Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Wanachokiandika hapa kisikufanye uwavike usafi..

Wangekuwa Dabliyusibii sasa
Yote haya yamekuja kisa kusema sisi wasafi dadek 😂😂😂😂😂
Angesema opposite hapa ungekua na furaha mkuu ..
Kijana hovyo sana wewe alaaah
 
Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...
kwahiyo ulipeleka pua hadi kwenye kiuno chake kunusa kama ni boxer
 
Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...
dah pole sana japo na mimi hakuna kitu kinanichukiza kama kupishana na mwanamke alafu awe anatoa haruf ya jasho kali,au unapnda gari alafu dada kavaa nguo ya mikono mifupi alafu ana bonge la vuzi la kwapa
 
bora alivyo mkaushia jamaa,nakumbuka tulikuwa tunaelekea mbagara sa kufika mtoni kwa aziz ally akapanda teja ,sa akawa ananuka kishenzi akatokea mama mmoja akasema dah kuna mtu ananuka humu anachafua hali ya hewa mama kakazana tu,yule jamaa akaona hapa ni ta shushwa hapa. ika bidii adakie kwa sauti kubwa ,e e kweli ananuka yule dada akakazana kuna mtu anachafua hali ya hewa humu, ndipo yule jamaa akamdakia... ana nuka kama mikuma **** kweli inaonekana ime chacha..basi yule mama aliinama kwa aibu na safari ikaendelea .ila nilicheka sana siku hiyo.
 
bora alivyo mkaushia jamaa,nakumbuka tulikuwa tunaelekea mbagara sa kufika mtoni kwa aziz ally akapanda teja ,sa akawa ananuka kishenzi akatokea mama mmoja akasema dah kuna mtu ananuka humu anachafua hali ya hewa mama kakazana tu,yule jamaa akaona hapa ni ta shushwa hapa. ika bidii adakie kwa sauti kubwa ,e e kweli ananuka yule dada akakazana kuna mtu anachafua hali ya hewa humu, ndipo yule jamaa akamdakia... ana nuka kama mikuma **** kweli inaonekana ime chacha..basi yule mama aliinama kwa aibu na safari ikaendelea .ila nilicheka sana siku hiyo.
Mtu kama anakaa mbagala alafu mbagala ya daslam..
Lazima wawe wana shida tuu
 
Back
Top Bottom