begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
hapana sio kweli ,usafi wa mtu hauhusiani na maeneo anayo toka.uchafu ni tabia ya mtu tu.Mtu kama anakaa mbagala alafu mbagala ya daslam..
Lazima wawe wana shida tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana sio kweli ,usafi wa mtu hauhusiani na maeneo anayo toka.uchafu ni tabia ya mtu tu.Mtu kama anakaa mbagala alafu mbagala ya daslam..
Lazima wawe wana shida tuu
sawa🙌🙌Hii inamuhusu mshamba_hachekwi
😂😂 Sijui nikutukanie mzazi....😂😂😂🙌🙌🙌
Unafuaga wewe au mada inakuhusu...
huna baya mwanangu sana 😂Hii inamuhusu mshamba_hachekwi
najua upo upande wangu😂sawa🙌🙌
naanzajee sasa kuondoka upande wako ilihali sisi ni ndugunajua upo upande wangu😂
Yaan hapo ukiachan na usafi mii nasemea kuhusu maneno machafu na watu kutojiheshimu 😂😂😂hapana sio kweli ,usafi wa mtu hauhusiani na maeneo anayo toka.uchafu ni tabia ya mtu tu.
Sasa kama ushaniita mzazi na unataka kunitukana uwoni utapata laana mkuu😂😂 Sijui nikutukanie mzazi....
Soma vizuriSasa kama ushaniita mzazi na unataka kunitukana uwoni utapata laana mkuu
Yaan hapo ukiachan na usafi mii nasemea kuhusu maneno machafu na watu kutojiheshimu
Donatila,Ningekujibu ila kwa sababu zilizo nje ya mahusuano yenu na Yule ,kwaheriHabari wakuu,
Nimewakumbuka sana,
Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.
Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.
Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.
Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma
Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...
Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.
Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.
Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.
Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.
Fueni boxer kaka zangu...