Wakala wa Voda amedukua laini yangu na kuiba mamilioni

Wakala wa Voda amedukua laini yangu na kuiba mamilioni

Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Kuna mtu Kkoo kapigwa hivi hivi juzi hapa,

Theoretically Polisi wanamkamata huyo bila shida, HATA kama kazima simu tayari ameacha alama, tafuta mtu wa cyber crime akusaidie.
 
LABDA AMOUNT NDO ISSUE LAKINI WAKI HACK MAANA YAKE WEWE UNAKUWA OFFLINE KWA HIYO NAMBA THEN KAMA UNA TUMIA SIM BAKING HIYO NAMBA WATAOMBA KUBADILI PASSWORD YA SIMU NA BAADAYE YA ACCOUNT YA BANK THEN WANAHAMISHA PESA
Siyo kweli mzazi,
Ili kubadili PIN ya mobile network ni lazima ukamate kadi uende kwenye mashine (ATM) kinyume na hapo labda mambo ya mahackers na mautundu yao
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Ww mtk hii hadithi sio yako
 
Mimi nilijua jamii forums watu wote wana uelewa mkubwa
 
Siyo kweli mzazi,
Ili kubadili PIN ya mobile network ni lazima ukamate kadi uende kwenye mashine (ATM) kinyume na hapo labda mambo ya mahackers na mautundu yao
hapana,tulisha ibiwa hivyo,na MNB ni rahisi kuiba kulinganisha na crdb
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
we we ni mjinga,umepelekwa chekechea
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.


CHAI
 
Dawa ya hawa wajinga ninkwamba usikubali kusajili line Kwa wakala nenda Kwny ofisi Judika,uamimifu umepotea.
 
Kuna mtu Kkoo kapigwa hivi hivi juzi hapa,

Theoretically Polisi wanamkamata huyo bila shida, HATA kama kazima simu tayari ameacha alama, tafuta mtu wa cyber crime akusaidie.
😄

Ova
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Kwanza siku zote wanakwambia usimpe mtu simu yake wakala hapaswi kupewa simu.
By the way huo utapeli umekuwa wa kawaida sasa. Two weeks ago demu wangu naye katapeliwa hivyo hivyo anapiga simu analia namba ambayo ndo imetapeliwa hata huduma ya customer care ilikuwa haiendi. Jamaa ana roho mbaya alikomba pesa yote na bado akasongesha pia.
 
Kama mna geniuses hivyo kwanini msiwaajiri ili wawakamate hao wanaotapeli?
Eti hackers, what a joke 😃
Hao ni matapeli tu kama vibaka wengine
Hackers wako Nigeria labda kwa Africa
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Halafu shule ulienda kufanya nini?
 
Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.

Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.

Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?

Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.

Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.

Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Kumbe ni wewe ukisambaza voice note ya tukio hilo Mashallah una sauti tamu sana wewe
 
POle ,hujasikia kuwa hawa watu wapo wapo naanza wanaiba sana hela zawatu ndio manaa napendaga kwenda kwenye ofisi za watu husika ili kuepuka huu ujinga pole .
 
Back
Top Bottom