Wakala wa Voda amedukua laini yangu na kuiba mamilioni

Wakala wa Voda amedukua laini yangu na kuiba mamilioni

Si mnatunanga kila siku graduates ,tunaoza na degree zetu kitaa bila ajira wala mitaji ,mnatunanga na kutuita wavivu.
Sasa tutawanyoosha
Mtaji wa masikini si nguvu zake mwenyewe basi " MTAJI WA GRADUATE NI AKILI YAKE MWENYEWE "
TUWE KAMA LAGOS TU , ukijichnganya na kufirisi .
Hata huku kwenye udalali tunawabonda haswa
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Hakuwa wakala WA Voda alikuwa Tapeli anaejifanya ni msajili laini za mtaani
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Wanaiba sana kwa mtindo huo,wameibiwa wengi mno.
Hapo sasa Kama mzazi wako alikuomba 20k ukamjibu Kuna issue unaisikilizia...aisee 😟
 
Pini ya nbc iko tofauti na ya mpesa, aliipataje hiyo pin? Ama hiyo nbc app haina pini unaingia tu unahamisha hela?
Sio lazima kuna watu wanatumi pin moja kwa vitu kibao kuepuka kusahau sahau namba mf pin moja kwa mpesa,tigo,airtel bank mobile bank pin ni hiyo hiyo hasa wazee hawana mambo ya kuweka kila sehem pin yake
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Wewe ni boya...
 
Kwamba nyote mnaibiwa milioni tanotano benki au sio.

Enewei uzi wa hilo tukio upo humu kikamilifu, jaribu kua updated next time.
Screenshot_20240913-152858.jpg
 
Back
Top Bottom