Mjinga huyu.Mbona hii story na exact kama voicenote ya mdada flani, adi figures ni the same loh😂
Alitumia laini yangu baada ya kuhakiPini ya nbc iko tofauti na ya mpesa, aliipataje hiyo pin? Ama hiyo nbc app haina pini unaingia tu unahamisha hela?
Kwahio kesi ipo polisi ?Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police
Kwahio umewapa hio laki tano na kesi umefungua ?nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.
Kwamba kufungua kesi kama ni ya kizembe inabidi utoe pesa ?Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
😂😂😂umeona jamaa porody anapita na upepo wa huyo dada akikujib niiteMbona hii story na exact kama voicenote ya mdada flani, adi figures ni the same loh😂
Alitumia laini yangu baada ya kuhakiPini ya nbc iko tofauti na ya mpesa, aliipataje hiyo pin? Ama hiyo nbc app haina pini unaingia tu unahamisha hela?
Kama hujui vitu ujasge kimya!!! Nmb mpk milioni kumi kwa siku,Maximum amount ya kuhamisha kwa hizi online banking apps ni 3m, yeye amehamishaje 5m? Pia pin ya hiyo nbc ameitoa wapi ili aweze kuhamisha hela?
Hakuwa wakala WA Voda alikuwa Tapeli anaejifanya ni msajili laini za mtaaniPicha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.
Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.
Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?
Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.
Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.
Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Me mwenyew nimeisikia ile voice noteMbona hii story na exact kama voicenote ya mdada flani, adi figures ni the same loh😂
Wanaiba sana kwa mtindo huo,wameibiwa wengi mno.Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.
Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.
Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?
Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.
Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.
Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.
Sio lazima kuna watu wanatumi pin moja kwa vitu kibao kuepuka kusahau sahau namba mf pin moja kwa mpesa,tigo,airtel bank mobile bank pin ni hiyo hiyo hasa wazee hawana mambo ya kuweka kila sehem pin yakePini ya nbc iko tofauti na ya mpesa, aliipataje hiyo pin? Ama hiyo nbc app haina pini unaingia tu unahamisha hela?
Wewe ni boya...Picha imeanza hivi alipita wakala hapa maskani akidai anaweza kuiwezesha laini na kua five G yani hata niwe kijijini mimi nitatamba tu.
Nikampa simu yangu ili aapdate mafaili kama alivyoniambia, alivyomaliza hakutaka nimpe hela akasema yeye anapewa kwa kamisheni.
Akaondoka mara tu nikapiga simu kwa rafiki yangu nashangaa anasema nimebadilisha namba nikamuliza kivipi wakati ni laini yangu ya siku zote?
Nikacheki salio nashangaa naambiwa namba ya siri ni wrong. Nikapiga simu makao makuu kuwambia wanasema laini yangu IMEHAKIWA et nini? Nikawatajia namba za laini yangu halisi wakasema imehamishwa laki 3.
Kupiga simu NBC kitengo cha sim banking wakasema kuna namba imehamishwa milion 5 na hiyo namba haipo hewani. Nilizimia hadi hospital. Kufanya hadith iwe fupi kesi ipo police nao wanadai nimetapeliwa kizembe so wanataka laki 5 ili nifungue kesi.
Sina hata shilingi Nimebaki kupagawa hii dunia sio sawa.