Pre GE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maoni yangu ni kwamba, an innocent neck is holding a brainless head.
CC: Numbisa
waTanzania wote wamepokea uteuzi wa Dr.Samia na Dr.Nchimbi kama wapeperusha bendera wa CCM uchaguzi mkuu wa Oct ijayo, kwa shauku kubwa na matumaini ya kiwango cha juu sana,

na kwamba Tanzania iko kwenye mikono salama zaidi kwa sasa ukilinganisha na vipindi vingine vilivyopita 🐒
 
Pongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.

Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.

Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.

Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.

una maoni gani.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mimi sikuwepo wala siyo mwanachama wa CCM
 
Gentleman,
mbona kama vile kuna chuki binafsi tu dhidi yake?
CCM katika ujumla wake imemridhia kwa kauli moja.

huoni kama ni wewe pekee mwenye tatizo nae?🐒
Wakati una wasiwasi itakuaje nafasi ya bi tozo kwenye kinyan’ganyiro cha uraisi 2025 kama miezi mitatu nyuma (mod wakafuta mada yako).

Nilikwambia ‘bi-tozo’ sio fala ajatimua wakurugenzi wa TISS hovyo kwa miaka minne bure-bure na kusafisha Ikulu bila ya mikakati mahususi na Nchimbi hayuko hapo kwa bahati mbaya.

Mama ni mcheza chess na king maker ni Nchimbi kwa siasa za Tanzania. Sasa kuweza kuvuruga taratibu za nchi kwa kutumia kanuni na uwezo wa kuendesha nchi ni vitu viwili.

Nchimbi ni zero kichwani, anachoweza ni mbinu za kukwapua madaraka kwa fujo tu. Na sasa kama una akili zako timamu utaki ugomvi nae; ana nguvu kuliko mtu yeyote Tanzania (amini, usiamini).

Mimi nimeandika kwa mipaka tu; lakini ‘bi-tozo’ hatoboi kwa Nchimbi; uraisi wake na uteuzi wake wa ghafla ni tiktaka za Nchimbi.
 
Pongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.

Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.

Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.

Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.

una maoni gani.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwanini mnapenda kutetea vitu vya hovyo?
 
Kwenye koo za nyani na wanyama huwa wanachagua wale wenye nguvu, akili, maarifa na uthubutu ndio wanakua Alpha ama viongozi.
Lakini sisi binadamu wenye akili tunachagua wajinga ndio watuongoze.
 
Pongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.

Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.

Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.

Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.

una maoni gani.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Acheni upuuzi...kikundi kidogo cha wahuni machawa hamna haki miliki ya kutoa maamuzi na kuyaita ya Watanzania
 
Shida ni uwezo wake mdogo mno; na anaenda kutengeneza matatizo makubwa zaidi.

Maana kati ya Nchimbi na Samia; Samia afadhali. Nchimbi anachojua ni kucheza foul tu, lakini kichwani zero.

Imagine huyu mtu kuwa raisi 2030 baada ya Samia kufanya uharibifu wa miaka tisa.

Nchi za third world ni shida.
Tatizo lako wewe ndumilakuwili hueleweki leo utamponda kesho unampigia mapambio hatukuelewi jingalao
 
Kwenye koo za nyani na wanyama huwa wanachagua wale wenye nguvu, akili, maarifa na uthubutu ndio wanakua Alpha ama viongozi.
Lakini sisi binadamu wenye akili tunachagua wajinga ndio watuongoze.
Tanzania tunatumia unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a.k.a kujizima data tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo kwasasa uchawa
 
Umeamka na upumbavu wako wa kusifu na kuabudu.. aina ya watu kama nyie (machawa) mmekulia katika mazingira magumu, hii kujipendekeza ni mfumo uliotokana na umasikini wa kurithi..
Relax tafadhali kama huna mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani.

mihemko na makasiriko asubuh asubuh ni ushirikina hasa kwenye nyakati hizi za sayansi na technolojia 🐒
 
Pongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.

Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.

Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.

Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.

una maoni gani.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Maoni yangu ni kuwa huna haki wala ridhaa ya kuongea kwa niaba ya watanzania wote.
 
Back
Top Bottom