Pre GE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye koo za nyani na wanyama huwa wanachagua wale wenye nguvu, akili, maarifa na uthubutu ndio wanakua Alpha ama viongozi.
Lakini sisi binadamu wenye akili tunachagua wajinga ndio watuongoze.
Hakina nyani na jamii ya wanyama kwa ujumla ili uwe mbabe inabidi uwatwange wapinzani.

Sisi binadamu tunaongozwa na sheria za kuishi tulizojitungia; ikitokea kwa kudra za mwenyezi mungu akatokea kiongozi ambae anaweza abuse hizo sheria hakuna namna.

Jamii ya watu wenye akili ujifunza makosa yao na kuhakikisha matatizo wanayafanyia kazi.
 
Wakati una wasiwasi itakuaje nafasi ya bi tozo kwenye kinyan’ganyiro cha uraisi 2025 kama miezi mitatu nyuma (mod wakafuta mada yako).

Nilikwambia ‘bi-tozo’ sio fala ajatimua wakurugenzi wa TISS hovyo kwa miaka minne bure-bure na kusafisha Ikulu bila ya mikakati mahususi na Nchimbi hayuko hapo kwa bahati mbaya.

Mama ni mcheza chess na king maker ni Nchimbi kwa siasa za Tanzania. Sasa kuweza kuvuruga taratibu za nchi kwa kutumia kanuni na uwezo wa kuendesha nchi ni vitu viwili.

Nchimbi ni zero kichwani, anachoweza ni mbinu za kukwapua madaraka kwa fujo tu. Na sasa kama una akili zako timamu utaki ugomvi nae; ana nguvu kuliko mtu yeyote Tanzania (amini, usiamini).

Mimi nimeandika kwa mipaka tu; lakini ‘bi-tozo’ hatoboi kwa Nchimbi; uraisi wake na uteuzi wake wa ghafla ni tiktaka za Nchimbi.
relax and calm down gentleman,

ni muhimu sana ukatiririka yote walau upate relief, itakusaiadia sana.

But,
kama Taifa, wananchi na waTanzania wote wameshaamua kwamba Dr Samia Suluhu Hassan atagombea urais wa Tanzania na Dr Nchimbi atakua mgombea mwenza wa wa uraisi kupitia CCM. Full stop 🐒
 
Umevuta bangi na ugoro kigentlemen unakuja kuandika uharo hapa..... WANANCHI GANI HAO WAMEMKUBALI?
wananchi wote na waTanzania wa makundi mbalimbali wanaendelea kuipongeza CCM, lakini pia kuwapongeza Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emanuel Nchimbi kuteuliwa na chama kupeperusha bendera ya CCM Oct 2025.

Chuki binafsi Haifai gentleman 🐒
 
Kwenye koo za nyani na wanyama huwa wanachagua wale wenye nguvu, akili, maarifa na uthubutu ndio wanakua Alpha ama viongozi.
Lakini sisi binadamu wenye akili tunachagua wajinga ndio watuongoze.
wenye chuki binafsi hupata tabu sana nyakati hizi gentleman, dah,

ukweli mchungu, ukweli unauma sana aise 🐒
 
DR.EMANUEL NCHIMBI KUA MGOMBEA MWENZA, Dr Mpango ulikuwa mpango wa Mungu,ila Rostam kaingilia kati.

Tumepigwa na kitu kizito 2025-2040
 
Pongezi za wananchi na waTanzania wa makundi mbalimbali nchini, zimeendelea kumiminika na kuelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM, baada ya Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria katika taifa letu October 2025.

Kukubalika na kuaminika kwa wagombea uongozi hao wa CCM ngazi ya Taifa, kuna ashiria wazi imani kubwa ya waTanzania kwa CCM kuelekea ushindi wa kishindo baadae October ya mwaka huu 2025.

Shauku na imani ya wananchi na waTanzania wote kwa sasa ni kuona CCM katika uchaguzi wa kura za maoni, inateua wagombea uongozi wa ubunge na udiwani mahiri, makini, wasomi wanaokubalika na wanaoaminika zaidi kwa wananchi kulingana na mipango, sera na vipaumbele vyao dhidi ya maslahi mapana ya wananchi katika maeneo yao.

Maoni ya waTanzania wote ni kwamba, wanafuatilia kwa karibu sana na kuzingatia zaidi
uteuzi wa viongozi wa CCM kwajili ya uchaguzi mkuu, kwani teuzi hizo ndizo hua uchaguzi mkuu halisi wenyewe, na ule wa Oct. hua unakua ni katika kukamilisha ratiba na kutekeleza sheria na katiba ya nchi tu.

una maoni gani.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vijana wa CCM,hivi sijui wewe ni wa kike au wa kiume Huna uwezo wa kugombea hiyo nafasi ya Uraisi?
 
Maoni yangu ni kuwa huna haki wala ridhaa ya kuongea kwa niaba ya watanzania wote.
hili liko wazi gentleman,
kwamba wanainchi wote na waTanzania wa makundi mbalimbali wanaendelea kuipongeza CCM lakini pia wanawapongeza Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emanuel Nchimbi kwa kupewa dhamana na ridhaa ya kuongoza Taifa letu kwa kipindi kijacho.

Ni muhimu sana kuzingatia hilo gentleman 🐒
 
wananchi wote na waTanzania wa makundi mbalimbali wanaendelea kuipongeza CCM, lakini pia kuwapongeza Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emanuel Nchimbi kuteuliwa na chama kupeperusha bendera ya CCM Oct 2025.

Chuki binafsi Haifai gentleman 🐒
Ungekuwa jaribu ningeponda Hilo fuvu akili ikukae sawa shenzi type ...
 
Wanaume wa CCM mnatukosea sana watanganyika kwa kuhakikisha tutanatawaliwa na mmama kutoka Zenji.
Chama Cha Mapinduzi CCM kitaendelea kubaba dhamana ya uongozi wa Taifa hili, ili hatimae azma ya kuwapelekea wananchi maendeleo itimie.

ubaguzi wa aina yoyote utaendelea kupingwa kwa nguvu zote 🐒
 
hili liko wazi gentleman,
kwamba wanainchi wote na waTanzania wa makundi mbalimbali wanaendelea kuipongeza CCM lakini pia wanawapongeza Dr Samia Suluhu Hassan na Dr.Emanuel Nchimbi kwa kupewa dhamana na ridhaa ya kuongoza Taifa letu kwa kipindi kijacho.

Ni muhimu sana kuzingatia hilo gentleman 🐒
Liko wazi wapi? Mbona mimi sio mmoja wa wananchi wanayempongeza Dr Samia na Dr Nchimbi?
 
Mbona kama una wasiwasi garmah
unakuaje na wasiwasi my lady wakati mambo ni mwemwere mwemwere kila kona ya nchi kuhusu Dr.Samia Suluhu Hassan kugombea urais na Dr Emanuel Nchimbi kua mgombea mwenza?

hiyo si mpaka 2040 my lady?🐒
 
Back
Top Bottom