Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...
Ambao hatuvaagi boxer tuvae mara ngapi bukta zetu?
 
 
Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...
Sema ni mwili na nguo zake kiujumla ila sio boxer au ulimwinamia na kwa kumnusa nini.
 
Kutokufua boxer au chupi, kutokukausha makende baada ya kuoga, kutopaka mafuta kuzuia michubuko kwenye kende, kutosafisha kinyeo kwa maji ya kutosha, kutonyoa vuzi na kwapa, kutoosha shingo na nyuma ya masikio, kutotumia deodorant kwapani, kutotumia sabuni sahihi kuogea (kuogea sabuni za kufulia) ni sababu kuu kwa mwanaume kunuka uvundo wa jasho kali. Oga walau 2 times a day asubuhi na usiku kabla ya kulala... sugua kwapa na kende na muku kwa sabuni na maji mengi, kausha uvungu wa mapaja badli boxer mara kwa mara, tumia deodorant hasa nivea hutakaa unuke kihasarahasara.
 
Back
Top Bottom