Samia na Dr Nchimbi?
usijali,
wewe ni miongoni mwa kundi la zile kura chache sana na kidunchu zilizoharibika gentleman,
kwahiyo,
umewakilishwa vizuri sana πŸ’
 
nitagombea uspika 2030 gentleman πŸ’
Usijishushe bwana ndiyo maana tulikuwa tunataka watu wakachukue form za Urais ndani ya Chama,maana tumeona uwezo wa Mama ni mdogo sana tunaamini kila mtu hiyo nafasi anaweza kuimudu,tofauti na mtangulizi wake Magufuri tuliona Urais ni kama kazi ngumu sana kutoka na akili kubwa alizokuwa anazitumia na sisi tukaona maendeleo n̈a faida
 
Katika ulimwengu wa roho kwa sasa ccm inatawala kimabavu watu hawataki ,kwa sasa ukiipinga unatengenezewa matatizo so hao mmnao waona wana piga kelele mtano tena tukikaa nao huku wana sema tutafanyaje sasa ndio ugali hati
Kwa sasa siosa ya tanzania sio huru ni hatari sana
Waimbaji wa nyimbo za injili wametafutwa kwa razima njoo ili na wewe uonekane upo kwa mama ila si kwa hiyari kwani wanajua kukataa ni kukaribisha matatizo
 
ni rahisi mno kudhibiti mihemko na ghadhabu za kinyumbu gentleman,

zoea ukweli πŸ’
kwa vyovyote wewe maisha yako unatafuta senti ya kula kesho yako tu una maisha magumu
 
Gentleman,
nyie kaeni nao tu na kupoteza muda kwa story na porojo huku mkiwatazama na kuwajadili wenye malengo ya kushinda uchaguzi, kushika dollar, kuunda serikali na kuongeza nchi,

Oct. mbona sio mbali πŸ’
 
Nani kakupa mamlaka ya kuongea kwa niaba ya wengine?
Umefanyaje kujua kama "Wananchi" wameridhishwa na uteuzi?
 
Wote kina nani? Huyu ndiye alikwa analia humu usiku na mchana tumchague Mbowe.
 
kwa vyovyote wewe maisha yako unatafuta senti ya kula kesho yako tu una maisha magumu
Gentleman,
kama wewe unafanya kazi ya kanisa,
chuki ya nini dhidi ya wanaochapa kazi ili kupata shekeli kulainisha na kuendesha maisha yao na familia zao?

waTanzania wameamua, wewe una mbwelambwela tu πŸ’
 
Hawa ndio wanatakiwa washikishwe adabu na Trump kwa kutumia vibaya maliasili ya nchi huku wakiwakandamiza wananchi wao kwa kutumia vyombo vya dola!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…