Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Hao wengi wao mavyuzii hawanyoi ndio shida kubwa ilipo,yawe ya kwapa au ya kwenye kinena ni shida sana.
 
Njoo huku feri au popote tunapouza samaki na hio pua yako uropoke haya kutuue.
Samaki kanunulie supamaketi ๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜ก
 
 

Attachments

  • 1183de440afe15d9e92e13217df69bcc.gif
    963.4 KB · Views: 6
Yule kijana ni Mimi mkuu kwa kweli nisamehe ila sijapenda umekuja kuni kanyagia jf ila kesho nitavaa brand new boxer nimenunua leo maana ile inayo nuka nimeivaa kwa takribani mwaka sasa... nisamehe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ