Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Daah Leejay49 jibu hili swali kwa ufasaha la si hivyo hapa utaibua mjadala mwingine 😬😬😬
2 Chainz_ my friend hao niliowataja nina uhakika 100% kuwa wako vizuri kwenye suala la usafi kutokana na mienendo yao na matendo yao hapa jukwaani tangu niwafahamu....sasa niliwaita ili waje wawape elimu ndugu zetu ambao hawafui boxer kama mada inavyojieleza hapo juuπŸ˜ŠπŸ€—
 
2 Chainz_ my friend hao niliowataja nina uhakika 100% kuwa wako vizuri kwenye suala la usafi kutokana na mienendo yao na matendo yao hapa jukwaani tangu niwafahamu....sasa niliwaita ili waje wawape elimu ndugu zetu ambao hawafui boxer kama mada inavyojieleza hapo juuπŸ˜ŠπŸ€—
Leejay49 Hujui kama unaweza kupewa chakula kitamu kutoka kwenye sufuria lililopikiwa kwenye Kuni? Ladha ya wanachokileta isikufanye uamini GESI ndio imeivisha, unaweza Kuta ni kwenye kuni
 
Back
Top Bottom