Wajumbe wa UN waitaka Israel ijiondoe maeneo ya Wapalestina katika kipindi cha mwaka mmoja

Wajumbe wa UN waitaka Israel ijiondoe maeneo ya Wapalestina katika kipindi cha mwaka mmoja

Tunazungumzia upana wa tatizo la Israel kwamba wanatamba kwa kupuuza maazimio na kuna watu wanawasifia kwa hilo.Ujue ina mikataba na Misri na Jordan vipi na wao wakiamua kupuuza mikataba na kuacha watu wao wavuke mipaka bila kizuizi.
ubavu huo hawana, wangekuwa nao wangeshavunja zamani sana. mkataba na misri umeingiwa zaidi na marekani, kila mwaka anawapa misri msaada mkubwa sana kwenye defence system kwa sharti kwamba asipigane na Israel. na hata akipigana, hatashinda. upande wa jordan, sasaivi wananchi 3,000,000 ni wahamiaji wa kipalestina, na hao ndio wamekuwa wakichafua nchi, walishajaribu hata kumuua PM wao kipindi cha nyuma. Jordan haiwapendi wapalestina mno na inawaogopa, ni bora awe na ushirika na israel na ulaya kuliko wapalestina. ni wachafua hali ya hewa sana hao jamaa.hata misri kawajengea fensi kama anakinga simba wasiingie nchini kwake, kajenga kuta mara mbili.
 
ubavu huo hawana, wangekuwa nao wangeshavunja zamani sana. mkataba na misri umeingiwa zaidi na marekani, kila mwaka anawapa misri msaada mkubwa sana kwenye defence system kwa sharti kwamba asipigane na Israel. na hata akipigana, hatashinda. upande wa jordan, sasaivi wananchi 3,000,000 ni wahamiaji wa kipalestina, na hao ndio wamekuwa wakichafua nchi, walishajaribu hata kumuua PM wao kipindi cha nyuma. Jordan haiwapendi wapalestina mno na inawaogopa, ni bora awe na ushirika na israel na ulaya kuliko wapalestina. ni wachafua hali ya hewa sana hao jamaa.hata misri kawajengea fensi kama anakinga simba wasiingie nchini kwake, kajenga kuta mara mbili.
Tusubiri tuone jinsi azimio litakavyotekelezwa
 
Mataifa 123 yameunga mkono tamko hilo,14 yamepinga na 43 wamejiondoa kupiga kura.

Pindi Israel isipofanya hivyo basi kitakachofuata ni vikwazo dhidi yake.

Wakati huo huo katibu mkuu wa UN ,bw Gueteres amesema Israel iache kutumia vifaa vya matumizi ya kiraia kama silaha za kivita.

UN members demand end to 'unlawful' Israeli occupation of Palestinian territories

‘Civilian objects should not be weaponised’: UN chief on Lebanon blasts​

Wewe unaona Israeli wanaweza kuamrishwa kibwege hivyo na ikawa?🤣🤣
 
Wewe unaona Israeli wanaweza kuamrishwa kibwege hivyo na ikawa?🤣🤣
Ndio maana dunia inateseka kutokana na unafiki.Wengine wafanye wanavyopenda na wengine wakifanya waambiwe wamevunja misingi ya utawala bora.
 
Back
Top Bottom