Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Jamii forums Kila mtu ni tajiri[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Boksa buku tatu tu?. Mtu ukitenga zako elf 20 unapata boksa za kuvaa wiki nzima
 
Mimba ya wiki 2 tu tayari unaanza kuhisi harufu kwa kila mtu!
 
Ulijuaje kama ni boxer na sio pichu???
 
tatizo la boxer kwa wanaume wengi lipo na lina chuana na tatizo la sidiria kwa kina mama na dada wengi alafu cha ajabu huwa zinaonekana huwa najiskia aibu...binafsi mimi ni kama mwanamke na boxer nyingi sana...sitakagi aibu ndogo ndogo ikichoka tu natupa huko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…