Bado ya kumnyang'anya Lissu tongue mkononi/mdomoniHaya mambo yamepangwa maana kila anayesimama anasema hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ya kumnyang'anya Lissu tongue mkononi/mdomoniHaya mambo yamepangwa maana kila anayesimama anasema hivyo hivyo.
Umeona eeh!?Na ili kujia kuwa walipangwa ni kwamba mtoa hoja ni kimbisa lakini naona katambuliwa mwana dada mwasi
Mama mwambie apeleke pesa Tanroad na Tarura acha kupiga kelele humu unajua wakandarasi wa zaidi mwaka hawajalipwaHaters wa Samia chalii
Wangapi na waganga na wapiga ramli waliosema hagombei chalii
Waliojiapiza kushindana nae Ili kuzuia chalii
Waliosema ni Mzanzibar haiwezekani chaliii
Waliosema Mwanamke hawezi kuwa mgombea Urais Tanznaia chaliii
Waliosema anamalizia awamu ya 5 chaliii
Waliosema hawezi kutekeleza miradi na ilani chaliiii
Waliomuombea kifo na kupanga chaliii
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😏😏😏😏😏😏
Sasa hivi wamesalia na ramli Moja ya kuombea kifo
Kwisha habari yakeAzimio liwe Rais Samia amechaguliwa kuwa mgombea Rais wa CCM 2025"
Gete gete NGIKA!!!Wampitishe tu na huku Lake Zone tuna jambo letu na yeye.
Mama kanogewa na ikulu ya tanganyika anataka kutumia mbinu chafu kusalia
Hungry monkeyNaunga mkono hoja hii muhim sana kwa ustawi wa JF na Taifa letu Tanzania 🌹
Kwani huoni utitiri wa miradi huko? Kwa nini kuwe na miradi kama hakuna hela? 👇👇Mama mwambie apeleke pesa Tanroad na Tarura acha kupiga kelele humu unajua wakandarasi wa zaidi mwaka hawajalipwa
Belgium puppet mercenaryHungry monkey

Kwamba bado anampiga kijembe nyerere!!?..acha uwongo babuNi nani waliokufa walikuwa na maamuzi magumu kwenye kupitisha jina la Rais,hata yeye jina lake halikupita 1995 , kwasababu ya hao hao anaowaita wachawi waliokufa
Mungu wako wa chato trillion mbili alipeleka wapi,au tumuulize ustaadh CAG!?Sizoni mpya ya ukwapuaji inaelekea kuanza.
Wevi andaa mufuko mukubwa Kodi zipo zingi kwa Tiere ei.