Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Upo sahihi, hii karata samia kaicheza kama pele
 
Mtajue wenyewe na hilo li chama lenu ....
 
Wa Wazee wa form moja, hii sio sawa
 
....kuyaomba yatulie mambo ya msingi yakiwa yanajadiliwa hayakutaka kuelewa zaidi ya kupiga kelele tu....
Kuruhusu kujadili utekelezaji wa Ilani kungesababisha jina la Hayati Dr. Magufuli kutajwa kwenye Kikao Hiki. Hii yote Iko set kwa mawazo yangu. Mzee asingeweza kushindwa na vijana sauti! Unawalamu bure nadhani vijana...nawaza yawezekana nimekosea vile vile
 
Akili gani izi ..
Master mwamba kabisa wa siasa za bongo Edward ngoyai ngoma ilikua ngumu.
Pambanieni katiba kwanza kbla kuwaza kucompite na ccm kwenye urais.
Suo kucompete na ccm, sema kucompete na vyombo vya dola, maana ccm imeshakabidhi jukumu hilo kwa vyombo vya dola. Kwa ushindani wa kisiasa kama siasa, ccm ilishapotea muda mrefu.
 
Kwahiyo Mpango hana mipango teeena, mbona wooote wa kizimkazi, Tanganyika haina mgombeya leeeeetaaaaa maneno
 
Akili gani izi ..
Master mwamba kabisa wa siasa za bongo Edward ngoyai ngoma ilikua ngumu.
Pambanieni katiba kwanza kbla kuwaza kucompite na ccm kwenye urais.
Akili kubwa kabisa. Kama unaamini kwamba Lowassa alipoteza kwenye sanduku la kura kihalali basi wahi mirembe pale kafungue file.
 
Habari mpasuko kutoka Dodoma, Mkutano Mkuu wa CCM umeazimia na kumchagua Samia Suluhu Hassan kama mgombea wake wa Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025

Pia azimio hilo, limemchagua Hussein Mwinyi kama Mgombea wa Urais wa CCM kwa Zanzibar

Aidha, Mkutano Mkuu umependekeza NEC ikae leoleo na ipitishe azimio hilo.

Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu Hassan amekubali azimio hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…