Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 262
- 361
DuhWaviidhinishe baada ya kuwakamata ili wasifanye biashara kimakosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhWaviidhinishe baada ya kuwakamata ili wasifanye biashara kimakosa.
[emoji16][emoji16]Ni kupoteza muda na nguvu tu, hatua hiyo ni kuipa promo tu, huwezi kuzuia kusambaa kwa teknologia, mzigo upo nchini, na unatembea fresh.
Baada ya miezi michache starlink zitakuwa kila mtaa mpaka maporini, utazikuta mpaka nyumbani kwa RPC.
,sina information yoyote Mkuu ,nimefikiria hivo tu ,kumbe ukipata vifaa waweza tumia internet ya star link hata kama mamlaka hazitakiTunaweza jua vifaa vinauzwa wapi na ni vifaa gani vinahitajika?Dm mkuu km una info
Anhaaa oookayZina operates kama vile Dish za TV na za Internet ambazo tayari zipo hapa Tanzania , Changamoto Kifurushi kikiisha lazima ukinunue nje ya Tanzania Kwani STARLINK awana Sales/Support Offices kama vile zile za DSTV wenye makao yao makuu nchini South Africa.Hiyo ndo Changamoto. Kenya wapo.