Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Sio boxer, ni hiyo ndo inanuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio boxer, ni hiyo ndo inanuka
Umesahau chupi za TMK [emoji23][emoji23]Maisha yanaenda Kasi sana [emoji1787][emoji1787]ngoja wa kijijini tukumbushane
Zamani tulikua tunavaa Pichu zina rangi ya bendera ya Kenya
Tukaja kuvaa bukta ambazo ni jezi eq bukta za Chelsea, zle jersey za Ghana na Cameroon.
Zikaja zle boksa zinabana kinoma [emoji16][emoji16]hapo afisa mdinyaji anabanwa kinyama
Ndo zikaja hz za siku hz[emoji1787][emoji1787]
hahah😂😂😂😂😂Sio rahis! Hv hata kama ni ww eb tumia tu ufahamu wa kawaida mtu atanue miguu we unuse harufu😁😁
Kuna siku tulienda kuogelea ziwani nkaisahau ziwani nlikaa bila Pichu 😁😁😁ngoja nsitaje mda nliokaaUmesahau chupi za TMK [emoji23][emoji23]
Fua maana unakojoa hunawi na pia sehemu ya haja kubwa inapumua... Hivyo lazima unuke
Usicheke kaka🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] JF Raha sana, ndo maana napotea alafu narudi
Imenusa kutokea kwenye sit yako, hadi alipokaa?[emoji23] sikuchungulia ila pua ilinusa
Fua kila siku, kwani unayo moja...?Nikikojoa nakung'uta dudu, pia wanaume huwa hatujambi mara kwa mara....., Kwa maana hiyo hata nguo itabidi zifuliwe kila siku.
Binafsi nafua baada ya siku tatu,
Pia kaninuni yangu nyingine nafua napo hisi imechafuka...., Naona haitanifanya niwe comfortable.
Achana nayo sio Kila kitu ni yakuexperience. Jaribu kuexperience kifo then harufu ya boxer ifuatesijawahi experience kipenzi 😊🤗
sawa,nmekuelewa 🤨Achana nayo sio Kila kitu ni yakuexperience. Jaribu kuexperience kifo then harufu ya boxer ifuate
Acha uongo harufu ya boxer kama hujanusa bixer yenyewe kwa pua huwezi ijua hata ivaliwe siku 1000..Habari wakuu,
Nimewakumbuka sana,
Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.
Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.
Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.
Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma
Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...
Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.
Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.
Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.
Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.
Fueni boxer kaka zangu...
Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.